Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi watu wa huku Moro, ndugu zetu wapo kule enzi za wakimbiz, walivyoondoka mwaka 1993, baadhi wameondoka kule na wamepata uraia, wengine wametelekezwa, na hata kule hatushobokei Wala Nini, wanakuaga kwa mwaka Mara moja, yaani hata kuwagusia twende wote Wala.Vijana na kitanzania ni masela mavi wengi huko south afrika walikurupuka kwenda huko wanauhuni wa kijinga sana wengi wamekufa !!!nawatakufa sana wenyeji wameanzisha operations ya kutimua wageni
Hayo maeneo yanaonekana kabisa ni kota za vibopa naona chini kumetapakaa vyupa
Hivi haiwezekani mtu akazamia huko bila kujihusisha na sehemu za dzain kama hiyo?
Nimeona watu wengi walioenda huko kwa uzamiaji wengi wao mazingira yao ni very unsafe
Kama broo wako ni yule wa Kimara,alikuwa jambazi,alitaka kufanya yake watu wakmlia timing wakamla shaba.Nilishakataa kwenda huko kumchukua mtoto wa kaka yangu R.I.P nimemwambia shemeji yangu kama ishu ni kuja bongo ampandishe ndege tu nitamfata Airport
Maana Bro walimlamba shaba hivyo sijajua maadui zake walikuwa na ugomvi gani, maana alizaa na mwanamke wa kizulu
No, hakuwa jambazi na wala hakuwahi kuishi kimara, alikuwa ni dereva wa malori ya SA pia aliuawa miaka kumi iliyopita, alikuwa akiishi Cape TownKama broo wako ni yule wa Kimara,alikuwa jambazi,alitaka kufanya yake watu wakmlia timing wakamla shaba.
Tatizo watu wabishiUsela mwingi pande zile aisee kutembea na demu wa mwenzio kumcheat demu wa kule ni hatari mno,
Yani umafia umafia wanakupiga kisu cha kwenye bega apa ambapo kuna uwazi uponi,
Kuliko kurisk maisha pale bora ukarisk ulaya aisee wanao enda south bila mishe maalum nawana wapuuzi wakutuptwa.
Acha kuogopa bro. Maisha Lazima uchukue riskMwezi wa kwanza nilikuwa na safari nizame huko Kuna mwanang anapiga mbishe, duuh[emoji17] [emoji17] nishaogopa.