Vijana wa HALAIKI huwa wananufaika na kipi baada ya mafunzo na shughuli ya kiserikali kupita?

Huwa wanapewa

Pilau ,Soda na maji buleysafiri kutoka shuleni na kurudi shuleni Bure pamoja na 10,000 kifuta machozi.

Vipi hapo?
Hawa hawakuwa na usafiri, walipewa usafiri siku moja tu ya tukio. Kifuta machozi nacho ngoja tuone.
 
Upo sahihi kabisa zingekuwa zina maslahi mapana wangejazana watoto wa viongozi.
 
Mara nyingi zawadi ni hizo truck suit wanazopewa na mara chache vipesa vya matumizi ... niliwahi shiriki back then
Pole mkuu, kwa zawadi hizo na ile pilikapilika ya mafunzo uliyopitia unaweza kukubali mwanao ashiriki?

umefaidika na nini?
 
Mwanao kashiriki au?
Mbona unang'ang'ania vyeti mi nshashiriki hayo sana utotoni hayahitaji ujuzi wowote sasa hicho cheti kitamsaidia nini
Ni mapendekezo kama itafaa wawe wanapewa vyeti vya mafunzo hayo, watoto wamesoma nusu siku, siku nyingine hawasomi kabisa(kuna ambao itawaathiri darasani), kuchoka na kupitia changamoto nyingine kuwapa pongezi ya track suti, raba over size, miamvuli na pilau sidhani kama ni sahihi. Sasa tofauti yao na ambao hawajashiriki ni nini? Waangalie waweke utaratibu wa kuwareward kwa vyeti vya kuhitimu mafunzo hayo.
 
Wanapandikizwa elements za kizalendo wangali watoto.
CAG kila siku anareport matrilion kupotea NO ACTION TAKEN
Hao wanaotafuna hayo matrilion wengine wamepita mpaka jeshi ila hawajali huo uzalendo.
 
Nilikua chipikizi mwaka 1987, baada ya kua mkubwa aiseeee nilijiona bonge la fala sana nikiwaza walivyo tufanya wapuuzi wakati wao watoto wao walikua wakisoma Kenya na Uganda miaka hiyo
😂 pole sana mkuu si ulinufaika lakini?
 
Hao ndiyo kina Lucas Mwashambwa wa baadae

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Pole mkuu, kwa zawadi hizo na ile pilikapilika ya mafunzo uliyopitia unaweza kukubali mwanao ashiriki?

umefaidika na nini?
Nilifurahi tu nilipo chaguliwa sikujali zawadi pia sehemu ya mazoezi na kumbukumbu nzuri ktk safari yangu ya utoto.

Yes mtoto wangu nitakubali ashiriki ila akipenda yeye coz myself sikuona kama adhabu bali ni sehemu ya burudani na ukakamavu
 
Nenda stationery print cheti umpe mwanao. Mbona rahisi sana?.... Acheni ulalamishi wa kipuuzi. Wazazi kama wewe ndo mnafanya watoto wanakuwa na tabia za kijinga kwa kudhani kukaa darasani peke yake ndo maisha. Mtoto anakaa shuleni masaa ya kutosha na akirudi nyumbani anaenda tena tuition badala ya kufanya kazi za nyumbani. Hata wakati wa likizo badala ya kufanya kazi unampeleka tuition. Wazazi wengi tuna mchango mkubwa kwenye kutengeneza kizazi cha hovyo.
 
MACCM WANAWAPA ELF TANO TANO
 
sawa mkuu
 
Nilifurahi tu nilipo chaguliwa sikujali zawadi pia sehemu ya mazoezi na kumbukumbu nzuri ktk safari yangu ya utoto.

Yes mtoto wangu nitakubali ashiriki ila akipenda yeye coz myself sikuona kama adhabu bali ni sehemu ya burudani na ukakamavu
Hongera sana mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…