Vijana wa Kitanzania na maisha ya mashaka South Africa

Vijana wa Kitanzania na maisha ya mashaka South Africa

Japo wamewaua Sana wahalifu south but still hali si shwali sana
 
South África ni hatari sana 24/7 mwaka 2017 nilikuwa pale Jozi nikaona kabisa hii nchi kufa Ni rahisi kuliko kuishi,nikaamua kusepa bila kuaga
 
Vijana na kitanzania ni masela mavi wengi huko south afrika walikurupuka kwenda huko wanauhuni wa kijinga sana wengi wamekufa !!!nawatakufa sana wenyeji wameanzisha operations ya kutimua wageni
 
Vijana na kitanzania ni masela mavi wengi huko south afrika walikurupuka kwenda huko wanauhuni wa kijinga sana wengi wamekufa !!!nawatakufa sana wenyeji wameanzisha operations ya kutimua wageni
Sisi watu wa huku Moro, ndugu zetu wapo kule enzi za wakimbiz, walivyoondoka mwaka 1993, baadhi wameondoka kule na wamepata uraia, wengine wametelekezwa, na hata kule hatushobokei Wala Nini, wanakuaga kwa mwaka Mara moja, yaani hata kuwagusia twende wote Wala.
 
Usela mwingi pande zile aisee kutembea na demu wa mwenzio kumcheat demu wa kule ni hatari mno,
Yani umafia umafia wanakupiga kisu cha kwenye bega apa ambapo kuna uwazi uponi,

Kuliko kurisk maisha pale bora ukarisk ulaya aisee wanao enda south bila mishe maalum nawana wapuuzi wakutuptwa.
 
Hayo maeneo yanaonekana kabisa ni kota za vibopa naona chini kumetapakaa vyupa

Hivi haiwezekani mtu akazamia huko bila kujihusisha na sehemu za dzain kama hiyo?

Nimeona watu wengi walioenda huko kwa uzamiaji wengi wao mazingira yao ni very unsafe

Wengi wanAo enda n wahun wahuni
 
Nilishakataa kwenda huko kumchukua mtoto wa kaka yangu R.I.P nimemwambia shemeji yangu kama ishu ni kuja bongo ampandishe ndege tu nitamfata Airport

Maana Bro walimlamba shaba hivyo sijajua maadui zake walikuwa na ugomvi gani, maana alizaa na mwanamke wa kizulu
Kama broo wako ni yule wa Kimara,alikuwa jambazi,alitaka kufanya yake watu wakmlia timing wakamla shaba.
 
Kama broo wako ni yule wa Kimara,alikuwa jambazi,alitaka kufanya yake watu wakmlia timing wakamla shaba.
No, hakuwa jambazi na wala hakuwahi kuishi kimara, alikuwa ni dereva wa malori ya SA pia aliuawa miaka kumi iliyopita, alikuwa akiishi Cape Town

Alikuwa anaitwa Batna
 
Wanaume kujilipua kutafta life ni kawaida Sana , Ila unahtaji detail za kutosha kuhusiana na chaka unalotaka kulivaa, kutoboa lazima uwe risk taker , Ila unatakiwa ufanye calculation ya kiwango cha risk kilichopo kama waweza kukimudu ... !!! Tumia mda mrefu kufikr na mda mchache kutenda..!! Kwangu Mimi Kwa madiba hapana Bora Europe
 
Kuna ndugu yangu yupo Cape town analalamika michongo haikai vizuri, nimemwambia rudi wewe achana na huko.
 
Wabongo wengi wanaokimbilia SA wanachangamoto ya afya ya akili ukienda na wewe ukawafanya ndo watu wako wa karibu ujue ndo umeshaharibikiwa
 
Usela mwingi pande zile aisee kutembea na demu wa mwenzio kumcheat demu wa kule ni hatari mno,
Yani umafia umafia wanakupiga kisu cha kwenye bega apa ambapo kuna uwazi uponi,

Kuliko kurisk maisha pale bora ukarisk ulaya aisee wanao enda south bila mishe maalum nawana wapuuzi wakutuptwa.
Tatizo watu wabishi
 
Mwezi wa kwanza nilikuwa na safari nizame huko Kuna mwanang anapiga mbishe, duuh[emoji17] [emoji17] nishaogopa.
 
Ipo siku nitaenda nje ya nchi ila sitachangamana na wahuni

Najua hata South ukiishi kistaarabu hakuna shida
 
Back
Top Bottom