Vijana wa kike wengi wa Tanzania kuongelea mapenzi, mahusiano na ngono zaidi inaashiria nini?

Vijana wa kike wengi wa Tanzania kuongelea mapenzi, mahusiano na ngono zaidi inaashiria nini?

Jf ni ushahidi tosha.

Hawapendi mambo magumu magumu, ishu ya ndoa tu inawaumiza vichwa waanze kuwaza na siasa tena si utawapasua.
 
Wanawake wasio na uhitaji wa ma sponsor wako hivyo kwa sababu wanafuata sheria ya asili ya maji kufuata njia rahisi zaidi kutengeneza mkondo.

Ushaona maji yanapanda mlima yenyewe? Maji yanashuka mlima tu kwa kutumia nguvu za gravity. Hata kama maji yana energy yake yenyewe inayoweza kuyafanya yapande mlima.

Ma sponsor wanatumia hela kwa sababu hicho ndicho kitu rahisi kabisa kwao. Mtu ambaye kashahangaika kutafuta pesa kuanza kuimba mashairi nakutumia logic kwenye mapenzi inaweza kuwa kazi kubwa na ngumu kuliko kutumia pesa.

Kuna swali moja huwa ni gumu kulijadili kwa upana na urefu na uhalisia, kutokana na ukakasi wa siasa zake.

Na swali hili linaweza kukusaidia kupata jibu la kwa nimi ma sponsor wenye biashara wanashindwa kuongea biashara na wanawake wao wengi.

On balance (maana yake si mara zote), je, wanawake, hususan wa kwetu Africa/weusi, wana akili ndogo zaidi kwenye mambo ya sayansi, uchumi, biashara kuliko wanaume na ndiyo maana wanakuwa tegemezi hivi na hata wakikaa na ma sponsor wanashindwa kujifunza biashara?

Au hili si jambo la akili, ni jambo la utamaduni tu, wanawake wamewekwa chini kijamii mpaka wakazoea hali hiyo, na kuzoea hali hiyo wamekuwa tegemezi hivi?
Sidhani kama ni sahihi sana kutumia mfano wa maji na gravity katika kufanya tathimini ya social behaviour ya binadamu au mnyama.

Suala la nani ana akili zaidi kati ya mwanaume na mwanamke unaweza kuwa mjadala mrefu sana pia japo wanasayansi wanasema hakuna utofauti, ila utofauti upo kwenye predisposition ya jinsia katika mambo fulani mfano wanaume wengi hupenda zaidi masomo ya engineering kuliko wanawake huku wanawake wengi wakipenda labda masomo ya nursing zaidi kuliko wanaume wengi.

Sidhani pia kama ni suala la mfumo dume ndio unaosababisha hali hii kwa sababu wanawake wengu wapambanaji, wajasiriamali wakubwa na "independent" katika biashara hapa bongo wengi wanatoka jamii zenye mfumo dume wa hali ya juu zaidi kuliko zile zenye mfumo dume mwepesi.
 
Sidhani kama ni sahihi sana kutumia mfano wa maji na gravity katika kufanya tathimini ya social behaviour ya binadamu au mnyama.

Suala la nani ana akili zaidi kati ya mwanaume na mwanamke unaweza kuwa mjadala mrefu sana pia japo wanasayansi wanasema hakuna utofauti, ila utofauti upo kwenye predisposition ya jinsia katika mambo fulani mfano wanaume wengi hupenda zaidi masomo ya engineering kuliko wanawake huku wanawake wengi wakipenda labda masomo ya nursing zaidi kuliko wanaume wengi.

Sidhani pia kama ni suala la mfumo dume ndio unaosababisha hali hii kwa sababu wanawake wengu wapambanaji, wajasiriamali wakubwa na "independent" katika biashara hapa bongo wengi wanatoka jamii zenye mfumo dude wa hali ya juu zaidi kuliko zile zenye mfumo dume mwepesi.
Mfano wa maji unaweza kutumiwa katika social behavior. Social behavior hai exist katika non physical universe, ina exist katika physical universe.

Point muhimu ni kwamba people choose the path of least resistance. The same as rivers.

This explains kwa nini hata wanawake wanaoweza kufanya biashara wanategemea ma sponsor. Kwa nini mtu ajisumbue kufanya kazi ikiwa anaweza kuweka mitego ya kuhudumiwa tu?

Hujajibu swali, kwa nini wanawake wanakuwa tegemezi zaidi? Nimekupa options mbili za akili ndogo au kukandamizwa na mfumodume, umezikataa zote lakini hujatoa jibu.

Ningekuelewa zaidi kama ungezikataa hoja zote na kutoa hoja ya ziada ambayo haipo katika hizo mbili.
 
Mfano wa maji unaweza kutumiwa katika social behavior. Social behavior hai exist katika non physical universe, ina exist katika physical universe.

Point muhimu ni kwamba people choose the path of least resistance. The same as rivers.

This explains kwa nini hata wanawake wanaoweza kufanya biashara wanategemea ma sponsor. Kwa nini mtu ajisumbue kufanya kazi ikiwa anaweza kuweka mitego ya kuhudumiwa tu?

Hujajibu swali, kwa nini wanawake wanakuwa tegemezi zaidi? Nimekupa options mbili za akili ndogo au kukandamizwa na mfumodume, umezikataa zote lakini hujatoa jibu.

Ningekuelewa zaidi kama ungezikataa hoja zote na kutoa hoja ya ziada ambayo haipo katika hizo mbili.
Demand and supply ya K ndio chanzo HALISI.
 
Kuanzia kwenye mitandao ya kijamii kama Twitter, Instagram hata hapa JF hadi mtaani nimekuja kugundua vijana wa kike wengi bongo mazungumzo yanayowashughulisha na kuwaweka busy zaidi ni mahusiano, mapenzi, ndoa na ngono.

Ni wanawake vijana au mabinti wachache sana utakuta wanaongelea siasa, biashara, Kilimo, dini n.k pia wengi siku za hivi karibuni wameingia katika mambo ya mpira wa Simba na Yanga. Ukiangalia content kubwa ya mabinti wa ki-Tanzania katika mitandao ya kijamii na mitaani ni hayo mambo!
ubongo wao unafanya kazi vizuri ndio wanarefresh kwa kuzungumzia mapenz na hali ya mahusiano yao pia
 
Kuanzia kwenye mitandao ya kijamii kama Twitter, Instagram hata hapa JF hadi mtaani nimekuja kugundua vijana wa kike wengi bongo mazungumzo yanayowashughulisha na kuwaweka busy zaidi ni mahusiano, mapenzi, ndoa na ngono.

Ni wanawake vijana au mabinti wachache sana utakuta wanaongelea siasa, biashara, Kilimo, dini n.k pia wengi siku za hivi karibuni wameingia katika mambo ya mpira wa Simba na Yanga. Ukiangalia content kubwa ya mabinti wa ki-Tanzania katika mitandao ya kijamii na mitaani ni hayo mambo!
Ninkwamba ngono imetikiwa mkazo
 
Kuanzia kwenye mitandao ya kijamii kama Twitter, Instagram hata hapa JF hadi mtaani nimekuja kugundua vijana wa kike wengi bongo mazungumzo yanayowashughulisha na kuwaweka busy zaidi ni mahusiano, mapenzi, ndoa na ngono.

Ni wanawake vijana au mabinti wachache sana utakuta wanaongelea siasa, biashara, Kilimo, dini n.k pia wengi siku za hivi karibuni wameingia katika mambo ya mpira wa Simba na Yanga. Ukiangalia content kubwa ya mabinti wa ki-Tanzania katika mitandao ya kijamii na mitaani ni hayo mambo!
Kudanga, uchawa, siasa, hizi field tatu zinaenda kuliangamiza taifa.
 
Hamuwapekekei moto wa kutosha,sisi enzi zetu walikuwa wanakimbia mpambano,nyie mnawagusagusa tuu!
Izo enzi zenu si ndo iliibuka misemo ya kitanda hakizai haramu, kuchapiwa siri ya ndani n.k mngekua mnawapelekea moto kama unavyosema msingetombewa
 
Hujajibu swali, kwa nini wanawake wanakuwa tegemezi zaidi? Nimekupa options mbili za akili ndogo au kukandamizwa na mfumodume, umezikataa zote lakini hujatoa jibu.

Ningekuelewa zaidi kama ungezikataa hoja zote na kutoa hoja ya ziada ambayo haipo katika hizo mbili.
Suala la utegemezi wa wanawake kwa wanaume linaweza kuwa katika muono wa Evolutionary psychology zaidi, hiyo ndio sababu unaweza kukuta mwanamke mwenye akili, aliyetoka familia bora na isiyo na mfumo dume na hata pia ana kipato kizuri kuendelea kumtegemea mwanaume zaidi.
 
Kiidadi wanaume na wanawake wako karibu sawa.

Hapa unamaanisha nini? Wanaume wanapenda kujamiiana kuliko wanawake?
Ndio, zamani kujamiiana ilikuwa mpaka kwenye ndoa. Baadae hapa katikati kupewa K mpaka umehangaika miezi na miaka. Siku hizi ni mwendo wa pesa yako tu. Pesa inakuwa shortcut ya kupata K tena za grade ya juu ndani ya muda mfupi. Kuliko zamani. Kwa hiyo kwa upande wa wanaume(demand) demand ya K ipo juu mno na wanaume wanataka shortcut ili kula K za pisi kali. Ndio maana unakuta mtu anahonga 50k, laki, laki 5 mpaka milioni na zaidi ili kupata supply ya K bila kona kona au kuzungushwa.
Upande wa wanawake (supply) wameshashtukia mchongo, kuna ambao ni wadangaji, prostitutes na wale wa undercover prostitutes au semi-bitch au wadangaji wa kimyakimya ambao wanajipatia mahela toka kwa wanaume wanaotaka supply ya K. Hii kuongea kwa wazi ni indirect marketing strategy kuvutia wateja. Wengine wanapiga picha mapaja yapo wazi, mahipsi yanaonekana wengine wamegeuza makalio yao makubwa kwenye camera ili kupata attention ya wateja/wanaume(demand)




Kwa hiyo ni Demand and Supply ya K ndio chanzo HALISI





OVA
 
Suala la utegemezi wa wanawake kwa wanaume linaweza kuwa katika muono wa Evolutionary psychology zaidi, hiyo ndio sababu unaweza kukuta mwanamke mwenye akili, aliyetoka familia bora na isiyo na mfumo dume na hata pia ana kipato kizuri kuendelea kumtegemea mwanaume zaidi.
Unaelewa kuwa kushindwa kuishinda evolutionary psychology nako ni kukisa akili?

Kwamba, leo watu wanafanya mpaka gene editing na CRISPR, kui direct evolution yenyewe, kushindwa kutatua matatizo ya evolutionary psychology ni ishara ya akili ndogo.
 
Back
Top Bottom