Vijana wa Kenya waanzisha chama cha siasa kiitwacho INJECT

Vijana wa Kenya waanzisha chama cha siasa kiitwacho INJECT

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Barua ya usajili:
20241002_101408.jpg


Mwamba mwenyewe ndio huyu (mwazilishi):
20241002_103119.jpg


Meanwhile in Bongo:
Screenshot_20241002-102103.png
 
Kuanzisha chama cha vijana, ndio njia pekee ya kuiondoa CCM madarakani !


Vijana ni wengi,hawana ajira, Wana smart phone karibia wote, ni wasomi, kinachowashinda ni kuungana.
Wakiungana ! Imetoka
Kwahiyo tunavyoambiwa CHADEMA itaiondoa sisiemu madarakani ni uongo?
 
Hahaha

Vijana wa bongo:
Machawa
Waoga
Wanaiabudu njaa
Unafiki
Usipangie watu cha kufanya. Tanzania is a free nation. Kila mmoja anahaki ya kuchagua anachotaka. Wenzako wamechagua woga basi wewe chagua unachotaka.

Tanzania is a free Nation Hatupo hapa kuiga wengine wanaishije. Wao wanachangamoto zao na sisi tunazetu.


TANZANIA RAHA
 
Back
Top Bottom