Vijana wa Bongo jifunzeni kwa CR 7

Huwajui wanawake wabongo wew utatunza utamlea ila ukijikwaa mkagombana nahuyo mzaz mwenzio haijalishi nimkeo au mchepuko chuki anazihamishia kwamtoto
 
Ujifunze kwa shoga[emoji16]
 
Kwakuwa umetugusa acha tukujibu.
Migogoro mingi ya wazazi huwa inaanzia kwenye ndoa na mwisho wa siku mwanamke hutumia fursa yake ya kushinda na watoto muda mwingi kuwalisha sumu juu ya baba yao.
Ukichunguza kwa kina wanaume wengi wenye watoto bila ndoa huwa ni wawajibikaji na hawana muda wa malumbano na wazazi wenza. Tengenezeni vzr mazingira ya ndoa zenu badala ya kumalizia stress kwetu tusio na ndoa na tusiohitaji kuoa.
#KATAANDOA
 
Bongo unakuta wanawakata baba zao halafu wanaongozana na mama zao kila mahali utafikiri hao mama zao ni madem wao wapya
 
Huwajui wanawake wabongo wew utatunza utamlea ila ukijikwaa mkagombana nahuyo mzaz mwenzio haijalishi nimkeo au mchepuko chuki anazihamishia kwamtoto
Ukitafuta sababu za kutomlea mtoto wako utazipata, ni nyingi sana lakini nakuhakikishia kwamba zote ni za kijinga.

Nimekuwa hapo mkuu, nimelea mtoto na mwanamke katika mazingira hayo. Hata ukigombana na mwanamke usikubali yeye amuingize mtoto kwenye ugomvi wenu. Tatizo kubwa kwetu wanaume, ukikosana na huyo mzazi mwenzio unamsusa na mtoto na hapo ndio mtoto anaanza kulishwa sumu. Hakuna mahusiano kati yako na mtu uliyezaa nae ukiachana na kumlea mtoto.
 
Kwani cr7 kaoa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…