Siku yaja isyokua na jina ila yaja.Siku ikitokea hivyo hapa Tanzania ndio itakuwa safari ya ccm
msajili hawezi kukisajili.Kuanzisha chama cha vijana, ndio njia pekee ya kuiondoa CCM madarakani !
Vijana ni wengi,hawana ajira, Wana smart phone karibia wote, ni wasomi, kinachowashinda ni kuungana.
Wakiungana ! Imetoka
Kitasajiliwa TU! Muhimu wajitokeze vijana wakianzishemsajili hawezi kukisajili.
ccm ni baba wa fitna na ushenzi
Kwahiyo tunavyoambiwa CHADEMA itaiondoa sisiemu madarakani ni uongo?Kuanzisha chama cha vijana, ndio njia pekee ya kuiondoa CCM madarakani !
Vijana ni wengi,hawana ajira, Wana smart phone karibia wote, ni wasomi, kinachowashinda ni kuungana.
Wakiungana ! Imetoka
Vijana wepi unawasemea wee jamaa. Vijana wa TZ ni changamoto sanaKuanzisha chama cha vijana, ndio njia pekee ya kuiondoa CCM madarakani !
Vijana ni wengi,hawana ajira, Wana smart phone karibia wote, ni wasomi, kinachowashinda ni kuungana.
Wakiungana ! Imetoka
They stood up what? Utoto tuAtleast they stood up 4 something!!!!
Usipangie watu cha kufanya. Tanzania is a free nation. Kila mmoja anahaki ya kuchagua anachotaka. Wenzako wamechagua woga basi wewe chagua unachotaka.Hahaha
Vijana wa bongo:
Machawa
Waoga
Wanaiabudu njaa
Unafiki