Vijana wa kariakoo leo mmeniweza, nimewanyooshea mikono juu

Vijana wa kariakoo leo mmeniweza, nimewanyooshea mikono juu

Kwanza huyo dogo(k/koo tunawaita Winga) ndio mlugaluga..sharti no.1...Chimbo hapelekwi mteja hata iweje.yani kuliko alione chimbo ni bora uteme kazi.sasa ki ufupi dogo aliyekupeleka chimbo tungemjua kazi hana.
 
Back
Top Bottom