Vijana wa Bongo jifunzeni kwa CR 7

Vijana wa Bongo jifunzeni kwa CR 7

Usitake kupingana na ukweli... hoja yako ya Ronaldo kutokukimbiwa au kukimbiwa na Baba haina mashiko Dada.

watasha hawanaga huo ujinga wa kuwapandikiza watoto chuki kama nyie wanawake wa kiafrika.

Ikiwa ukweli ataweka ukweli wazi na ikiwa uongo atauweka wazi.

Baba yake na Ronaldo alikuwa mlevi au mraibu wa pombe kupita maelezo mpaka kuna muda alishindwa kufanya kazi na kuendesha familia. Jukumu alilishika Mama yake na baadhi ya kaka zake. Lakini hata siku moja huyo bwana hajawahi kusimama na kumkana au kumkashifu baba yake. Wala mama yake hawezi kuruhusu hilo.

Sio huyo tu wapo wachezaji wengine wana historia ngumu na rafu sana za maisha ya utoto kama vile Ibrahimovic lakini hakuna anayejua na wala hasimami kumponda baba yake. Tazama waafrika sasa 😅


Usitetee upuuzi! Muache kupandikiza watoto chuki na kuwarithisha ujinga wenu.
Mbona ronaldo hana hasira kama wewe eti,
 
Mbona Numbisa amejibu vyema hoja ya mleta uzi.

Mleta uzi anajaribu kumtumia Ronaldo kama mfano kwa vijana wa Bongo na wasanii baadhi yao ambao wamekuwa wakiwasema baba zao vibaya.

Numbisa anasema Ronaldo hakuwahi kukataliwa au kutelekezwa na baba yake na hili ni kweli, au labda kama wewe una habari nyingine za CR7 kukataliwa na baba yake?

Katika mazingira kama hayo huwezi kumtumia CR7 kama mfano kwa vijana ambao walikataliwa na wazazi wao na hata kutelekezwa.

Mkuu, hakuna mtu anaweza kumpandikiza chuki mtoto wako kama wewe utakuwa nae wakati wote na yeye akakuona.

Wanaume tuache ujinga, tulee watoto wetu. Acheni ujinga na upumbavu wa kuwasingizia wanawake eti wanawajaza watoto chuki. Mtoto atakuchukia tu kama wewe ni mjinga ulimimina mbegu na ukakimbia, hukumtunza unataka akupende?
Absolutely true
 
Tupe historia vizuri ya maisha ya cristian Ronaldo kabla hajawa star,maana katika pitapita zangu sijawahi kwenye mitandao sijawahi Ona sehemu cristian kasema kwamba alikimbiwa na baba
Nadhani mada yangu sikuiweka vema, na wasomaji imewachanganya hasa wanapolinganisha uhusiano wa CR 7 na Baba yake na hiki ninachoeleza kuhusu baadhi ya celebrities wa Bongo waliowakataa Baba zao baada ya kuupata umaarufu. Kimsingi ni kweli kabisa CR 7 hakuna sehemu inayoonyesha kama Mzee wake hakuwajibika kumlea.

Kilichonifanya niweke ulinganifu huo ni namna CR 7 anavyoonekana wazi kuguswa sana na Baba yake. Ninavyomsoma ninaamini iwapo naye angekuwa amepitia malezi kama ya DIAMOND au OMMY DIMPOZ au Q CHILLER au Mhe KIGWANGALA asingefanya kama hawa walivyofanya kwa wazee wao KUWAPONDA MBELE YA JAMII.

NINAAMINI CR 7 ANGE TAKE EASY KWA KUZINGATIA KWAMBA ILIKUWA NI CONFLICT ZA WAZAZI. NA HUENDA ANGECHUKULIA KUWA MAFANIKIO YAKE YAMETOKANA NA NJIA HIYO
 
All my family saw, but my father didn't see any of it.
Yaan hii inauma pale unapofanikiwa alafu aliekufanikisha hayupo then wanaokula mafanikio yako sio wale waliokupigania ufanikiwe, utatamani ulie
 
Acheni pombe na michepuko mtunze familia zenu. Kuanzisha threads humu JF haisaidii kitu. Tusikimbie responsibilties na kuanza kuwabebesha watu wengine lawama.
 
Acheni pombe na michepuko mtunze familia zenu. Kuanzisha threads humu JF haisaidii kitu. Tusikimbie responsibilties na kuanza kuwabebesha watu wengine lawama.
Kila mtu ameelewa kivyake mimi nimeelewa hio quotation ya kingereza zaidi kuliko hicho kiswahili
 
Anasema "the sadness is for me to be the number one and for him to have never seen it". Naomba kuuliza hapa anazungumzia namba moja ipi labda?
 
Anasema "the sadness is for me to be the number one and for him to have never seen it". Naomba kuuliza hapa anazungumzia namba moja ipi labda?
Balon d O kwani hajawahi kubeba? Kiatu hajawahi kuchukua? Medali hajawahi kuvaa? Ufungaji Bora hajawahi kuchukua? Statue hajajengewa kwao?

We ulitaka aseme nini?
 
Balon d O kwani hajawahi kubeba? Kiatu hajawahi kuchukua? Medali hajawahi kuvaa? Ufungaji Bora hajawahi kuchukua? Statue hajajengewa kwao?

We ulitaka aseme nini?
World cup nayo vipi?
 
Usitake kupingana na ukweli... hoja yako ya Ronaldo kutokukimbiwa au kukimbiwa na Baba haina mashiko Dada.

watasha hawanaga huo ujinga wa kuwapandikiza watoto chuki kama nyie wanawake wa kiafrika.

Ikiwa ukweli ataweka ukweli wazi na ikiwa uongo atauweka wazi.

Baba yake na Ronaldo alikuwa mlevi au mraibu wa pombe kupita maelezo mpaka kuna muda alishindwa kufanya kazi na kuendesha familia. Jukumu alilishika Mama yake na baadhi ya kaka zake. Lakini hata siku moja huyo bwana hajawahi kusimama na kumkana au kumkashifu baba yake. Wala mama yake hawezi kuruhusu hilo.

Sio huyo tu wapo wachezaji wengine wana historia ngumu na rafu sana za maisha ya utoto kama vile Ibrahimovic lakini hakuna anayejua na wala hasimami kumponda baba yake. Tazama waafrika sasa [emoji28]


Usitetee upuuzi! Muache kupandikiza watoto chuki na kuwarithisha ujinga wenu.
Msanii mmoja mkubwa bongo mpaka leo kamnunia baba yake
Itakuwa mazeli wake kamlisha sumu

Ova
 
Msanii mmoja mkubwa bongo mpaka leo kamnunia baba yake
Itakuwa mazeli wake kamlisha sumu

Ova
"Wanalishwa ujinga na Mama zao, nao hushindwa kutambua kuwa nature ya mwanamke hasa wa Kiafrika ni ubinafsi."


KIPANDE HICHO AADHWIIM KABISA CHA UJUMBE KUTOKA KWA NDUGU MLETA MADA CHENYE NUKTA NZITO ILIYOJAWA UKWELI ULIOTUKUKA KIMEMALIZA YOTE! 😊👍🏾
 
Lea mbegu zako mzee baba zikitoboa zikukumbuke...tena siku hizi rahisi, mpesa tu...
Sio ule tu ujana halafu ukichoka ndio unakumbuka nina kijana..Ronaldo hakutengwa..
 
Back
Top Bottom