Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Ni ngumu sana kwa karne hii iliyojaa kizazi cha nyoka kupaka mwanamke ambae ana utayari wa kukaa kwenye ndoa.
Hii ina maana kuwa anakuwa tayari kuvuliwa chupi, kufanya usafi, kusaidia ndugu na jamaa za mume na kutii maagizo ya mume.
Siku hizi wanawake wengi wanatafuta mahala pa kujificha na kutuliza shida zao. Na ndio maana ndoa ni kama fasheni huku hawaishi maisha ya ndoa. Wanachepuka na kupigwa kama mbuzi.
Mwanamke aliyetayari kukaa ndani ya ndoa huwa mtiifu na atailinda ndoa yake kwa kila namna.
Ila hawa vinuka mkojo wa leo ndio wanasababisha mauaji kila siku.
Hii ina maana kuwa anakuwa tayari kuvuliwa chupi, kufanya usafi, kusaidia ndugu na jamaa za mume na kutii maagizo ya mume.
Siku hizi wanawake wengi wanatafuta mahala pa kujificha na kutuliza shida zao. Na ndio maana ndoa ni kama fasheni huku hawaishi maisha ya ndoa. Wanachepuka na kupigwa kama mbuzi.
Mwanamke aliyetayari kukaa ndani ya ndoa huwa mtiifu na atailinda ndoa yake kwa kila namna.
Ila hawa vinuka mkojo wa leo ndio wanasababisha mauaji kila siku.