Vijana wa Kiume badilikeni

Vijana wa Kiume badilikeni

Ni aibu sana kwakweli.

Huku uswahilini unakuta kwenye vibanda vya cd kuna vijana wadogo wamejazana hadi usiku wamenyoa viduku huku wakijifanya kina diamond,

Unajiuliza huyu kabisa muda huu ndio anarudi kwangu ananikuta mimi ndio babake anagonga anaingia kulala.. Hiiiiiiiii
Wanataka kuamka wajikute ni diamond i.e kutoboa kirahisi, wakati hata diamond ana history ndefu yaliyofuchwa nyuma ya mafanikio yake
 
Katika siku ulioongea point ni leo mtu yan hana alternative ya kutafuta hela mzee mwenzangu me hawa watoto wakiniomba msaada sikuiz huwa nawapa jero wakabeti labda atabahatisha sababu akienda akikosa mara kumi ndio atajua hela kuipata sio rahis kama wanavyodhani. Watu kama hao wapo wengi tumekutana nao kwene ma interview utawaonea huruma yan kujieleza hawez kabisa sasa sijui tatizo huwa nini daaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kumbe siongeagi point
 
Kiukweli mimi sijui tunakoelekea.

Na sasa hivi naona wanawake wanatafuta pesa wakipata, wao ndio wanaoa.

Shilole kila siku yeye ndio anaoa.

Wanaume wamegeuka wengine mashoga, wengine chawa, wengine omba omba wa kutisha aisee.

Sijui miaka 10 mbele itakuwaje.

Taasisi ya Familia imetikisika.
Mie 99.99% ya watu wanaohitaji msaada ni wanaume...! Sijui lakini!
 
Tatizo kubwa lipo kwenye jamii sio vijana.. yani kijana akimaliza chuo akaendesha bodaboda au kufanya Kazi ya saidia fundi watu wengi huanza kusema vibaya kumchukulia kama kitendo cha kwenda shule alipoteza muda.. na hakuna maarifa aliyo yapata ya ziada tofauti na walio baki mtaani hii kitu sio kizuri kwenye jamii yetu, na ndo kimefanya vijana wengi wajifungie majumbani.

Yani ili nchi iendelee inatakiwa tujifunze kuwasifia watu wanao kujituma kufanya Kazi kwa bidii hata kama ikiwa ni Kazi ya kuzibua choo.. na kingine pia tujifunze kwa nchi zilizo endelea.

Jamii yetu inaona kama mtu ukimaliza kusomea Uhandisi ukaenda kulima au kujiajiri katika fani tofauti unakuwa umepotea.. kwa mtazamo wangu kitu kikubwa kinacho kwamisha vijana ni majungu kutoka kwenye jamii.

Mfano niulize tu.. ni wazazi wangapi wataruhu mwanao aliesomeshwa kwa gharama mpaka chuo akawe bodaboda,saidia fundi, au hata kuwa mpishi mgahawani?? Wazazi kama mpo humu naomba mjibu kwa uwazi kabisa [emoji1488]
Nafikiri wazazi nawalezi wanachangia sana kwenye hili
 
Wakati ukuta... mambo mawili hayakumbatiwi pamoja. Mkono wa kushoto ukiupa kazi, wa kulia ulegea, na kinyume chake. Hizi ni zama za -ke waliodhani -me wanafaidi maisha huko nyuma.
Kwa hiyo wamechukuwa nafasi ya ke
 
Habari za jumapili wana Jamii Forum

Leo naomba nizungumze kidogo na hawa wenzetu upande wa Kiume mana miaka ijayo kuna hatari ya kupoteza nguvu kazi

Siku izi ni kawaida kabisa kukuta mdada anauza matunda, anatembeza mtumba, anachoma mandazi ubuyu na juice na mengine mengi ya kuingiza kipato, huko kwenye vikoba ndo usiseme wanawake wameamua kutafuta hasa tofauti na zamani

Lakini upande wa pili kuna uvivu na kujisahau ambapo trend ikiendelea hivi kuna hatari kubwa mbeleni
Wanaume hasa hawa wanaojiita graduate mnapotea kaka zangu, najua mmesoma bodaboda mnaona si hadhi zenu tena, saidia fundi pia siyo hadhi yenu kuuza matunda siyo hadhi yenu mmebaki mnatembea na bahasha kutwa kutafuta kazi, ebu ndugu zangu acheni u brazamen wa kishamba, jichanganyeni hakuna pesa inakuja kukugongea mlango lazima tu uitolee jasho kidogo, mbona wadada wazuri tu wanajishughulisha??

Kuna mtoto wa ndugu yangu alifikia kwangu ili aende interview jamani anaamka saa tano akiamka anaamka na laptop na muvi, anakunywa chai anaendelea na muvi mchana anakula anaendelea na muvi narudi nyumbani nipo hoi bin taaban yeye hata kuoga ajaoga,saa mbili na nusu tunakula dinner ndo anamwambia dada akampashie maji ya kuoga [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hivi huyu mtu hata akipata kazi si mzigo huu??????

Huu ni mfano lakini wanaume wa aina hii ni wengi sana

Wakati ambapo dunia ipo busy kuimpower mtoto wa kike hebu Wazazi wekeni juhudi kidogo na kwa watoto wa kiume, wajitambue na kuwafundisha kufanya kazi kwa mikono yao wenyewe.

Ni Aibu sana
Sawa kwa hio umekuja kunisema huku.
Sio vizuri ni bora ungeniambia tu mzee. Si kwa ubaya. Sasa wewe unataka niamke saa 12 niwe nafanya nini mzee. Napunguza masaa ya kuteseka.

Ila siku nyingine nichane live. Sio kunisengenya huku mtandaoni tabia za kike hizo😡
 
Habari za jumapili wana Jamii Forum

Leo naomba nizungumze kidogo na hawa wenzetu upande wa Kiume mana miaka ijayo kuna hatari ya kupoteza nguvu kazi

Siku izi ni kawaida kabisa kukuta mdada anauza matunda, anatembeza mtumba, anachoma mandazi ubuyu na juice na mengine mengi ya kuingiza kipato, huko kwenye vikoba ndo usiseme wanawake wameamua kutafuta hasa tofauti na zamani

Lakini upande wa pili kuna uvivu na kujisahau ambapo trend ikiendelea hivi kuna hatari kubwa mbeleni
Wanaume hasa hawa wanaojiita graduate mnapotea kaka zangu, najua mmesoma bodaboda mnaona si hadhi zenu tena, saidia fundi pia siyo hadhi yenu kuuza matunda siyo hadhi yenu mmebaki mnatembea na bahasha kutwa kutafuta kazi, ebu ndugu zangu acheni u brazamen wa kishamba, jichanganyeni hakuna pesa inakuja kukugongea mlango lazima tu uitolee jasho kidogo, mbona wadada wazuri tu wanajishughulisha??

Kuna mtoto wa ndugu yangu alifikia kwangu ili aende interview jamani anaamka saa tano akiamka anaamka na laptop na muvi, anakunywa chai anaendelea na muvi mchana anakula anaendelea na muvi narudi nyumbani nipo hoi bin taaban yeye hata kuoga ajaoga,saa mbili na nusu tunakula dinner ndo anamwambia dada akampashie maji ya kuoga [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hivi huyu mtu hata akipata kazi si mzigo huu??????

Huu ni mfano lakini wanaume wa aina hii ni wengi sana

Wakati ambapo dunia ipo busy kuimpower mtoto wa kike hebu Wazazi wekeni juhudi kidogo na kwa watoto wa kiume, wajitambue na kuwafundisha kufanya kazi kwa mikono yao wenyewe.

Ni Aibu sana
Naomba kukuliza pia.. kwenye kikundi chenu cha vikoba wengi hutoa pesa kutoka kwenye biashara na sio kwa kuhongwa na wanaume?..

Maana ninajua list ya wadada ambao wanamaduka lakini still mtaji wao mkubwa ni kutoka kwa wanaume na biashara husika zimekuwa kama bosheni tu, maana wanaume wengine wanaamini ukimuweka mwanamke kwenye frame unamfunga miguu asichepuke kirahisi.. kuna wadada wangapi mjini ambao wauza matunda na degree zao?!
 
Tatizo kubwa lipo kwenye jamii sio vijana.. yani kijana akimaliza chuo akaendesha bodaboda au kufanya Kazi ya saidia fundi watu wengi huanza kusema vibaya kumchukulia kama kitendo cha kwenda shule alipoteza muda.. na hakuna maarifa aliyo yapata ya ziada tofauti na walio baki mtaani hii kitu sio kizuri kwenye jamii yetu, na ndo kimefanya vijana wengi wajifungie majumbani.

Yani ili nchi iendelee inatakiwa tujifunze kuwasifia watu wanao kujituma kufanya Kazi kwa bidii hata kama ikiwa ni Kazi ya kuzibua choo.. na kingine pia tujifunze kwa nchi zilizo endelea.

Jamii yetu inaona kama mtu ukimaliza kusomea Uhandisi ukaenda kulima au kujiajiri katika fani tofauti unakuwa umepotea.. kwa mtazamo wangu kitu kikubwa kinacho kwamisha vijana ni majungu kutoka kwenye jamii.

Mfano niulize tu.. ni wazazi wangapi wataruhu mwanao aliesomeshwa kwa gharama mpaka chuo akawe bodaboda,saidia fundi, au hata kuwa mpishi mgahawani?? Wazazi kama mpo humu naomba mjibu kwa uwazi kabisa [emoji1488]
Wewe ndio umenena. Wazazi wanowaruhusu wapo. Shida ndio ipo kwenye jamii wanakuonea huruma sijui kama wao ndio wanafanya.
 
Sawa kwa hio umekuja kunisema huku.
Sio vizuri ni bora ungeniambia tu mzee. Si kwa ubaya. Sasa wewe unataka niamke saa 12 niwe nafanya nini mzee. Napunguza masaa ya kuteseka.

Ila siku nyingine nichane live. Sio kunisengenya huku mtandaoni tabia za kike hizo[emoji35]
Hii hoja niyakitaifa
 
Tatizo kubwa lipo kwenye jamii sio vijana.. yani kijana akimaliza chuo akaendesha bodaboda au kufanya Kazi ya saidia fundi watu wengi huanza kusema vibaya kumchukulia kama kitendo cha kwenda shule alipoteza muda.. na hakuna maarifa aliyo yapata ya ziada tofauti na walio baki mtaani hii kitu sio kizuri kwenye jamii yetu, na ndo kimefanya vijana wengi wajifungie majumbani.

Yani ili nchi iendelee inatakiwa tujifunze kuwasifia watu wanao kujituma kufanya Kazi kwa bidii hata kama ikiwa ni Kazi ya kuzibua choo.. na kingine pia tujifunze kwa nchi zilizo endelea.

Jamii yetu inaona kama mtu ukimaliza kusomea Uhandisi ukaenda kulima au kujiajiri katika fani tofauti unakuwa umepotea.. kwa mtazamo wangu kitu kikubwa kinacho kwamisha vijana ni majungu kutoka kwenye jamii.

Mfano niulize tu.. ni wazazi wangapi wataruhu mwanao aliesomeshwa kwa gharama mpaka chuo akawe bodaboda,saidia fundi, au hata kuwa mpishi mgahawani?? Wazazi kama mpo humu naomba mjibu kwa uwazi kabisa [emoji1488]
Mimi binafsi ni afadhali mtu anayefanya chochote kuliko mkaaji, kikubwa mazngira ya kazi yawe salama tu

Mimi binafsi mdogo wangu anayenifata amesomea nursing amefanya kazi hospital binafsi kama miaka mitano akashindwa kutokana na uonevu na kubanwa

Kaenda kuazisha mgahawa wake mahali anauza na yuko happy tu

Mimi dadake siwezi sema kazi yake anazalilika eti kisa msomi, madam ni mtu mzima ameamua mwenyewe na anapata hela afanye tu
 
Naomba kukuliza pia.. kwenye kikundi chenu cha vikoba wengi hutoa pesa kutoka kwenye biashara na sio kwa kuhongwa na wanaume?..

Maana ninajua list ya wadada ambao wanamaduka lakini still mtaji wao mkubwa ni kutoka kwa wanaume na biashara husika zimekuwa kama bosheni tu, maana wanaume wengine wanaamini ukimuweka mwanamke kwenye frame unamfunga miguu asichepuke kirahisi.. kuna wadada wangapi mjini ambao wauza matunda na degree zao?!
Wapo hao wanaopata za kikoba kwa wanaume sikatai kila mahali wapo

Ila kuna wadada wengi tu wanapata pesa zao kwenye kaz zao

Mimi nimewaona wengi tu wengine juice, matunda, ubuyu karanga, peanut etc siyo mmoja wala wawili ni wengi mno
 
Back
Top Bottom