Vijana wa kariakoo leo mmeniweza, nimewanyooshea mikono juu

Vijana wa kariakoo leo mmeniweza, nimewanyooshea mikono juu

Mkuu wewe ni boyaa no offence next time hawana waambie wakuelekeze Kwa kidole kama hawataki waambie una miguu uendelee kuulizia,na ni kupe Akili next time usiibiwe kiboya(Yani inaniuma kama hiyo 12k ni yangu)Kabla hujanunua kitu ulizia duka 3 tofauti utapata average price then utajua uchukue duka lipi.. kapishiii?
 
Itaku
Ndugu zangu nikiwa katika harakati za kununua vifaa kwa ajili ya tv yangu yaani Tv guard na Hd Tv cable 4k haya ndio yaliyonikuta.

Nikaenda moja kwa moja kwenye moja ya maduka yanauza tv, baada ya kufika pale nikauliza hivi vifaa wakaniambia vipo.

Tukaanza kubagain bei, tv guard wakanimbi 30,000 na Hd tv cable 20,000, nikatoa macho mbona bei kali hivyo? Jamaa akanikazia macho brothe hivi vitu ni og.

Nikasema hapana vyote nitawapa 25,000 Tukazozana pale bei mwisho siku tukakubaliana 30,000 kwa vyote, yaani tv guard kwa 20,000 na Hd tv cable kwa 10’000.

Wakaniambia brother lipia, nikawambia nipe kwanza bidhaa ndio nilipie, wakasema havipo hapa ngoja nifuate stoo, nikawambia tunaenda wote.

Hao tukaongozana cha ajabu tunazunguka tu stoo hatufiki, cha ajabu tena tunapita kwenye baadhi ya maduka kuulizia hizo bidhaa, kiujumla nikajua kinachoendelea kuwa kijana anatafuta ridhiki.
Nikamtahadharisha kuwa, nataka bidhaa yenyewe maana nimesha jua kuwa zile bidhaa walikuwa hawana ata ile ngoja nikachukue stoo ilikuwa nizugisha tu.

Basi tukafika kwenye moja ya duka akauliza akaambiwa zipo muuzaji akamtajia bei, nikastaajabu, guard tv 10,000 na Hd tv cable 8,000.

Kumbuka kule aliniambia vyote nitavipata kwa 50,000 na tukakubaliana kuwa nitampa vyote kwa 30,000 dah.😀😀

Kwa kuwa tulikuwa tumeshazunguka sana, nikaona siyo kesi nikampa ile tuliyokubalia awali kisha nikatabasam.

View attachment 2832101

View attachment 2832102
Itakua mitaa ya nyamwezi hio...
 
Ndugu zangu nikiwa katika harakati za kununua vifaa kwa ajili ya tv yangu yaani Tv guard na Hd Tv cable 4k haya ndio yaliyonikuta.

Nikaenda moja kwa moja kwenye moja ya maduka yanauza tv, baada ya kufika pale nikauliza hivi vifaa wakaniambia vipo.

Tukaanza kubagain bei, tv guard wakanimbi 30,000 na Hd tv cable 20,000, nikatoa macho mbona bei kali hivyo? Jamaa akanikazia macho brothe hivi vitu ni og.

Nikasema hapana vyote nitawapa 25,000 Tukazozana pale bei mwisho siku tukakubaliana 30,000 kwa vyote, yaani tv guard kwa 20,000 na Hd tv cable kwa 10’000.

Wakaniambia brother lipia, nikawambia nipe kwanza bidhaa ndio nilipie, wakasema havipo hapa ngoja nifuate stoo, nikawambia tunaenda wote.

Hao tukaongozana cha ajabu tunazunguka tu stoo hatufiki, cha ajabu tena tunapita kwenye baadhi ya maduka kuulizia hizo bidhaa, kiujumla nikajua kinachoendelea kuwa kijana anatafuta ridhiki.
Nikamtahadharisha kuwa, nataka bidhaa yenyewe maana nimesha jua kuwa zile bidhaa walikuwa hawana ata ile ngoja nikachukue stoo ilikuwa nizugisha tu.

Basi tukafika kwenye moja ya duka akauliza akaambiwa zipo muuzaji akamtajia bei, nikastaajabu, guard tv 10,000 na Hd tv cable 8,000.

Kumbuka kule aliniambia vyote nitavipata kwa 50,000 na tukakubaliana kuwa nitampa vyote kwa 30,000 dah.[emoji3][emoji3]

Kwa kuwa tulikuwa tumeshazunguka sana, nikaona siyo kesi nikampa ile tuliyokubalia awali kisha nikatabasam.

View attachment 2832101

View attachment 2832102
Hii HD tv cable ndio HDMI cable?
 
Ndugu zangu nikiwa katika harakati za kununua vifaa kwa ajili ya tv yangu yaani Tv guard na Hd Tv cable 4k haya ndio yaliyonikuta.

Nikaenda moja kwa moja kwenye moja ya maduka yanauza tv, baada ya kufika pale nikauliza hivi vifaa wakaniambia vipo.

Tukaanza kubagain bei, tv guard wakanimbi 30,000 na Hd tv cable 20,000, nikatoa macho mbona bei kali hivyo? Jamaa akanikazia macho brothe hivi vitu ni og.

Nikasema hapana vyote nitawapa 25,000 Tukazozana pale bei mwisho siku tukakubaliana 30,000 kwa vyote, yaani tv guard kwa 20,000 na Hd tv cable kwa 10’000.

Wakaniambia brother lipia, nikawambia nipe kwanza bidhaa ndio nilipie, wakasema havipo hapa ngoja nifuate stoo, nikawambia tunaenda wote.

Hao tukaongozana cha ajabu tunazunguka tu stoo hatufiki, cha ajabu tena tunapita kwenye baadhi ya maduka kuulizia hizo bidhaa, kiujumla nikajua kinachoendelea kuwa kijana anatafuta ridhiki.
Nikamtahadharisha kuwa, nataka bidhaa yenyewe maana nimesha jua kuwa zile bidhaa walikuwa hawana ata ile ngoja nikachukue stoo ilikuwa nizugisha tu.

Basi tukafika kwenye moja ya duka akauliza akaambiwa zipo muuzaji akamtajia bei, nikastaajabu, guard tv 10,000 na Hd tv cable 8,000.

Kumbuka kule aliniambia vyote nitavipata kwa 50,000 na tukakubaliana kuwa nitampa vyote kwa 30,000 dah.😀😀

Kwa kuwa tulikuwa tumeshazunguka sana, nikaona siyo kesi nikampa ile tuliyokubalia awali kisha nikatabasam.

View attachment 2832101

View attachment 2832102
Hii tabia ipo hata kwa mafundi simu. Unapita barabarani unakuta jamaa kaweka benchi na kompyuta lake bovu hata haliwaki halafu anasema anaflash simu aina zote😆😆😆
Ukimpa simu anakwambia kaa hapo nakuja, anaenda kuflash kwa mtaalam akirudi anakwambia 25,000lumbe ni 15,000

Nyingine hii tabia ipo sana kwenye maduka mengi, unaingia dukani unakuta vijana nyomiiiii hata unashindwa kujua mwenye duka ni yupi
 
Ndugu zangu nikiwa katika harakati za kununua vifaa kwa ajili ya tv yangu yaani Tv guard na Hd Tv cable 4k haya ndio yaliyonikuta.

Nikaenda moja kwa moja kwenye moja ya maduka yanauza tv, baada ya kufika pale nikauliza hivi vifaa wakaniambia vipo.

Tukaanza kubagain bei, tv guard wakanimbi 30,000 na Hd tv cable 20,000, nikatoa macho mbona bei kali hivyo? Jamaa akanikazia macho brothe hivi vitu ni og.

Nikasema hapana vyote nitawapa 25,000 Tukazozana pale bei mwisho siku tukakubaliana 30,000 kwa vyote, yaani tv guard kwa 20,000 na Hd tv cable kwa 10’000.

Wakaniambia brother lipia, nikawambia nipe kwanza bidhaa ndio nilipie, wakasema havipo hapa ngoja nifuate stoo, nikawambia tunaenda wote.

Hao tukaongozana cha ajabu tunazunguka tu stoo hatufiki, cha ajabu tena tunapita kwenye baadhi ya maduka kuulizia hizo bidhaa, kiujumla nikajua kinachoendelea kuwa kijana anatafuta ridhiki.
Nikamtahadharisha kuwa, nataka bidhaa yenyewe maana nimesha jua kuwa zile bidhaa walikuwa hawana ata ile ngoja nikachukue stoo ilikuwa nizugisha tu.

Basi tukafika kwenye moja ya duka akauliza akaambiwa zipo muuzaji akamtajia bei, nikastaajabu, guard tv 10,000 na Hd tv cable 8,000.

Kumbuka kule aliniambia vyote nitavipata kwa 50,000 na tukakubaliana kuwa nitampa vyote kwa 30,000 dah.😀😀

Kwa kuwa tulikuwa tumeshazunguka sana, nikaona siyo kesi nikampa ile tuliyokubalia awali kisha nikatabasam.

View attachment 2832101

View attachment 2832102
Unakubali kuibiwa, utakuja kuchumbiwa. Yaani wanaume wa Dar mnaaibisha sana. Mnafaa kuchapwa bakora
 
Juzi pia niliona Fridge nzuri ktk moja ya mitandao. Nikamchek jamaa akasema anafanya delivery..

Ila akili ikanicheza nikamwambia nakuja dukani (nia yangu nipate risiti na pia nipajue just in case ikizingua, pia ninunue na kitu kingine nikipenda).

Kufika Pale kkoo jamaa kanifata naona ananipeleka sehem ambapo kwa kawaida kitu kama fridge si rahisi kukaa kwenye yale maduka.

Kumbe ni store huko kakosa ikabidi tuhame mtaa.. (hapa nikajua jamaa ni Winga) ikabidi niwe mpole...

Uzuri bei tuliyokubaliana ilikuwa rafiki sana maan nimeokoa kama laki 6 hivi ningenunua M.City au ktk Malls zingine.
Wengi sana wanaopost matanazo sijui wanauza hiko na kile no mawinga tu.
Anaweza akaongea na mwenye duka kila bidhaa awepe hata 20k endapo ataleta mteja toka mitandaoni
 
Ndugu zangu nikiwa katika harakati za kununua vifaa kwa ajili ya tv yangu yaani Tv guard na Hd Tv cable 4k haya ndio yaliyonikuta.

Nikaenda moja kwa moja kwenye moja ya maduka yanauza tv, baada ya kufika pale nikauliza hivi vifaa wakaniambia vipo.

Tukaanza kubagain bei, tv guard wakanimbi 30,000 na Hd tv cable 20,000, nikatoa macho mbona bei kali hivyo? Jamaa akanikazia macho brothe hivi vitu ni og.

Nikasema hapana vyote nitawapa 25,000 Tukazozana pale bei mwisho siku tukakubaliana 30,000 kwa vyote, yaani tv guard kwa 20,000 na Hd tv cable kwa 10’000.

Wakaniambia brother lipia, nikawambia nipe kwanza bidhaa ndio nilipie, wakasema havipo hapa ngoja nifuate stoo, nikawambia tunaenda wote.

Hao tukaongozana cha ajabu tunazunguka tu stoo hatufiki, cha ajabu tena tunapita kwenye baadhi ya maduka kuulizia hizo bidhaa, kiujumla nikajua kinachoendelea kuwa kijana anatafuta ridhiki.
Nikamtahadharisha kuwa, nataka bidhaa yenyewe maana nimesha jua kuwa zile bidhaa walikuwa hawana ata ile ngoja nikachukue stoo ilikuwa nizugisha tu.

Basi tukafika kwenye moja ya duka akauliza akaambiwa zipo muuzaji akamtajia bei, nikastaajabu, guard tv 10,000 na Hd tv cable 8,000.

Kumbuka kule aliniambia vyote nitavipata kwa 50,000 na tukakubaliana kuwa nitampa vyote kwa 30,000 dah.😀😀

Kwa kuwa tulikuwa tumeshazunguka sana, nikaona siyo kesi nikampa ile tuliyokubalia awali kisha nikatabasam.

View attachment 2832101

View attachment 2832102
Hao siy9 "vijana waKariakoo", hao ni wakuja kama wewe tu.

Vijana wa Kariakoo siyo wezi.
 
Guard inazima umeme ukizidi au kupungua kiwango flani

Guard pia inazuia umeme kupanda ghafla (kama ule unaoambukizwa na radi) yenyewe inaufyonza

Guard pia inachelewesha umeme kwenda kweny tv, pale unaporudi baada ya kukatika, mpaka utulie
Hivi TV guard inaweza kutumika kwenye kulinda fridge na fridge guard nayo ikatumika kwenye kulinda TV?
 
Back
Top Bottom