Vijana wa Chuo Mwenge wamenikuta nakula hivi Usiku huu Wamenicheka je, Mimi na Wao waliokula Kiepe Mshikaki cha Kushea nani kala Afya?

Vijana wa Chuo Mwenge wamenikuta nakula hivi Usiku huu Wamenicheka je, Mimi na Wao waliokula Kiepe Mshikaki cha Kushea nani kala Afya?

Yan unakula vimatunda tu ndo unajiona Umekula chakula hivo huwa tunakula baada ya kula Dona lenye nguvu
 
Nimepita Mwenge na Kununua Sahani yenye Mseto wa Matunda yote Muhimu kwa Tsh 1000/= tu na kuna Vijana wa Chuo nimekuta wamenunua Chips na Mishikaki kwa Tsh 2500/= na wanakula kwa Kushea ( Kupeana Assist )

Cha Kushangaza Wao wakawa wananicheka Mightier kwa Kula Sahani yangu ile ya Mseto wa Matunda wakisema Nimepigika ( Nimeishiwa ) na kwamba Wao kwa Chips Kavu yao na Mishikaki yao Miwili ndiyo wanakula Kishua ( Kitajiri ) na inavyotakiwa.

Sasa naomba kujua tu je, Mimi na Wao ( hawa Vijana wa Chuo Mwenge ) nani kala Afya na kala Matatizo kwa Usiku huu ambao ndiyo Kwanza Saa 5 hii unaanza Kukolea na nani huenda baadae Usiku Njaa itamshika na atakosa kabisa Usingizi na Kupeana Kolabo na Wachawi pamoja na Vibaka hadi Kunakucha?
umeshinda wewe
 
Back
Top Bottom