Siku nyingine kama anakubali kitu akubali, kama anakataa akatae jumla.. Juzi ametoka akawafokea akaona hawajaogopa, ndio akaja kujifanya amewasikiliza.. kiongozi mwenye ndimi mbili hawezi aminika.
Toka mwanzo hii Bill walitaka kuipitisha kidictator na rushwa... kuna wabunge wamehongwa 2M ya Kenya, some of them wamevunjiwa makazi yao na waandamanaji, Wale vijana hawatanii.... wakitaka wawaue kila nyumba itakuwa na msiba.
Viongozi watumie busara kukiri kuwa walikosea, then warudishe muswada bungeni ukajadiliwe upya.