Vijana wa Kenya waanzisha chama cha siasa kiitwacho INJECT

Vijana wa Kenya waanzisha chama cha siasa kiitwacho INJECT

Usipangie watu cha kufanya. Tanzania is a free nation. Kila mmoja anahaki ya kuchagua anachotaka. Wenzako wamechagua woga basi wewe chagua unachotaki.

Tanzania is a free Nation Hatupo hapa kuiga wengine wanaishije. Wao wanachangamoto zao na sisi tunazetu.


TANZANIA RAHA
Tanzania yenu au yetu???
 
Hakuna vyama mamia vyenye nia ya ukombozi. Chama cha Ukombozi huwa ni Kimoja tu kinachowaunganisha watu wote. Wakenya ni Uncivilized people.
Nenda google tafuta maana ya "civivilized people" alafu compare maana hio na mienendo ya hao maboss wako,

tuone if u are truly civilized or just brainwashed
 
Nenda google tafuta maana ya "civivilized people" alafu compare maana hio na mienendo ya hao maboss wako,

tuone if u are truly civilized or just brainwashed
Civilization haipo kwenye google. Civilization ipo kwenye real life. Hata hapo wewe unatumia fake name.
Civilized people wanatumia flying toilets? 🤣 🤣 🤣 🤣
Civilized people wanishi kwenye Slums? 🤣🤣🤣🤣🤣
Civilized people waandamana kwenda kula ubwabwa bungeni 🤣🤣🤣🤣🤣

Orodha ni ndefu sana.

WAKENYA WANAISHI KAMA WANYAMA Take it from me.
 
Civilization haipo kwenye google. Civilization ipo kwenye real life. Hata hapo wewe unatumia fake name.
Civilized people wanatumia flying toilets? 🤣 🤣 🤣 🤣
Civilized people wanishi kwenye Slums? 🤣🤣🤣🤣🤣
Civilized people waandamana kwenda kula ubwabwa bungeni 🤣🤣🤣🤣🤣

Orodha ni ndefu sana.

WAKENYA WANAISHI KAMA WANYAMA Take it from me.
Take it from u?? a brainwashed dude trying to pursuade me, no way.
 
Take it from u?? a brainwashed dude trying to pursuade me, no way.
🤣 🤣 🤣 🤣 👇 👇 👇 Tunaongea facts mzee.

1727857082111.png
 
Kuanzisha chama cha vijana, ndio njia pekee ya kuiondoa CCM madarakani !


Vijana ni wengi,hawana ajira, Wana smart phone karibia wote, ni wasomi, kinachowashinda ni kuungana.
Wakiungana ! Imetoka
Chama cha vijana? Huwajui CCM wewe
 
Back
Top Bottom