Vijana wa kariakoo leo mmeniweza, nimewanyooshea mikono juu

huo ni wizi kama wizi mwingine, kazi ya laana hiyo
Mwisho wa siku inabidi umpe tu maana kashakuzungusha wakati anapoenda anapajua na kwa kua unaona kasumbuka inabidi umpe tu kumbe ndio mchezo wao Ila ukisubiri anaenda kuchukua palepale na yeye na huyo mwenye duka wanajuana yaan usione umeenda nae anauliza Bei ukahisi hawajuani kumbe ni mtu wake na ndio alipokua anaenda kuvifuata hapo baada ya kukupanga Mawawa alafu unaweza sema ni 18,000/- kumbe Bei ni chini ya hapo Ila muuzaji kagundua bwawa limeshaingia ruba dogo winga anaweza akakosa kila kitu, mwisho na wewe ukamuongeza kwa hio kule anapata na huku anapata ukijumlisha huku na huku 20,000/- hii hapa
 
😂😂😂😂 Mpaji Mungu njoo hapa umuombe msamaha huyu jamaa kwa kumzururisha wakati unajua fika huna store
🤣🤣Kuna maeneo ukileta upori pori watu tutakufundisha maisha!

Yaan mm na ujanja/ujinga wangu wote kama Kuna kitu nahitaji kufanya kariakoo afu sielewi elewi natafuta rafiki yangu wa angle hyo nampa ganji kidogo tunaishi kibingwa
 
Umefanya vzr sna kumpa hyo pesaa
 
Juzi pia niliona Fridge nzuri ktk moja ya mitandao. Nikamchek jamaa akasema anafanya delivery..

Ila akili ikanicheza nikamwambia nakuja dukani (nia yangu nipate risiti na pia nipajue just in case ikizingua, pia ninunue na kitu kingine nikipenda).

Kufika Pale kkoo jamaa kanifata naona ananipeleka sehem ambapo kwa kawaida kitu kama fridge si rahisi kukaa kwenye yale maduka.

Kumbe ni store huko kakosa ikabidi tuhame mtaa.. (hapa nikajua jamaa ni Winga) ikabidi niwe mpole...

Uzuri bei tuliyokubaliana ilikuwa rafiki sana maan nimeokoa kama laki 6 hivi ningenunua M.City au ktk Malls zingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…