Vijana wa Bodaboda na Bajaji wana matatizo gani?

Vijana wa Bodaboda na Bajaji wana matatizo gani?

Mi mi

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2024
Posts
2,748
Reaction score
5,112
Vijana waendesha boda boda na bajaj wana matatizo gani hawa watoto?

Matukio wanayo fanya na kuwatukia barabarani ni ya kusikitisha sana.

Hawa watoto wanafanya michezo ya hatari barabarani na vyombo vya moto tena vilivyo katika mwendo kasi mimi kwa kweli hunihuzunisha sana.

Inaonekana ni watoto wasiojali uhai wao wala hata afya yao pale matukio mabaya yatakapo wapata.

Wanaacha mizigo sana kwa ndugu mahospitalini ajali zao ni za kutisha kwa kweli wengine hufikia hata hatua ya kupoteza kumbukumbu.

Hawa watoto wanatumia mihadarati inayopelekea kuchanganyikiwa wawepo barabarani?

Hawathamini hata watumiaji wengine wa barabara, hawa thamini wamiliki wa vyombo waliowapatia ili kujiingizia vipato serikali nayo ni kama imewapa kisongo haitaki kuji shughulisha nao.

Nini kifanyike kudhibiti tabia za hawa watoto pale wawepo katika vyombo vya usafiri ? Sheria gani zitungwe kwa ajili yao, elimu gani itolewe kwa ajili yao
 
Vijana waendesha boda boda na bajaj wana matatizo gani hawa watoto ?

Matukio wanayo fanya na kuwatukia barabarani ni ya kusikitisha sana...
Hao si tu kuwapa elimu Bali hiyo ni tabia Yao sugu. Hiyo ni michezo Yao na serikali kupitia jeshi la Police kama wamewashndwa nafikiri kutungwe Sheria Kali za kuzibiti tabia hiyo.
 
Vijana waendesha boda boda na bajaj wana matatizo gani hawa watoto?

Matukio wanayo fanya na kuwatukia barabarani ni ya kusikitisha sana.

Hawa watoto wanafanya michezo ya hatari barabarani na vyombo vya moto tena vilivyo katika mwendo kasi mimi kwa kweli hunihuzunisha sana.

Inaonekana ni watoto wasiojali uhai wao wala hata afya yao pale matukio mabaya yatakapo wapata.

Wanaacha mizigo sana kwa ndugu mahospitalini ajali zao ni za kutisha kwa kweli wengine hufikia hata hatua ya kupoteza kumbukumbu.

Hawa watoto wanatumia mihadarati inayopelekea kuchanganyikiwa wawepo barabarani?

Hawathamini hata watumiaji wengine wa barabara, hawa thamini wamiliki wa vyombo waliowapatia ili kujiingizia vipato serikali nayo ni kama imewapa kisongo haitaki kuji shughulisha nao.

Nini kifanyike kudhibiti tabia za hawa watoto pale wawepo katika vyombo vya usafiri ? Sheria gani zitungwe kwa ajili yao, elimu gani itolewe kwa ajili yao
cha kushangaza utakufilia mbali ww na kutuacha sisi boda tunaendelea kucheza visingeli na vyombo vya moto barabarani..............by boda mvaa yebo🥳🤕
 
Wanajielewa basi?
Iko hivi,wengi wao wana imani kila pikipiki ya mhindi na mchina,ni sawa na BMW ya cc1200. Kwa mwendo,anataka aipite gari na asiovatekiwe.

Kuna kajama furani miaka ya nyuma,watu wa kinondoni huwenda wengi wanamjua. Siku moja,alikuwa na KTM yake,ile michezo yao,akataka aruke juu ya contena kwenye foreni. Hesabu nadhani hazikwenda sawa. Aligeuka ghafra na kichwa ndo kikatangulia chini. Hapo hapo,biashara ikaisha. Miaka kama ya 2016 au 2017 mwanzoni. Nadhani ili tathmini zikae sawa,mutembeleeni hospitali za mikoa na za wilaya,muangalie wodi za majeruhi.
 
Back
Top Bottom