Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana sisi sio wavivuKwani Lugendo ni mdogo yule??
Kiasili wasambaa ni wavivu
Hapana Wasambaa sio wavivu Ila huwa wanaridhika mapema.Kwani Lugendo ni mdogo yule??
Kiasili wasambaa ni wavivu
Ooh kumbeHapana Wasambaa sio wavivu Ila huwa wanaridhika mapema.
Wavivu ni Wadigo na Wazigua hao wabondei siwafahamu sana.
Tutake radhiWasambaa watu wa hovyo sana…Wanadhalilisha Tanga yetu…
Ha ha ha...pole Sana mkuu[emoji23]Sema wasambaa hata dada zao wanapenda sana kukatika. Yaani hiyo ndio starehe yao. Mitaa ya kati nilimpataga mama lishe mmoja wa kisambaa mweupe mweupe hivi, anapiga game ambayo sijawahi kukutana nayo before. Yaani nyumbani nilikuwa naenda kubadilisha nguo tu kila siku naenda kulala Manzese. Na ilikuwa sio naenda kulala usingizi, nilikuwa naenda kukesha. Maana ilikuwa kila siku yale maspika ya msikitini alfajiri yalikuwa yanatukuta bado tuko macho. Yule dada angeniua, maana nilikuwa nakuja kijiweni asubuhi nasinzia.
Kwani Lugendo ni mdogo yule??
Kiasili wasambaa ni wavivu
Sema wasambaa wanajua ku.tomb.vizuri,hata ww mleta uzi ukikaa vibaya wanakunanihiii
Umemjibu vzr saana. Mimi sio msambaa ila nimeishi na wasambaa toka utotoni mpaka ukubwani ni watu wanaojituma saana. Kama ni shambani wanajua namna ya kuweka shamba katika mfuatano wa majira ya mwaka. Ila tu wasambaa wengi hawataki kazi za kuumiza fikra zao saana.Wasambaa hawana hulka ya uvivu. Wasambaa wana hulka ya kujishughulisha kufanya kazi mbalimbali kwa bidii na pia hupenda kujitafutia chakula chao kwa jasho. Na ndiyo maana Wasambaa hawachagui kazi za kufanya, lakini pia huwezi kusikia Wasambaa wamekufa kwa sababu ya njaa.
Kutumia mifano ya vijana watatu Wasambaa mnaowaita marioo, haiwezi kutumika kama case study ya kuonesha Wasambaa wote ni wavivu.
Hili ni kweli. Tanga si wavivu, ila Arusha ni wavivu hakuna mfanoUmemjibu vzr saana. Mimi sio msambaa ila nimeishi na wasambaa toka utotoni mpaka ukubwani ni watu wanaojituma saana. Kama ni shambani wanajua namna ya kuweka shamba katika mfuatano wa majira ya mwaka. Ila tu wasambaa wengi hawataki kazi za kuumiza fikra zao saana.
Atutake radhi kabisa ,sisi ni wapambanaji bila ya back up plan ile kuanza kuuza karanga mpaka unatoboaWasambaa hawana hulka ya uvivu. Wasambaa wana hulka ya kujishughulisha kufanya kazi mbalimbali kwa bidii na pia hupenda kujitafutia chakula chao kwa jasho. Na ndiyo maana Wasambaa hawachagui kazi za kufanya, lakini pia huwezi kusikia Wasambaa wamekufa kwa sababu ya njaa.
Kutumia mifano ya vijana watatu Wasambaa mnaowaita marioo, haiwezi kutumika kama case study ya kuonesha Wasambaa wote ni wavivu.
Mkuu, unaoneakana wewe ni mtu wa kitaa sana. Comments zako huwa zinanichekesha sana.bora hivyo kuliko kutobolewa spika