imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Kwetu Gen Z hakuna, kuna Z Gen yaani Zezeta Generation.Na kunywa Smart Gin na kuwaza mishangazi na kutwa kucha simba na Yanga.
Kazi yao ni kuyahonga Manamake makubwa Chipsi kavu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwetu Gen Z hakuna, kuna Z Gen yaani Zezeta Generation.Na kunywa Smart Gin na kuwaza mishangazi na kutwa kucha simba na Yanga.
Hivi alipatikana na Hatia huko The Hague?!Ruto ni mhalifu ambaye hakupaswa kuongoza nchi ya Kenya tena kwa katiba aliyoipinga.
Mbegu ya ukabila inawatafunaRuto ni mhalifu ambaye hakupaswa kuongoza nchi ya Kenya tena kwa katiba aliyoipinga.
Kwa msioelewa nimewaletea mkalimani1. Finance bill imeshakuwa withdrawn, sasa mnataka nini?
2. Ruto aondoke madarakani? If so, Why this demand?
3. Who will be next? and come up fully with your demands?
Let us think together! as rational citizens and reasonable members of a community
Aliachiliwa, mashahidi wote waliokuwa watoe ushahidi dhidi yake hawakufika mahakamani, walikufa vifo vya kutatanisha au kupotea kesi ikashindwa kuendelea majaji wakaifuta tu.Hivi alipatikana na Hatia huko The Hague?!
Fine, kwa hiyo madai yameongezeka na siyo finance bill tena! Sasa kama watadai Roto ajiuzulu, wewe hapo unasemaje?Wanataka serikali ibane matumizi yasiyo ya lazima, kuanzia safari za nje, bajeti ya hela za (confidential), kawaida na ujinga na uozo wote.
Wanataka rais akubali na atoe pole kwa wafiwa 20 plus waliouwawa.
Wanataka kodi zao na matumizi yake yaelezewe..
Ubabe na ujinga wa kunyamazisha vyombo vya habari ukome..
Gen-Z hata hapa wapo Mimi ni baby boomer IiHili swali umelielekeza kwa GenZ wa Kenya pekee au na sisi Wazee wa Ngwasuma wa Bongo tunaruhusiwa kutia Neno?
Lakini kwa mwanasheria as long as Rais hajai sign, then all is Ok! Hakuna kitu hapo, the statu quo remains !Financial bill haijawa withdrawn bali Rais kagoma kuweka saini yake ili iwe sheria. Wenye mamlaka wa kuiondoa ni walewale waliyoipitisha. Ni lazima Bunge likae tena na kuijadili, ama iondolewe au wanaweza wasikubaliane na Rais. Ndo sababu vijana bado hawajafuta maandamano yao kwa vile wanajua hili ni suala la kisheria wala si tamko tu toka kwa Bwana Mkubwa.
Madai mengine hayo sasa.So wao hawataki hiyo cabinet na president kabisa
Just for curiosity!Wewe ni nani kwenye siasa za Kenya???
Katika siasa za Kenya kuna mambo mengi nyuma ya pazia! Kwanza nani anaratibu kikundi hiki cha GEN Z? Tunajuaje kama ni wanasiasa wenye nia ovu na Ruto? Ok sawa Katiba inaruhusu maandamano Je Katiba inaruhusu uharibifu wa mali za raia na serikali? Tuhoji km rational people!1. Finance bill imeshakuwa withdrawn, sasa mnataka nini?
2. Ruto aondoke madarakani? If so, Why this demand?
3. Who will be next? and come up fully with your demands?
Let us think together! as rational citizens and reasonable members of a community
Haitokuwa first time, hili la kodi alikuwa anaenda kulipitisha , kwa kauli yake jana tena kumbebesha NIS director lawama kwamba hakumpa tarifa kuwa watu wameipokeaje hiyo bill, and one day before kurudisha hiyo bill alisema ata deal na waandamanaji?Madai mengine hayo sasa.
Sidhani kama rais anaweza kuwa mpuuzi kiasi hicho cha kudanganya ili after 21 days iwe operational!
AmekengeukaHaitokuwa first time, hili la kodi alikuwa anaenda kulipitisha , kwa kauli yake jana tena kumbebesha NIS director lawama kwamba hakumpa tarifa kuwa watu wameipokeaje hiyo bill, and one day before kurudisha hiyo bill alisema ata deal na waandamanaji?
His words himself zinafanya watu wasimuamini, na hilo ni doa . Maana he was trusted sana before uchaguzi
Hao wanataka kuangusha serikali tu,hakuna zaidiWanataka serikali ibane matumizi yasiyo ya lazima, kuanzia safari za nje, bajeti ya hela za (confidential), kawaida na ujinga na uozo wote.
Wanataka rais akubali na atoe pole kwa wafiwa 20 plus waliouwawa.
Wanataka kodi zao na matumizi yake yaelezewe..
Ubabe na ujinga wa kunyamazisha vyombo vya habari ukome..
There you are! ! Hapo ndipo GEN Z wamevuruga. Walikuwa katika msitari ulionyooka, lkn baada ya kuanza uharibifu, ndiyo nikapose thread hii! Wanataka nini? Rutto aondoke? aje nani?Je Katiba inaruhusu uharibifu wa mali za raia na serikali? Tuhoji km rational people!