Tanzania yenu au yetu???Usipangie watu cha kufanya. Tanzania is a free nation. Kila mmoja anahaki ya kuchagua anachotaka. Wenzako wamechagua woga basi wewe chagua unachotaki.
Tanzania is a free Nation Hatupo hapa kuiga wengine wanaishije. Wao wanachangamoto zao na sisi tunazetu.
TANZANIA RAHA
HAta vingekuwa elf moja,ila kuna vyama vyenye nia na ukombozi wa raia.Nchi ipo na vyama vya siasa zaidi ya 90. Hii ni vurugu wala siyo Demokrasia. Miaka ya mbeleni Kila mkenya atakuwa na chama chake. Kenya is Dead
Kama unaona Tanzania siyo yako. Who cares. Unauhuru wa kufanya unachotaka mzee. π€£ π€£ π€£ π€£ Unawalaumu vijana wengine kwani wewe ni mzee? π€£π€£π€£π€£π€£Tanzania yenu au yetu???
Hakuna vyama mamia vyenye nia ya ukombozi. Chama cha Ukombozi huwa ni Kimoja tu kinachowaunganisha watu wote. Wakenya ni Uncivilized people.HAta vingekuwa elf moja,ila kuna vyama vyenye nia na ukombozi dhidi ya raia.
Tusiwabeze vijana wetu ambao elimu waliyo nayo imechakachuliwa kinomaBarua ya usajili:
View attachment 3112935
Mwamba mwenyewe ndio huyu (mwazilishi):
View attachment 3112942
Meanwhile in Bongo:
View attachment 3112937
Nenda google tafuta maana ya "civivilized people" alafu compare maana hio na mienendo ya hao maboss wako,Hakuna vyama mamia vyenye nia ya ukombozi. Chama cha Ukombozi huwa ni Kimoja tu kinachowaunganisha watu wote. Wakenya ni Uncivilized people.
Civilization haipo kwenye google. Civilization ipo kwenye real life. Hata hapo wewe unatumia fake name.Nenda google tafuta maana ya "civivilized people" alafu compare maana hio na mienendo ya hao maboss wako,
tuone if u are truly civilized or just brainwashed
Take it from u?? a brainwashed dude trying to pursuade me, no way.Civilization haipo kwenye google. Civilization ipo kwenye real life. Hata hapo wewe unatumia fake name.
Civilized people wanatumia flying toilets? π€£ π€£ π€£ π€£
Civilized people wanishi kwenye Slums? π€£π€£π€£π€£π€£
Civilized people waandamana kwenda kula ubwabwa bungeni π€£π€£π€£π€£π€£
Orodha ni ndefu sana.
WAKENYA WANAISHI KAMA WANYAMA Take it from me.
π€£ π€£ π€£ π€£ π π π Tunaongea facts mzee.Take it from u?? a brainwashed dude trying to pursuade me, no way.
Kuiga v2 vzr co jambo baya, ni muda wa kuibwaga CHADEMA na kuazisha Chama Siasa cha vijana ndio huu tz, kimbilio la vijana walikua CHADEMA lkn viongozi waandamizi kazi yao kuratibu maandamano na kucho moto mabango ya mama Abdul kila kukicha.Barua ya usajili:
View attachment 3112935
Mwamba mwenyewe ndio huyu (mwazilishi):
View attachment 3112942
Meanwhile in Bongo:
View attachment 3112937
Weka pichaKariakoo yenyewe ina mavi yametapakaaa kutoka sewage ahahahha
Alafu ndio intl market
Unamaanisha hawahawa wa polii na kataa ndoa.Mbona Tanzania vijana wameanzisha kinaitwa CHAPUTA na mwenyekiti wake ni Kijana dronedrake
Unatengemea alikotokea anaweza kuanziaha chama kweliMbona Tanzania vijana wameanzisha kinaitwa CHAPUTA na mwenyekiti wake ni Kijana dronedrake
Chama cha vijana? Huwajui CCM weweKuanzisha chama cha vijana, ndio njia pekee ya kuiondoa CCM madarakani !
Vijana ni wengi,hawana ajira, Wana smart phone karibia wote, ni wasomi, kinachowashinda ni kuungana.
Wakiungana ! Imetoka