Vijana wa Kenya waanzisha chama cha siasa kiitwacho INJECT

Vijana wa Kenya waanzisha chama cha siasa kiitwacho INJECT

Sidhani kama Ujana wao nio Hoja labda tuseme hao vijana happened kuanzisha CHAMA, sababu requirement ya CHAMA haiwezi ikawa Ujana wao bali issue ambazo mtu wa rika lolote anaweza akavutiwa nazo...

Ila sishangai wajiunge na mtiririko wa Vyama vilivyopo sasa Duniani, practically no political ideologies..., just individuals popularity....
 
Yote Kheri,,kila mmoja akale aliko peleka mboga
 
Back
Top Bottom