Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliua na kutishia mashahidi wanaogopa kuja mahakamaniHivi alipatikana na Hatia huko The Hague?!
Mitandaoni wakati watu wapo barabarani? Wakenya sio waoga kama waTanzania hata bungeni zilikua zinapigwa risasi kabisa za AK 47 wakafa 20, ila watu zaidi ya elfu 5 wakavunja geti.Wanavuta bangi wanadhani watu wote wana akili za kushinda mitandaoni na kuandika ujinga na wivu, wanaweza wakawa ni wengi lakini bado nchi hizi za afrika mashariki hazijafikia wakati wa kuongozwa na mihemko ya mitandaoni.
Hivi sasa watapigwa kweli kweli na hao wanajeshi , mwanzoni walionekana wana hoja na wanajeshi wakawa wakiwahurumia kwamba wanayo mantiki katika hicho wanachokifanya, lakini wanapoenda watapokea mkong'oto wa uhakika kutoka kwa hao hao waliowaachia wakafanya walichofanya.
Watu wanaongelea bajeti wewe unaongelea wivu. Wivu ni personal bajeti ni national issue.Hata aje nani bila a complete overhaul of the current status quo vitu havitabadilika na huku hayo yatatokea punde...
Nguvu kazi katika karne ya sasa haiitajiki tena hivyo ajira ni tatizo na kama ajira ni tatizo katika nchi ya kipebari ambapo means of production zinahodhiwa na wachache wengi hakuna wanachopata (sababu wangepata ujira through ajira) leo hii wanachopata ni wivu tu wa kuona what they can not have.....
Wala Gen Z hawana ukabila, ndio maana Githurai kwa Wakikuyu ndio wameuawa wengi.Mbegu ya ukabila inawatafuna
Mahakama ya juu ya kenya imebatilisha order ya askari jeshi kuwa deployed mtaaniWanavuta bangi wanadhani watu wote wana akili za kushinda mitandaoni na kuandika ujinga na wivu, wanaweza wakawa ni wengi lakini bado nchi hizi za afrika mashariki hazijafikia wakati wa kuongozwa na mihemko ya mitandaoni.
Hivi sasa watapigwa kweli kweli na hao wanajeshi , mwanzoni walionekana wana hoja na wanajeshi wakawa wakiwahurumia kwamba wanayo mantiki katika hicho wanachokifanya, lakini wanapoenda watapokea mkong'oto wa uhakika kutoka kwa hao hao waliowaachia wakafanya walichofanya.
Unajiabisha mwenyewe.Duh!!
Ndugu zetu mnatuaibisha!
Sababu ni kwamba Ruto wakati wa kampeni aliahidi mbingu, Sasa wananchi wanao jehanamu. Ndio maana wanataka atoke.Fine, kwa hiyo madai yameongezeka na siyo finance bill tena! Sasa kama watadai Roto ajiuzulu, wewe hapo unasemaje?
Labda hao wabunge wakamuitie porini, au waende Ikulu kwa kujifichaficha na kuvaa Mabaibui... Hukuona bunge lenyewe tayari wameshalivamia?Je Bunge linaweza kumuita Rais na kueleza sababu za kugoma kutia saini muswada.
Wewe mjinga kweli. Gen Z hawakuwa na kiongozi Wala kabila ndio maana maana Eldoret ngome ya Ruto maandamano yalikuwa makubwa Sana mpaka kushusha mkokoteni wa UDA ulikuwa katikati ya mji. Pia Nyeri ngome ya Gachagua maandamano yalikuwepo. Usisahau maandamano ya Kiambu eneo la Githurai 45 ambako Wakikuyu wameshambuliwa na polisi. Kwa mara ya kwanza Wakenya wameweka ukabila pembeni wakawa na sauti moja.Wajaluo wanamtaka Raila full stop
Ukabila Kenya shida
Mwenye mamlaka ya kuifuta ni bunge sio Rais. So bunge lisipokaa kufuta huo muswada kwa siku 14 inakuwa sheria moja kwa moja. Ni ujanja Ruto anataka kutumia ndio maana wananchi hawamwamini.Lakini kwa mwanasheria as long as Rais hajai sign, then all is Ok! Hakuna kitu hapo, the statu quo remains !
Step by step, amekataa kusain, then with time itafutwa as they demand. sasa kula wali bungeni inaashiria nini?
Sasa wanaelekea ikulu1. Finance bill imeshakuwa withdrawn, sasa mnataka nini?
2. Ruto aondoke madarakani? If so, Why this demand?
3. Who will be next? and come up fully with your demands?
Let us think together! as rational citizens and reasonable members of a community
Humjui Ruto, ni mzuri kwenye manipulation na utapeli. Juzi kawatukana waandamanaji, ila Jana kawaita watoto wetu. Leo jeshi limeingia mtaani. Ruto alifaa kwenye ugavana na Uwaziri sio kuwa Rais wa Nchi.Madai mengine hayo sasa.
Sidhani kama rais anaweza kuwa mpuuzi kiasi hicho cha kudanganya ili after 21 days iwe operational!
Mtanzania huwezi elewa we baki na samia wenu bongo1. Finance bill imeshakuwa withdrawn, sasa mnataka nini?
2. Ruto aondoke madarakani? If so, Why this demand?
3. Who will be next? and come up fully with your demands?
Let us think together! as rational citizens and reasonable members of a community
At least babu1. Finance bill imeshakuwa withdrawn, sasa mnataka nini?
2. Ruto aondoke madarakani? If so, Why this demand?
3. Who will be next? and come up fully with your demands?
Let us think together! as rational citizens and reasonable members of a community
Uharinifu wa Mali ni moja ya matokeo wakati wa maandamano. Ni kama kucheza mpira waweza kuvunjwa miguu, ila lengo halikuwa kuvunjwa miguu Bali kucheza mpira.Katika siasa za Kenya kuna mambo mengi nyuma ya pazia! Kwanza nani anaratibu kikundi hiki cha GEN Z? Tunajuaje kama ni wanasiasa wenye nia ovu na Ruto? Ok sawa Katiba inaruhusu maandamano Je Katiba inaruhusu uharibifu wa mali za raia na serikali? Tuhoji km rational people!
Kwani Kuna ubaya wananchi wakiiondoa serikali.Hao wanataka kuangusha serikali tu,hakuna zaidi
Kwani wananchi wakitaka aondoke Kuna shida?. Wao si ndio wamechagua. Usilete mambo ya CCM Kenya, serikali ni ya wananchi sio kitu kimeshuka kutoka mawinguni.There you are! ! Hapo ndipo GEN Z wamevuruga. Walikuwa katika msitari ulionyooka, lkn baada ya kuanza uharibifu, ndiyo nikapose thread hii! Wanataka nini? Rutto aondoke? aje nani?
Ushindi wenyewe wa utata. Halafu tofauti ya kura laki Mbili. Very close. Ruto ni tapeli na mwizi. Kakopa Sana na anasafiri Sana.Mhalifu tena?.... Katiba ipi hiyo hii hii iliyompa Urais?...
Anyway..... Rutto kachaguliwa kikatiba na kihalali, wasiompenda wasubiri uchaguzi ujao