Vijana wa Chuo Mwenge wamenikuta nakula hivi Usiku huu Wamenicheka je, Mimi na Wao waliokula Kiepe Mshikaki cha Kushea nani kala Afya?

Vijana wa Chuo Mwenge wamenikuta nakula hivi Usiku huu Wamenicheka je, Mimi na Wao waliokula Kiepe Mshikaki cha Kushea nani kala Afya?

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Nimepita Mwenge na Kununua Sahani yenye Mseto wa Matunda yote Muhimu kwa Tsh 1000/= tu na kuna Vijana wa Chuo nimekuta wamenunua Chips na Mishikaki kwa Tsh 2500/= na wanakula kwa Kushea ( Kupeana Assist )

Cha Kushangaza Wao wakawa wananicheka Mightier kwa Kula Sahani yangu ile ya Mseto wa Matunda wakisema Nimepigika ( Nimeishiwa ) na kwamba Wao kwa Chips Kavu yao na Mishikaki yao Miwili ndiyo wanakula Kishua ( Kitajiri ) na inavyotakiwa.

Sasa naomba kujua tu je, Mimi na Wao ( hawa Vijana wa Chuo Mwenge ) nani kala Afya na kala Matatizo kwa Usiku huu ambao ndiyo Kwanza Saa 5 hii unaanza Kukolea na nani huenda baadae Usiku Njaa itamshika na atakosa kabisa Usingizi na Kupeana Kolabo na Wachawi pamoja na Vibaka hadi Kunakucha?
 
Nimepita Mwenge na Kununua Sahani yenye Mseto wa Matunda yote Muhimu kwa Tsh 1000/= tu na kuna Vijana wa Chuo nimekuta wamenunua Chips na Mishikaki kwa Tsh 2500/= na wanakula kwa Kushea ( Kupeana Assist )

Cha Kushangaza Wao wakawa wananicheka Mightier kwa Kula Sahani yangu ile ya Mseto wa Matunda wakisema Nimepigika ( Nimeishiwa ) na kwamba Wao kwa Chips Kavu yao na Mishikaki yao Miwili ndiyo wanakula Kishua ( Kitajiri ) na inavyotakiwa.

Sasa naomba kujua tu je, Mimi na Wao ( hawa Vijana wa Chuo Mwenge ) nani kala Afya na kala Matatizo kwa Usiku huu ambao ndiyo Kwanza Saa 5 hii unaanza Kukolea na nani huenda baadae Usiku Njaa itamshika na atakosa kabisa Usingizi na Kupeana Kolabo na Wachawi pamoja na Vibaka hadi Kunakucha?
@Gentamycin umezingua
 
Nimepita Mwenge na Kununua Sahani yenye Mseto wa Matunda yote Muhimu kwa Tsh 1000/= tu na kuna Vijana wa Chuo nimekuta wamenunua Chips na Mishikaki kwa Tsh 2500/= na wanakula kwa Kushea ( Kupeana Assist )

Cha Kushangaza Wao wakawa wananicheka Mightier kwa Kula Sahani yangu ile ya Mseto wa Matunda wakisema Nimepigika ( Nimeishiwa ) na kwamba Wao kwa Chips Kavu yao na Mishikaki yao Miwili ndiyo wanakula Kishua ( Kitajiri ) na inavyotakiwa.

Sasa naomba kujua tu je, Mimi na Wao ( hawa Vijana wa Chuo Mwenge ) nani kala Afya na kala Matatizo kwa Usiku huu ambao ndiyo Kwanza Saa 5 hii unaanza Kukolea na nani huenda baadae Usiku Njaa itamshika na atakosa kabisa Usingizi na Kupeana Kolabo na Wachawi pamoja na Vibaka hadi Kunakucha?
Kesho wavizie utawakuta wamepanga foleni kununua dawa ya kuboost mshipa
 
Wabongo acheni mbwembwe,Mbongo na matunda wapi na wapi?
We tandika nguna yako heavy usiku kisha lala..hayo ya kula matunda usiku ulale waachien wazungu tu.ndio maana mnapata ulcers hovyo.
 
dah yaani nile matunda kisha nilale
yaani nitaota nakabwa
nakimbizwa
mara nang'olewa meno

huwa sijihatarishi kwa kula vitu vyepesi usiku
That's why you're not Healthy and Nut.
 
Niko nje kidogo ya madam
Kama kunamtu anamawasiliano na Mrisho Mpoto naombeni anisaidie nimejaribu mtafta Instagram, Facebook na kupitia baadhi ya Media presenters ila sijafanikiwa
Una muda gani toka uanze Kuvuta Bangi?
 
Nimepita Mwenge na Kununua Sahani yenye Mseto wa Matunda yote Muhimu kwa Tsh 1000/= tu na kuna Vijana wa Chuo nimekuta wamenunua Chips na Mishikaki kwa Tsh 2500/= na wanakula kwa Kushea ( Kupeana Assist )

Cha Kushangaza Wao wakawa wananicheka Mightier kwa Kula Sahani yangu ile ya Mseto wa Matunda wakisema Nimepigika ( Nimeishiwa ) na kwamba Wao kwa Chips Kavu yao na Mishikaki yao Miwili ndiyo wanakula Kishua ( Kitajiri ) na inavyotakiwa.

Sasa naomba kujua tu je, Mimi na Wao ( hawa Vijana wa Chuo Mwenge ) nani kala Afya na kala Matatizo kwa Usiku huu ambao ndiyo Kwanza Saa 5 hii unaanza Kukolea na nani huenda baadae Usiku Njaa itamshika na atakosa kabisa Usingizi na Kupeana Kolabo na Wachawi pamoja na Vibaka hadi Kunakucha?
Mkuu, wanafunzi wengi wa chuo kikuu ni mambumbumbu tu, yaani hawana ishu. Hapo wamepeana assist kisha wanakwenda kulana wenyewe kwa wenyewe huku wakikariri maneno mapya ya kiingereza waliyopewa darasani.
 
Kwa nini wanafunzi wa chuo wanachukiwa sana?

Shida huwa ni nini.
 
Kheee nikajua ulikuwa unakula ugali kumbe matunda tu.
Mie nikila hayo usiku lazima
Nishtukeshtuke
Mandoto ya ajabuajabu
Msala wa kuanza kupika usiku mwisho wahisi kuna panya ndani kumbe ni mimi hata kuisiwa unadokoa usiku

Aaaah nimesahau kumbe upo daslamu.
 
Back
Top Bottom