Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 8,611
- 16,118
Hao Ni viben Tena Wala sio Marioo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sina vinasaba na huko kabisaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Samaki kaona maji kulikoni kuangua kicheko hivo, watokea Tanga eti eeeh tanga raha [emoji28][emoji28][emoji28]
Chura ananesa nesa chura kwahiyo mbona mate yamekutoka 😁😁😁Sina vinasaba na huko kabisaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Walaa hata bhanaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Chura ananesa nesa chura kwahiyo mbona mate yamekutoka [emoji16][emoji16][emoji16]
😍😍😍😁😁😁 kelele ya pili kwa kungwi ake tokea tanga.Walaa hata bhanaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji16][emoji16]kwahiyo ni kipajiKula chuma hiyo.
Kusah Vs Aunty Ezekiel
Rich mitindo Vs Jacklin Wolper
Lugendo Vs Shamsa Ford
Vijana wa kisambaa mmekuja kuwaje Wakati Sisi wazee wenu tulikuwa tunatambulika Kwa uchapakazi?
Mnakera.
Tako lakoTanga nzima Kijana yoyote asipo kuwa marioo basi lazma awe PUNGA
Mfianchi umeongea kwa uchungu sana.😄 Hao magumegume waliotajwa wamepigana vita vingi sana vya papuchi vs dudu, yaani hadi kuja kutulia na hao vijana wa kisambaa damu za watu zishamwagika sana.Hata kuwashibisha na kuwatosheleza hawa makumbembe nayo ni kazi kubwa sana afadhali hata ukafyeke pori kuliko kuwa mume wa haya makumbembe
Kinachofanya wanagombaniwa na wake zenu huko ni nn? nyie hamjui kitu,acha mtafuniwe tuTanga nzima Kijana yoyote asipo kuwa marioo basi lazma awe PUNGA
Weuweeeeeeeh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji7][emoji7][emoji7][emoji16][emoji16][emoji16] kelele ya pili kwa kungwi ake tokea tanga.
Machungwa,mahindi mananasi,mapeasi,hoho, viaz,karoti,nyanya,na vingine vingi vinatokaga kwenu?au mnaendaga kuwasaidia kulima?uvivu upi unazungumzia?Kwani Lugendo ni mdogo yule??
Kiasili wasambaa ni wavivu
Angalia mafundi baiskeli na mafundi nguo wote ni washambaa.... hawapendi kazi ngumuMachungwa,mahindi mananasi,mapeasi,hoho, viaz,karoti,nyanya,na vingine vingi vinatokaga kwenu?au mnaendaga kuwasaidia kulima?uvivu upi unazungumzia?
Vijana wa kisambaa mmekuja kuwaje Wakati Sisi wazee wenu tulikuwa tunatambulika Kwa uchapakazi?[emoji3064][emoji848][emoji3064]Kula chuma hiyo.
Kusah Vs Aunty Ezekiel
Rich mitindo Vs Jacklin Wolper
Lugendo Vs Shamsa Ford
Vijana wa kisambaa mmekuja kuwaje Wakati Sisi wazee wenu tulikuwa tunatambulika Kwa uchapakazi?
Mnakera.
Msambaa wa kuchovyaVijana wa kisambaa mmekuja kuwaje Wakati Sisi wazee wenu tulikuwa tunatambulika Kwa uchapakazi?[emoji3064][emoji848][emoji3064]
Sent using Jamii Forums mobile app
Noted ✍️ Ila sio wote,Kiasili wasambaa ni wavivu
Vp tako lako? linawasha? njoo nikukune kunako tundu la pekee,nikupelekee moto mpaka useme okeeTako lako