FANALEKI
JF-Expert Member
- Jul 28, 2023
- 237
- 438
Hawa watu wa ar wanapenda usela usio na faidaHili ni kweli. Tanga si wavivu, ila Arusha ni wavivu hakuna mfano
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa watu wa ar wanapenda usela usio na faidaHili ni kweli. Tanga si wavivu, ila Arusha ni wavivu hakuna mfano
Wanajifichia kwenye uvutaji bangi, kuvaa mavazi ya over size na kutooga vina wafanya waonekane na wajione wagumu, ila kiukweli sivyo.Hawa watu wa ar wanapenda usela usio na faida
Poa ndugu yangu.kitaa kimenilea mkuu😂
Kuishughulikia hiyo minyangumi ni kazi ndogo?Kula chuma hiyo.
Kusah Vs Aunty Ezekiel
Rich mitindo Vs Jacklin Wolper
Lugendo Vs Shamsa Ford
Vijana wa kisambaa mmekuja kuwaje Wakati Sisi wazee wenu tulikuwa tunatambulika kwa uchapakazi?
Mnakera.
Kabsa. Afu mji wao wageni wanapasua mnoWanajifichia kwenye uvutaji bangi, kuvaa mavazi ya over size na kutooga vina wafanya waonekane wagomu, ila kiukweli sivyo.
Kuishughulikia hiyo minyangumi ni kazi ndogo?
Hawa ndio wanakuza ushoga Mikoa ya Kaskazini.Tanga nzima Kijana yoyote asipo kuwa marioo basi lazma awe PUNGA
Kwa hiyo walishakunyandua mpaka una ushuhuda nao?Sema wasambaa wanajua ku.tomb.vizuri,hata ww mleta uzi ukikaa vibaya wanakunanihiii
Umemaliza. Uzi ufungweWasambaa hawana hulka ya uvivu. Wasambaa wana hulka ya kujishughulisha kufanya kazi mbalimbali kwa bidii na pia hupenda kujitafutia chakula chao kwa jasho. Na ndiyo maana Wasambaa hawachagui kazi za kufanya, lakini pia huwezi kusikia Wasambaa wamekufa kwa sababu ya njaa.
Kutumia mifano ya vijana watatu Wasambaa mnaowaita marioo, haiwezi kutumika kama case study ya kuonesha Wasambaa wote ni wavivu.