Akilindogosana
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 4,303
- 12,679
Tako kubwa ni chanzo cha uhakika cha kipato š¤£Njia moja yao kuu ya kupata kipato,huoni huko mtandaoni
Kila mwanamke anaonesha kalio
Lake kubwa....na jicho wanatoa
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tako kubwa ni chanzo cha uhakika cha kipato š¤£Njia moja yao kuu ya kupata kipato,huoni huko mtandaoni
Kila mwanamke anaonesha kalio
Lake kubwa....na jicho wanatoa
Ova
Sidhani kama ni sahihi sana kutumia mfano wa maji na gravity katika kufanya tathimini ya social behaviour ya binadamu au mnyama.Wanawake wasio na uhitaji wa ma sponsor wako hivyo kwa sababu wanafuata sheria ya asili ya maji kufuata njia rahisi zaidi kutengeneza mkondo.
Ushaona maji yanapanda mlima yenyewe? Maji yanashuka mlima tu kwa kutumia nguvu za gravity. Hata kama maji yana energy yake yenyewe inayoweza kuyafanya yapande mlima.
Ma sponsor wanatumia hela kwa sababu hicho ndicho kitu rahisi kabisa kwao. Mtu ambaye kashahangaika kutafuta pesa kuanza kuimba mashairi nakutumia logic kwenye mapenzi inaweza kuwa kazi kubwa na ngumu kuliko kutumia pesa.
Kuna swali moja huwa ni gumu kulijadili kwa upana na urefu na uhalisia, kutokana na ukakasi wa siasa zake.
Na swali hili linaweza kukusaidia kupata jibu la kwa nimi ma sponsor wenye biashara wanashindwa kuongea biashara na wanawake wao wengi.
On balance (maana yake si mara zote), je, wanawake, hususan wa kwetu Africa/weusi, wana akili ndogo zaidi kwenye mambo ya sayansi, uchumi, biashara kuliko wanaume na ndiyo maana wanakuwa tegemezi hivi na hata wakikaa na ma sponsor wanashindwa kujifunza biashara?
Au hili si jambo la akili, ni jambo la utamaduni tu, wanawake wamewekwa chini kijamii mpaka wakazoea hali hiyo, na kuzoea hali hiyo wamekuwa tegemezi hivi?
Kabisa cv tosha sahvTako kubwa ni chanzo cha uhakika cha kipato š¤£
Mfano wa maji unaweza kutumiwa katika social behavior. Social behavior hai exist katika non physical universe, ina exist katika physical universe.Sidhani kama ni sahihi sana kutumia mfano wa maji na gravity katika kufanya tathimini ya social behaviour ya binadamu au mnyama.
Suala la nani ana akili zaidi kati ya mwanaume na mwanamke unaweza kuwa mjadala mrefu sana pia japo wanasayansi wanasema hakuna utofauti, ila utofauti upo kwenye predisposition ya jinsia katika mambo fulani mfano wanaume wengi hupenda zaidi masomo ya engineering kuliko wanawake huku wanawake wengi wakipenda labda masomo ya nursing zaidi kuliko wanaume wengi.
Sidhani pia kama ni suala la mfumo dume ndio unaosababisha hali hii kwa sababu wanawake wengu wapambanaji, wajasiriamali wakubwa na "independent" katika biashara hapa bongo wengi wanatoka jamii zenye mfumo dude wa hali ya juu zaidi kuliko zile zenye mfumo dume mwepesi.
Ni zaidi ya kiwanda, ni kama mgodi wa dhahabu unaotoa ma kilo na ma tani ya dhahabu š¤£Kabisa cv tosha sahv
Ova
Wanafukuliw sana mv sahv haoooNi zaidi ya kiwanda, ni kama mgodi wa dhahabu unaotoa ma kilo na ma tani ya dhahabu š¤£
Demand and supply ya K ndio chanzo HALISI.Mfano wa maji unaweza kutumiwa katika social behavior. Social behavior hai exist katika non physical universe, ina exist katika physical universe.
Point muhimu ni kwamba people choose the path of least resistance. The same as rivers.
This explains kwa nini hata wanawake wanaoweza kufanya biashara wanategemea ma sponsor. Kwa nini mtu ajisumbue kufanya kazi ikiwa anaweza kuweka mitego ya kuhudumiwa tu?
Hujajibu swali, kwa nini wanawake wanakuwa tegemezi zaidi? Nimekupa options mbili za akili ndogo au kukandamizwa na mfumodume, umezikataa zote lakini hujatoa jibu.
Ningekuelewa zaidi kama ungezikataa hoja zote na kutoa hoja ya ziada ambayo haipo katika hizo mbili.
Kiidadi wanaume na wanawake wako karibu sawa.Demand and supply ya K ndio chanzo HALISI.
ubongo wao unafanya kazi vizuri ndio wanarefresh kwa kuzungumzia mapenz na hali ya mahusiano yao piaKuanzia kwenye mitandao ya kijamii kama Twitter, Instagram hata hapa JF hadi mtaani nimekuja kugundua vijana wa kike wengi bongo mazungumzo yanayowashughulisha na kuwaweka busy zaidi ni mahusiano, mapenzi, ndoa na ngono.
Ni wanawake vijana au mabinti wachache sana utakuta wanaongelea siasa, biashara, Kilimo, dini n.k pia wengi siku za hivi karibuni wameingia katika mambo ya mpira wa Simba na Yanga. Ukiangalia content kubwa ya mabinti wa ki-Tanzania katika mitandao ya kijamii na mitaani ni hayo mambo!
Ninkwamba ngono imetikiwa mkazoKuanzia kwenye mitandao ya kijamii kama Twitter, Instagram hata hapa JF hadi mtaani nimekuja kugundua vijana wa kike wengi bongo mazungumzo yanayowashughulisha na kuwaweka busy zaidi ni mahusiano, mapenzi, ndoa na ngono.
Ni wanawake vijana au mabinti wachache sana utakuta wanaongelea siasa, biashara, Kilimo, dini n.k pia wengi siku za hivi karibuni wameingia katika mambo ya mpira wa Simba na Yanga. Ukiangalia content kubwa ya mabinti wa ki-Tanzania katika mitandao ya kijamii na mitaani ni hayo mambo!
Jamii inakosa kutumia human capital ya wanawake, wanakuwa ni watu wa kutombwatombwa tu bila kuchangia zaidi kwenye jamii.Kwan kosa liko wap
Kudanga, uchawa, siasa, hizi field tatu zinaenda kuliangamiza taifa.Kuanzia kwenye mitandao ya kijamii kama Twitter, Instagram hata hapa JF hadi mtaani nimekuja kugundua vijana wa kike wengi bongo mazungumzo yanayowashughulisha na kuwaweka busy zaidi ni mahusiano, mapenzi, ndoa na ngono.
Ni wanawake vijana au mabinti wachache sana utakuta wanaongelea siasa, biashara, Kilimo, dini n.k pia wengi siku za hivi karibuni wameingia katika mambo ya mpira wa Simba na Yanga. Ukiangalia content kubwa ya mabinti wa ki-Tanzania katika mitandao ya kijamii na mitaani ni hayo mambo!
Izo enzi zenu si ndo iliibuka misemo ya kitanda hakizai haramu, kuchapiwa siri ya ndani n.k mngekua mnawapelekea moto kama unavyosema msingetombewaHamuwapekekei moto wa kutosha,sisi enzi zetu walikuwa wanakimbia mpambano,nyie mnawagusagusa tuu!
Suala la utegemezi wa wanawake kwa wanaume linaweza kuwa katika muono wa Evolutionary psychology zaidi, hiyo ndio sababu unaweza kukuta mwanamke mwenye akili, aliyetoka familia bora na isiyo na mfumo dume na hata pia ana kipato kizuri kuendelea kumtegemea mwanaume zaidi.Hujajibu swali, kwa nini wanawake wanakuwa tegemezi zaidi? Nimekupa options mbili za akili ndogo au kukandamizwa na mfumodume, umezikataa zote lakini hujatoa jibu.
Ningekuelewa zaidi kama ungezikataa hoja zote na kutoa hoja ya ziada ambayo haipo katika hizo mbili.
Ndio, zamani kujamiiana ilikuwa mpaka kwenye ndoa. Baadae hapa katikati kupewa K mpaka umehangaika miezi na miaka. Siku hizi ni mwendo wa pesa yako tu. Pesa inakuwa shortcut ya kupata K tena za grade ya juu ndani ya muda mfupi. Kuliko zamani. Kwa hiyo kwa upande wa wanaume(demand) demand ya K ipo juu mno na wanaume wanataka shortcut ili kula K za pisi kali. Ndio maana unakuta mtu anahonga 50k, laki, laki 5 mpaka milioni na zaidi ili kupata supply ya K bila kona kona au kuzungushwa.Kiidadi wanaume na wanawake wako karibu sawa.
Hapa unamaanisha nini? Wanaume wanapenda kujamiiana kuliko wanawake?
Unaelewa kuwa kushindwa kuishinda evolutionary psychology nako ni kukisa akili?Suala la utegemezi wa wanawake kwa wanaume linaweza kuwa katika muono wa Evolutionary psychology zaidi, hiyo ndio sababu unaweza kukuta mwanamke mwenye akili, aliyetoka familia bora na isiyo na mfumo dume na hata pia ana kipato kizuri kuendelea kumtegemea mwanaume zaidi.