Vijana wa Kenya (Gen Z) sasa mnataka nini?

Vijana wa Kenya (Gen Z) sasa mnataka nini?

Hata aje nani bila a complete overhaul of the current status quo vitu havitabadilika na huku hayo yatatokea punde...

Nguvu kazi katika karne ya sasa haiitajiki tena hivyo ajira ni tatizo na kama ajira ni tatizo katika nchi ya kipebari ambapo means of production zinahodhiwa na wachache wengi hakuna wanachopata (sababu wangepata ujira through ajira) leo hii wanachopata ni wivu tu wa kuona what they can not have.....
 
1. Finance bill imeshakuwa withdrawn, sasa mnataka nini?
2. Ruto aondoke madarakani? If so, Why this demand?
3. Who will be next? and come up fully with your demands?

Let us think together! as rational citizens and reasonable members of a community
Kwa msioelewa nimewaletea mkalimani

Mkalimani :

1. Biashara Bill Lugano imeshakua imeondolewa, sasa mnataka nini?
2. Ruto atoweke mandalakani? Km ndio hivyo, kwanini hitaji hili?
3. Nani anae fuatia? Ambae atakua kwa kujazia mahitaji yenyu?

Embu tufikiri kwa pamoja! Km raia tulio sawa na km washirika waaminifu wa Jamii yetu

Ni MIMI mkalimani wako Lethergo
 
Wanataka serikali ibane matumizi yasiyo ya lazima, kuanzia safari za nje, bajeti ya hela za (confidential), kawaida na ujinga na uozo wote.

Wanataka rais akubali na atoe pole kwa wafiwa 20 plus waliouwawa.

Wanataka kodi zao na matumizi yake yaelezewe..

Ubabe na ujinga wa kunyamazisha vyombo vya habari ukome..
Fine, kwa hiyo madai yameongezeka na siyo finance bill tena! Sasa kama watadai Roto ajiuzulu, wewe hapo unasemaje?
 
Financial bill haijawa withdrawn bali Rais kagoma kuweka saini yake ili iwe sheria. Wenye mamlaka wa kuiondoa ni walewale waliyoipitisha. Ni lazima Bunge likae tena na kuijadili, ama iondolewe au wanaweza wasikubaliane na Rais. Ndo sababu vijana bado hawajafuta maandamano yao kwa vile wanajua hili ni suala la kisheria wala si tamko tu toka kwa Bwana Mkubwa.
Lakini kwa mwanasheria as long as Rais hajai sign, then all is Ok! Hakuna kitu hapo, the statu quo remains !

Step by step, amekataa kusain, then with time itafutwa as they demand. sasa kula wali bungeni inaashiria nini?
 
1. Finance bill imeshakuwa withdrawn, sasa mnataka nini?
2. Ruto aondoke madarakani? If so, Why this demand?
3. Who will be next? and come up fully with your demands?

Let us think together! as rational citizens and reasonable members of a community
Katika siasa za Kenya kuna mambo mengi nyuma ya pazia! Kwanza nani anaratibu kikundi hiki cha GEN Z? Tunajuaje kama ni wanasiasa wenye nia ovu na Ruto? Ok sawa Katiba inaruhusu maandamano Je Katiba inaruhusu uharibifu wa mali za raia na serikali? Tuhoji km rational people!
 
Madai mengine hayo sasa.

Sidhani kama rais anaweza kuwa mpuuzi kiasi hicho cha kudanganya ili after 21 days iwe operational!
Haitokuwa first time, hili la kodi alikuwa anaenda kulipitisha , kwa kauli yake jana tena kumbebesha NIS director lawama kwamba hakumpa tarifa kuwa watu wameipokeaje hiyo bill, and one day before kurudisha hiyo bill alisema ata deal na waandamanaji?

His words himself zinafanya watu wasimuamini, na hilo ni doa . Maana he was trusted sana before uchaguzi
 
Haitokuwa first time, hili la kodi alikuwa anaenda kulipitisha , kwa kauli yake jana tena kumbebesha NIS director lawama kwamba hakumpa tarifa kuwa watu wameipokeaje hiyo bill, and one day before kurudisha hiyo bill alisema ata deal na waandamanaji?

His words himself zinafanya watu wasimuamini, na hilo ni doa . Maana he was trusted sana before uchaguzi
Amekengeuka
 
Wanataka serikali ibane matumizi yasiyo ya lazima, kuanzia safari za nje, bajeti ya hela za (confidential), kawaida na ujinga na uozo wote.

Wanataka rais akubali na atoe pole kwa wafiwa 20 plus waliouwawa.

Wanataka kodi zao na matumizi yake yaelezewe..

Ubabe na ujinga wa kunyamazisha vyombo vya habari ukome..
Hao wanataka kuangusha serikali tu,hakuna zaidi
 
Back
Top Bottom