Vijana wa Kitanzania watauana sana kwa sababu ya kuingia kwenye ndoa kama fasheni. Ndoa ni mkataba mzito sio wa kuvamia hovyo

Vijana wa Kitanzania watauana sana kwa sababu ya kuingia kwenye ndoa kama fasheni. Ndoa ni mkataba mzito sio wa kuvamia hovyo

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Ni ngumu sana kwa karne hii iliyojaa kizazi cha nyoka kupaka mwanamke ambae ana utayari wa kukaa kwenye ndoa.

Hii ina maana kuwa anakuwa tayari kuvuliwa chupi, kufanya usafi, kusaidia ndugu na jamaa za mume na kutii maagizo ya mume.

Siku hizi wanawake wengi wanatafuta mahala pa kujificha na kutuliza shida zao. Na ndio maana ndoa ni kama fasheni huku hawaishi maisha ya ndoa. Wanachepuka na kupigwa kama mbuzi.

Mwanamke aliyetayari kukaa ndani ya ndoa huwa mtiifu na atailinda ndoa yake kwa kila namna.

Ila hawa vinuka mkojo wa leo ndio wanasababisha mauaji kila siku.
 
Ni ngumu sana kwa karne hii iliyojaa kizazi cha nyoka kupaka mwanamke ambae ana utayari wa kukaa kwenye ndoa.

Hii ina maana kuwa anakuwa tayari kuvuliwa chupi, kufanya usafi, kusaidia ndugu na jamaa za mume na kutii maagizo ya mume.

Siku hizi wanawake wengi wanatafuta mahala pa kujificha na kutuliza shida zao. Na ndio maana ndoa ni kama fasheni huku hawaishi maisha ya ndoa. Wanachepuka na kupigwa kama mbuzi.

Mwanamke aliyetayari kukaa ndani ya ndoa huwa mtiifu na atailinda ndoa yake kwa kila namna.

Ila hawa vinuka mkojo wa leo ndio wanasababisha mauaji kila siku.
Hiiiii...!!
 
Munajisahau nyinyi kwamba munachangia kwa asilimia 50 hayo maovu anayofanya mwanamke.

Kabla hujamnyooshea mwanamke kidole jitathmini wewe na vile vinne vilivyoko upande wako.
 
Miujiza au mazigaombwe

Mbona makanisa ni mengi sana na uovu haupungui
 
Ni ngumu sana kwa karne hii iliyojaa kizazi cha nyoka kupaka mwanamke ambae ana utayari wa kukaa kwenye ndoa.

Hii ina maana kuwa anakuwa tayari kuvuliwa chupi, kufanya usafi, kusaidia ndugu na jamaa za mume na kutii maagizo ya mume.

Siku hizi wanawake wengi wanatafuta mahala pa kujificha na kutuliza shida zao. Na ndio maana ndoa ni kama fasheni huku hawaishi maisha ya ndoa. Wanachepuka na kupigwa kama mbuzi.

Mwanamke aliyetayari kukaa ndani ya ndoa huwa mtiifu na atailinda ndoa yake kwa kila namna.

Ila hawa vinuka mkojo wa leo ndio wanasababisha mauaji kila siku.
Yule jamaa ni kijana? Nafikiri Kila mtu aende na rika lake, muda wako ukipita, kubaliana na uhalisia, lea watoto, wajukuu na mwanamke wa ujanani mwako, sio kufukuzia watoto!
 
Kiukweli nna mengi ya kusema ila naomba nianze na kusema Hy mawili.
Moja: sijui lolote kuhusu ndoa
Pili: Bado natafuta maarifa kuhusu ndoa.
#Kwako Mwalimu Pablo
 
Ni ngumu sana kwa karne hii iliyojaa kizazi cha nyoka kupaka mwanamke ambae ana utayari wa kukaa kwenye ndoa.

Hii ina maana kuwa anakuwa tayari kuvuliwa chupi, kufanya usafi, kusaidia ndugu na jamaa za mume na kutii maagizo ya mume.

Siku hizi wanawake wengi wanatafuta mahala pa kujificha na kutuliza shida zao. Na ndio maana ndoa ni kama fasheni huku hawaishi maisha ya ndoa. Wanachepuka na kupigwa kama mbuzi.

Mwanamke aliyetayari kukaa ndani ya ndoa huwa mtiifu na atailinda ndoa yake kwa kila namna.

Ila hawa vinuka mkojo wa leo ndio wanasababisha mauaji kila siku.
MADA ILITAKIWA ISOMEKE "MABINTI WATAUWAWA SANA NA WANAUME" NDIYO INAMATA ZAIDI WALA SI "VIJANA".
 
Walegeze masharti ya kumiliki bastola kuna mtoto kashaanza dharau huku
 
Nawausia vijana wa kiume. Usikurupuke kuoa . Moyo wa mwanamke umebeba uharibifu wa mwanaume.....wanaume wengi wako kwenye majuto kwa sababu ya kuingia kwenye ndoa

Shetani akimtaka kijana wa Kiume atamuingiza kwenye ndoa na mwanamke asiye sahihi basi utalia na kusaga meno Kijana
 
Mlishaambiwa muishi nao kwa AKILI...

Mungu alijua wanawake ni viumbe dhaifu...

Wanashawishika...
 
Mnakula chipsiMayai mnaacha MAJUKUMU...chapa mpaka itoe mlio wa radi...
 
Yule jamaa ni kijana? Nafikiri Kila mtu aende na rika lake, muda wako ukipita, kubaliana na uhalisia, lea watoto, wajukuu na mwanamke wa ujanani mwako, sio kufukuzia watoto!
Kuna sehem mtoa mada kamzungumzia mtu yeyote na kusema huyo mtu ni kijana?
 
Ni ngumu sana kwa karne hii iliyojaa kizazi cha nyoka kupaka mwanamke ambae ana utayari wa kukaa kwenye ndoa.

Hii ina maana kuwa anakuwa tayari kuvuliwa chupi, kufanya usafi, kusaidia ndugu na jamaa za mume na kutii maagizo ya mume.

Siku hizi wanawake wengi wanatafuta mahala pa kujificha na kutuliza shida zao. Na ndio maana ndoa ni kama fasheni huku hawaishi maisha ya ndoa. Wanachepuka na kupigwa kama mbuzi.

Mwanamke aliyetayari kukaa ndani ya ndoa huwa mtiifu na atailinda ndoa yake kwa kila namna.

Ila hawa vinuka mkojo wa leo ndio wanasababisha mauaji kila siku.
Mie nawakula tu
 
Back
Top Bottom