Vijana wa kiislamu walika mkong'oto baada ya kuandamana huko India

Vijana wa kiislamu walika mkong'oto baada ya kuandamana huko India

The Assassin

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2018
Posts
4,942
Reaction score
20,077
Juzi hapa waislamu nchini india waliandamana baada ya kiongozi wa ngazi za juu wa Chama cha Kihindu kutoa matamshi ya kuukashfu uislamu.

Baada ya matamshi ya dhihaka dhidi ya uislamu na mtume Mohamed, nchi nyingi za kiislamu zililaani sana hilo tukio na baadhi ya vijana wa kiislamu huko India wakaamua kuandamana, ona kilichowakuta.


Kiongozi mmoja wa chama tawala cha BJP ndio ametoa hii video akisifu jeshi la polisi kwa kuwashikisha vijana adabu na kutoa onyo kwamba India ni ya wahindu sio waislamu.
 
Ajabu ni kwamba mungu ana waacha watu wake wanao muamini wadundwe [emoji28][emoji28][emoji28]
 
Badala Mungu ajitetee mwenyewe sasa wao wanamtetea maajabu haya!

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Wapi tumewahi kumtetea Mola ? Mola hana haja hiyo na sisi hatujawahi kumtetea, mwenye kutetewa ni mwenye uhitaji. Mola wetu hana uhitaji huo, wala chochote toka kwetu ahitaji ndiyo maana wewe na ujinga wako amekupa uhuru wa kufanya unachotaka na anakupa rizki na pumzi mpaka pale siku ahadi yako itakapo fika ya kuondoka hapa duniani.

Shida yenu mnajadili msiye mjua basi kila siku mnaangukia pua.
 
Wadundwe tu [emoji28][emoji28][emoji28]Ili ujinga uwatoke huyo Muhammad ana wasaidia Nini ktk ustawi wa uchumi wa India
Nani alikwamba msaada mpaka uwe wa kiuchumi ? Hata ukisaidiwa namna nzuri ya kuitumia akili yako ni msaada mkubwa sana kuliko kupewa mali zote.

Mfano wako wewe, umenyimwa vingi sana katika akili na kuweka kila kitu mahala pake, wewe huna tofauti na mnyama yaani kama paka au mbwa.
 
Juzi hapa waislamu nchini india waliandamana baada ya kiongozi wa ngazi za juu wa Chama cha Kihindu kutoa matamshi ya kuukashfu uislamu.

Baada ya matamshi ya dhihaka dhidi ya uislamu na mtume Mohamed, nchi nyingi za kiislamu zililaani sana hilo tukio na baadhi ya vijana wa kiislamu huko India wakaamua kuandamana, ona kilichowakuta.


Kiongozi mmoja wa chama tawala cha BJP ndio ametoa hii video akisifu jeshi la polisi kwa kuwashikisha vijana adabu na kutoa onyo kwamba India ni ya wahindu sio waislamu.

Wauza Ngada (Bangi) tu hao ...
Hakuna dalili za Uislamu hapo. ..😅😅😅
 
Back
Top Bottom