Vijana wa Arusha kuuona uhuni na usela ni ujanja kunazidi kulitafuna jiji, usalama umepungua, maadili yameshuka, serikali haina msaada

Shida yako nn wakifa ww unaumia nn?
 
Well ...

Kama ndivyo mbona nanjilinji BETO na ZUNA hazitembei sana kama chugga?!! [emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app

Unajua, niliwahi kuskia hizi nyama nyekundu wanazokula binadamu Zina athari kiasi flani wanakuwa kama wanyama wa mwituni.

Lakini kwa watu wanaokula samaki pwani pwani huko wanakuwa na ukarimu flani hivi, sjui kama ni kweli au laa.
 
Well ...

Kama ndivyo mbona nanjilinji BETO na ZUNA hazitembei sana kama chugga?!! [emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Chuga pako peace arawa! Hizi mambo nilishuhudiaga miaka ya 90s huko!
Uhuni uliopo saivi ni WA kiduanzi,bangi machalii wanayovuta saizi ni low quality halafu wanavuta na maunga
Nenda mianziani uone
Huo unaoona ni uhuni sidhani kama ni uhuni

Ni lifestyle Yao tu na mazingira waliyoyakuta kama meno yao
 
Shida yako nn wakifa ww unaumia nn?
[emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]

Kwani suala ni kufa mkuu ?!!

Kufa kila mtu atakufa....

Kwani huu uhai tuliopewa hauna thamani ya kuishi KIUPENDO wa "Rastafarianism" ama "ubudha"....hivi "chaos" mashambani inaweza kuzalisha MAZAO YA KUTUSHIBISHA ?!! [emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Dah , mnaikosea Sana Bangi , Huu ni udhalilishaji. Huku ni kuinyanyapaa Kwa makusudi kabisa.

Mkunazi Njiwa

Kama MTU ni mpole , akivuta bangi au akinywa kileo kitadhihirisha Kuwa yeye ni Nani, Akiwa mpumbavu na mkatili yote yatadhihirika tuu.

Machalii WA chuga ni by nature wakorofi
 
Unajua, niliwahi kuskia hizi nyama nyekundu wanazokula binadamu Zina athari kiasi flani wanakuwa kama wanyama wa mwituni.

Lakini kwa watu wanaokula samaki pwani pwani huko wanakuwa na ukarimu flani hivi, sjui kama ni kweli au laa.
Kuna ukweli ndani yake....

Ndio maana "Rastafarians" hawali nyama....

Na mikoa inayokula sana nyama kuna tabia zinashabihiana [emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Badili approach Mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…