Masela ndio wazuri 🤣🤣🤣.View attachment 3112945
Mwamba alipeleka wahuni hadi kwake anapoishi
Yani huyu kashateka vijana wenzako, sasa ni kupambana na ubabe wa ruto
labda atatoboa huko Nyeri kwao ambako hata mrithi wa kiti chake cha ubunge huko nyeri ametia sahihi muswada na kuunga mkono kubanduliwa kwake kua naibu wa Rais kenya, nje ya mlima kenya gachagua ni useless tuHapo Gachagua ndipo anapotoboa
hakuna mahali wanaendaBarua ya usajili:
View attachment 3112935
Mwamba mwenyewe ndio huyu (mwazilishi):
View attachment 3112942
Meanwhile in Bongo:
View attachment 3112937
Nani kachagua kufa? Mbona walivyotwangwa risasi mbili tu waliufyata kama waandamanaji wa Chadema?Sisi tumechagua kuishi hata kwa tabu, wao wamechagua Kufa.