Vijana wa Kisambaa kwa umarioo hamjambo

Vijana wa Kisambaa kwa umarioo hamjambo

Kula chuma hiyo.

Kusah Vs Aunty Ezekiel

Rich mitindo Vs Jacklin Wolper

Lugendo Vs Shamsa Ford

Vijana wa kisambaa mmekuja kuwaje Wakati Sisi wazee wenu tulikuwa tunatambulika Kwa uchapakazi?

Mnakera.
Hamkutimiza kikamilifu wajibu wenu mkiwa ni father-figures!Mliwaacha vijana wajichunge kama kuku wa kienyeji.Ndiyo matokeo yake.Na yapo mengi mengine.Samualeko!
 
Kula chuma hiyo.

Kusah Vs Aunty Ezekiel

Rich mitindo Vs Jacklin Wolper

Lugendo Vs Shamsa Ford

Vijana wa kisambaa mmekuja kuwaje Wakati Sisi wazee wenu tulikuwa tunatambulika Kwa uchapakazi?

Mnakera.
Hata kuwashibisha na kuwatosheleza hawa makumbembe nayo ni kazi kubwa sana afadhali hata ukafyeke pori kuliko kuwa mume wa haya makumbembe
 
Back
Top Bottom