Vijana wa Arusha kuuona uhuni na usela ni ujanja kunazidi kulitafuna jiji, usalama umepungua, maadili yameshuka, serikali haina msaada

Vijana wa Arusha kuuona uhuni na usela ni ujanja kunazidi kulitafuna jiji, usalama umepungua, maadili yameshuka, serikali haina msaada

Tofauti haya MANENO manne wazawa, wageni, wenyeji na wakuja, tofauti zake ni zipi
Kwa ninavyoelewa mimi kwa akili yangu bila kutumia kamusi, haya maneno tofauti zake au maana zake ni kama ifuatavyo;

1.WAZAWA-ni watu wenye asili ya sehemu au eneo fulani kwa kuzaliwa.

2.WAGENI-ni watu ambao wamekuja/kuhamia/kutembea sehemu au eneo fulani.

3.WENYEJI-ni watu ambao wapo katika eneo au sehemu fulani kwa muda mrefu lakini hawajazaliwa hapo.

4.WAKUJA-hili ni neno tu la mtaani likiwa na maana ya utani kwa watu ambao wamehamia eneo au sehemu fulani wakiwa bado na ushamba wa kutoelewa mazingira mapya ya eneo au sehemu waliyopo.
 
Mimi mwanzo ilikuwa inanipa shida sana mpaka kuja kukaa sawa na kuwaelewa style ya maisha yao. Nilikuwa nashangaa mtoto anaweza kukupita tu na anakutazama na wala hakusalimii, sio mtoto unakuta hata mtu mzima.

Ila baada ya kuwaelewa jinsi gani wanaishi maisha yao na ID yao wala sikupata tabu tena kuhusu Wachugga, na mimi nawapita tu...!
na ubandidu wote huo nasikia Wahuni wenzao wanawafungua 'gia box'kama hawana akili nzuri
 
Kwa ninavyoelewa mimi kwa akili yangu bila kutumia kamusi, haya maneno tofauti zake au maana zake ni kama ifuatavyo;

1.WAZAWA-ni watu wenye asili ya sehemu au eneo fulani kwa kuzaliwa.

2.WAGENI-ni watu ambao wamekuja/kuhamia/kutembea sehemu au eneo fulani.

3.WENYEJI-ni watu ambao wapo katika eneo au sehemu fulani kwa muda mrefu lakini hawajazaliwa hapo.

4.WAKUJA-hili ni neno tu la mtaani likiwa na maana ya utani kwa watu ambao wamehamia eneo au sehemu fulani wakiwa bado na ushamba wa kutoelewa mazingira mapya ya eneo au sehemu waliyopo.
Yap upo sahihi mkuu tafasiri zako ziingizwe kwenye Kamusi
 
View attachment 2707633

Kunahitajika PROGRAMU ya dharura kuliokoa hili jiji.

Vijana wengi ni waliozaliwa na kukulia hapa hapa ni jamii za wazawa wenye asili ya Arusha kama Wameru na Waarusha pamoja na jamii za wenyeji ambao walihamia na wapo kwa muda mrefu kama Warangi, Wachaga, Wambulu, Wnyaturu.


jamii za mikoa ya karibu waliohamia Arusha kwa muda mrefu (sio wakuja). hapa wapo Wameru, Waarusha, Warangi, Wachaga, Wambulu, Wanyaturu.


matokeo ya kuukuta utamaduni wa kutukuza uhuni tangu wakiwa wadogo, imeshakuwa ndani ya mfumo wa maisha wa vijana wengi kwamba ili uonekane mjanja basi uwe mhuni wa kunywa pombe kali, kuvuta bangi ama uwe mhalifu.

mapikipiki haya ya wanakimbiza vibaya mno, ajali kila siku, wamejaa mount Meru na nkoaranga hospital wamevunjika vunjika miguu,.Bodaboda za kutaftia riziki wanalazimisha ziwe pikipiki za michezo, ukienda kwenye magroup yao haya ya kudandia pikipiki kuna "pumzika kwa amani / rip" nyingi sana.

vijana wanazidi kuutukuza ulevi wa hayo ma k-vant na bangi, sina shida na matumizi ya vilevi hata mimi ni mdau ila nafata misingi,tatizo ni pale wanatumia vilevi kupita kiasi na ku abuse (abnormal use), wanatumia kwa kuigana au ile kutaka kuonekana mzoefu ili kupata sifa za kuonekana ni moja wao, na ndio hapa mtu ananasa kwenye uraibu.

Makundi ya vijana wengi ni magenge ya vijana wanaoishi bila future, wanafanya vingi bila kujali madhara wala kesho.

Suala la kupigana beto (visu) nalo halipo nyuma, Sime na visu vimekuwa vitu ambavyo vinazidi kuzoeleka kutumika sio tu kwenye uporaji bali hata kwenye mabifu ama ugomvi baina ya vijana, niliwahi shuhudia live kwa macho yangu pale karibu na stendi ugomvi niliodhani watu watachapana ngumi niliona mtu anapigwa kisu damu nje nje,kuna clip nimecheki majuzi Fidovato analalamika vijana wanapigana beto, hata wasanii wa huko Father Nelly wa kundi la X Plastaz aliuliwa kwa visu, nae Lord Eyes aliwahi kujeruhiwa,

Wizi nao hauna dalili ya kupungua, watu wanaporwa kikatili sana inabidi utii amri lasivyo utavurugwa maini na beto, bodaboda wanaibiwa pikipiki mpaka kuuwawa, ujambazi nao upo wa kuvamia matajiri, kwa ufupi kuna famjlia zinajulikana kabisa wanaishi mjini kwa shughuli hizo lakini ndio wanapewa heshima maana uhuni unaonekana ujanja.

Ajabu ni kwamba hata polisi ni kama vile wamefumbia jicho ama jitihada wanazofanya ni ndogo sana, ni kama vile wamezila na kujikatia tamaa wamewaacha wenye mji wafanye watachojua wao with little interference
Acha wafe,tupunguze na matumizi ya oksijeni
 
Fata mambo yako jomba temana na raia waishi life lao dingilii!

Mbona huko kweni kumejaa wachawi na hatubongii!

Unakuja hapa eti Arusha Arusha kama vipi tuachieni Arusha yetu tuamie kenya
Yupo sahihi acha usela mavi dogo. Kama wanataka waishi maisha yao wasikate na kujeruhi wengine. Akishalewa viroba vyake akiwa na hamu ya kuchoma mtu kisu, ajichome cha tumbo na sio kujeruhi wengine.
 
Back
Top Bottom