Vijana wa Bongo jifunzeni kwa CR 7

Vijana wa Bongo jifunzeni kwa CR 7

Muite

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2013
Posts
2,971
Reaction score
6,607
"When I speak about my father, I don't have the words. The sadness is for me to be the number one and for him to have never seen it. All my family saw, but my father didn't see any of it."

Cristiano Ronaldo talking about his dad who passed away September 6 of 2005 when he was just 20 years old and making his first steps at Manchester United.

You can win it all, but sometimes you just need the hug that makes you feel at home.

Vijana wa Bongo wanapopata mafanikio wanaanza kujaa viburi na nyodo na kuanza kuwasimanga na kuwahukumu baba zao.

Wanalishwa ujinga na Mama zao, nao hushindwa kutambua kuwa nature ya mwanamke hasa wa Kiafrika ni ubinafsi. Hatasema kwa watoto jema lolote la mumewe zaidi ya lawama. Halafu baba akifariki ndipo anarudi kuwaeleza wanae mema ya baba yao.

Nimependa jinsi CR7 anavyoguswa na baba yake.

Tuna wasanii wakubwa tu hapo Bongo walidiriki kujinadi kwenye media kuwakana baba zao na wengine kuwalaumu kuwa hawakuwatunza.
 
Ronaldo hakuwahi kukimbiwa na Baba yake,na pia hakua mtoto wa mchepuko. Hivyo Mama yake hakua na sababu ya kumlisha chuki dhidi ya Baba yake
Usitake kupingana na ukweli... hoja yako ya Ronaldo kutokukimbiwa au kukimbiwa na Baba haina mashiko Dada.

watasha hawanaga huo ujinga wa kuwapandikiza watoto chuki kama nyie wanawake wa kiafrika.

Ikiwa ukweli ataweka ukweli wazi na ikiwa uongo atauweka wazi.

Baba yake na Ronaldo alikuwa mlevi au mraibu wa pombe kupita maelezo mpaka kuna muda alishindwa kufanya kazi na kuendesha familia. Jukumu alilishika Mama yake na baadhi ya kaka zake. Lakini hata siku moja huyo bwana hajawahi kusimama na kumkana au kumkashifu baba yake. Wala mama yake hawezi kuruhusu hilo.

Sio huyo tu wapo wachezaji wengine wana historia ngumu na rafu sana za maisha ya utoto kama vile Ibrahimovic lakini hakuna anayejua na wala hasimami kumponda baba yake. Tazama waafrika sasa 😅


Usitetee upuuzi! Muache kupandikiza watoto chuki na kuwarithisha ujinga wenu.
 
Mkuu povu lako mpelekee mama yako aliyekujaza chuki,hana akili kabisa na kapata hasara kupata litoto lisilo na mbele wala nyuma Kwanza wewe sio mleta mada kunikurupukia na gazeti kubwa. Pili ni maoni yangu sijakuquote kiasi cha kuniletea undezi hapa. Shuaini zako mxiiiiiiiuuuuu

Kuwa mlevi na kutelekeza familia ni vitu viwili tofauti. Alikua mlevi lakini hakumgeuza Mama yake Ronaldo mchepuko wa kuzaa zaa ovyo nje ya ndoa.
Usitake kupingana na ukweli... hoja yako ya Ronaldo kutokukimbiwa au kukimbiwa na Baba haina mashiko Dada.

watasha hawanaga huo ujinga wa kuwapandikiza watoto chuki kama nyie wanawake wa kiafrika.

Ikiwa ukweli ataweka ukweli wazi na ikiwa uongo atauweka wazi.

Baba yake na Ronaldo alikuwa mlevi au mraibu wa pombe kupita maelezo mpaka kuna muda alishindwa kufanya kazi na kuendesha familia. Jukumu alilishika Mama yake na baadhi ya kaka zake. Lakini hata siku moja huyo bwana hajawahi kusimama na kumkana au kumkashifu baba yake. Wala mama yake hawezi kuruhusu hilo.

Sio huyo tu wapo wachezaji wengine wana historia ngumu na rafu sana za maisha ya utoto kama vile Ibrahimovic lakini hakuna anayejua na wala hasimami kumponda baba yake. Tazama waafrika sasa 😅


Usitetee upuuzi! Muache kupandikiza watoto chuki na kuwarithisha ujinga wenu.
 
Mkuu povu lako mpelekee mama yako aliyekujaza chuki,hana akili kabisa na kapata hasara kupata litoto lisilo na mbele wala nyuma Kwanza wewe sio mleta mada kunikurupukia na gazeti kubwa. Pili ni maoni yangu sijakuquote kiasi cha kuniletea undezi hapa. Shuaini zako mxiiiiiiiuuuuu

Kuwa mlevi na kutelekeza familia ni vitu viwili tofauti. Alikua mlevi lakini hakumgeuza Mama yake Ronaldo mchepuko wa kuzaa zaa ovyo nje ya ndoa.
Binti huna adabu kabisa! na akili pia huna...hakuna povu hapo, umeeleweshwa. Kwa kuwa akili huna u took it personal! Pole sana!

Ila nimeshakusamehe.
 
🗣️ "When I speak about my father, I don't have the words. The sadness is for me to be the number one and for him to have never seen it. All my family saw, but my father didn't see any of it..."

Cristiano Ronaldo talking about his dad who passed away September 6 of 2005 when he was just 20 years old and making his first steps at Manchester United ⚽

You can win it all, but sometimes you just need the hug that makes you feel at home ❤️

Vijana wa Bongo wanapopata Mafanikio wanaanza kujaa VIBURI na NYODO na kuanza kuwasimanga na kuwahukumu BABA zao .

Wanalishwa ujinga na Mama zao nao hushindwa kutambua kuwa nature ya Mwanamke hasa wa Kiafrika ni UBINAFSI. Hatasema kwa watoto jema lolote la Mumewe zaidi ya lawama. Halafu Baba akifariki ndipo anarudi kuwaeleza wanae Mema ya Baba yao.

Nimependa jinsi CR7 anavyoguswa na Baba yake.

Tuna wasanii wakubwa tu hapo Bongo walidiriki kujinadi kwenye Media kuwakana Baba zao na wengine kuwalaumu kuwa hawakuwatunza.

CC. Diamond Platinumz, Ommy Dimpoz
 
Ni kipi kibaya baba yake Ronaldo alifanya kwa CR 7, mzee amekufa akimpambania Ronaldo pamoja na familia , Ronaldo alishuhudia hili kwa usahihi , vijana wa kibongo wanapenda kutomba ila kulea hawataki , wanapenda kuwa na sifa nimezaa na mwanamke yule na yule nina watoto kumi ila kuwapambania hutaki mambo yakikuharibikia uzeeni unaanza kutupa lawama kwa mama zao , ukizaa lea mtoto ataona tuu hzo juhudi hata kama mama awe anaficha
Hujui historia ya cr7.
 
Funzo tunalolipata hapa Kwa Huyu Mwamba CR7 ni kwamba 'Usizae hovyo hovyo' nje Ya ndoa halafu Na Usitelekeze Mtoto mpaka afikie hatua Ya kulishwa Matango pori Na Mama Yake...!

Sasa nyie Vijana Endeleeni Na Kampeni Yenu ya Kishetani huku Mkibana pua 'Kataa ndoa'..... Sijui Mnataka kujiunga Na Wale Wa Upinde?
 
Usitake kupingana na ukweli... hoja yako ya Ronaldo kutokukimbiwa au kukimbiwa na Baba haina mashiko Dada.

watasha hawanaga huo ujinga wa kuwapandikiza watoto chuki kama nyie wanawake wa kiafrika.

Ikiwa ukweli ataweka ukweli wazi na ikiwa uongo atauweka wazi.

Baba yake na Ronaldo alikuwa mlevi au mraibu wa pombe kupita maelezo mpaka kuna muda alishindwa kufanya kazi na kuendesha familia. Jukumu alilishika Mama yake na baadhi ya kaka zake. Lakini hata siku moja huyo bwana hajawahi kusimama na kumkana au kumkashifu baba yake. Wala mama yake hawezi kuruhusu hilo.

Sio huyo tu wapo wachezaji wengine wana historia ngumu na rafu sana za maisha ya utoto kama vile Ibrahimovic lakini hakuna anayejua na wala hasimami kumponda baba yake. Tazama waafrika sasa 😅


Usitetee upuuzi! Muache kupandikiza watoto chuki na kuwarithisha ujinga wenu.
Mbona Numbisa amejibu vyema hoja ya mleta uzi.

Mleta uzi anajaribu kumtumia Ronaldo kama mfano kwa vijana wa Bongo na wasanii baadhi yao ambao wamekuwa wakiwasema baba zao vibaya.

Numbisa anasema Ronaldo hakuwahi kukataliwa au kutelekezwa na baba yake na hili ni kweli, au labda kama wewe una habari nyingine za CR7 kukataliwa na baba yake?

Katika mazingira kama hayo huwezi kumtumia CR7 kama mfano kwa vijana ambao walikataliwa na wazazi wao na hata kutelekezwa.

Mkuu, hakuna mtu anaweza kumpandikiza chuki mtoto wako kama wewe utakuwa nae wakati wote na yeye akakuona.

Wanaume tuache ujinga, tulee watoto wetu. Acheni ujinga na upumbavu wa kuwasingizia wanawake eti wanawajaza watoto chuki. Mtoto atakuchukia tu kama wewe ni mjinga ulimimina mbegu na ukakimbia, hukumtunza unataka akupende?
 
Huyo demu akili hana! Hebu tazama source mpaka aanze kuvunjia mashab heshima... alafu ananifananisha mimi na malaya wenzake anaojiuza nao humu.
Ila amekuchezea akili sana mkuu. Anakuwekea sentensi ile ile nawe unaingia king unazidi kuporomosha matusi na kuzidi kujichoresha tu. Halafu tena anakuwekea sentensi ile ile ili uji-knock out!

Next time kwepa mitego ya aina hii. Na ligi za matusi hizi huwa hazina mshindi...often you both end up losing in public eyes...na hata kutandikwa ban 😁😁😁
 
Ila amekuchezea akili sana mkuu. Anakuwekea sentensi ile ile nawe unaingia king unazidi kuporomosha matusi na kuzidi kujichoresha tu. Halafu tena anakuwekea sentensi ile ile ili uji-knock out!

Next time kwepa mitego ya aina hii. Na ligi za matusi hizi huwa hazina mshindi...often you both end up losing in public eyes...na hata kutandikwa ban 😁😁😁
Ila kweli kaka... nimeuza mechi 😁

Ila nahisi huyu mwanamama kanielewa... kama uko nae close hebu niwekee sawa nipate kumla mbususu aone U-rijal bin shabab wangu 😄🤔👍🏾
 
"When I speak about my father, I don't have the words. The sadness is for me to be the number one and for him to have never seen it. All my family saw, but my father didn't see any of it."

Cristiano Ronaldo talking about his dad who passed away September 6 of 2005 when he was just 20 years old and making his first steps at Manchester United.

You can win it all, but sometimes you just need the hug that makes you feel at home.

Vijana wa Bongo wanapopata mafanikio wanaanza kujaa viburi na nyodo na kuanza kuwasimanga na kuwahukumu baba zao.

Wanalishwa ujinga na Mama zao, nao hushindwa kutambua kuwa nature ya mwanamke hasa wa Kiafrika ni ubinafsi. Hatasema kwa watoto jema lolote la mumewe zaidi ya lawama. Halafu baba akifariki ndipo anarudi kuwaeleza wanae mema ya baba yao.

Nimependa jinsi CR7 anavyoguswa na baba yake.

Tuna wasanii wakubwa tu hapo Bongo walidiriki kujinadi kwenye media kuwakana baba zao na wengine kuwalaumu kuwa hawakuwatunza.
Tupe historia vizuri ya maisha ya cristian Ronaldo kabla hajawa star,maana katika pitapita zangu sijawahi kwenye mitandao sijawahi Ona sehemu cristian kasema kwamba alikimbiwa na baba
 
Back
Top Bottom