Vijana wa Kiume badilikeni

Vijana wa Kiume badilikeni

Hahahahah najaribu ku imagine dume zima na midevu umeshika pakti za ubuyu [emoji1787][emoji1787][emoji1787] au unatembea na chupa la uji na vikombe kwanza wahuni hawatanunua!

Kazi hio inawafaa watoto wa kike na wengine wananunua sababu ya mvuto wa watoto wakike wenyewe katika mbinu zao za kijasusi [emoji28][emoji28][emoji28]
Ndo hivo mkuu..hizo kazi wanazofanya wanawake zinawabeba kwa ajili ya gender
 
Wewe unasema tu. Kama hukuwekewa msingi mzuri ni ngumu. Utokee tu ujasiri. Kusingizia elimu sidhani kama ni sahihi. Unadhani wanaofanya kazi mpaka umri wa kustaafu hawapendi kujiajiri..! Au na wao elimu haijawakomboa ...?
Anaongea tu huyo! Kuna maprofesa walilia mbele ya kamera kisa kunyofolewa kitengo 😂😂😂
 
Sema mimi, il kuna wanaume wavivu balaa, hawataki kabisa kuchosha mwili

Tembea uone kaka

Ulichoongea ni kweli,,,janga lipo,,,ila tatizo sio hao vijana,,,,ndio ndani yao kuna wazembe,,,sikatai,,ila ndani yao kuna wengine wanamachungu sana,,,na wapo teyari kupambana,,,lakini je wazazi wao au jamii inawapa vipi support ya wao kukubaliana na ukweli kwamba elimu waliosotea miaka yote hiyo haikuwa na guarantee??!!! Koz tatizo kubwa linaanzia hapo,,,nadhani wazazi,,ndugu na jamaa wakibadirisha muonekano kwamba ukienda fanya kazi tofauti na hizi kazi rasmi basi umepotea...cause mfano ni mimi tu,,nakumbuka nilipomaliza chuo,,niliomba gari ya nyumbani aina ya IST,,nianze nayo kufanya uber,,,lakini nilipata vita kubwa sana toka kwa wajomba na ndugu wengine wakisema kazi gani hiyo ya watu wasiosoma,,na wajomba walileta vita kali kwa bibi ili anipokonye ile gari,,nikajitafutie mwenyewe koz kunisomesha inatosha...na kweli ilifika point ilibidi niirudishe tu ile gari,,nikarudi kwenye ulofa....kuna kipindi pia nilianza uza viatu online,,kupitia page ya instagram,,nikawa topic upya kwa familia,,,mama akaona nimefeli kabisa maisha,,cause I could sense it in her talks....So usitupe lawama kaka,,mwite pembeni,,muulize biashara gani ambayo angeweza ifanya,,then mpe mtaji au mchongo utaomuwezesha kupata mtaji,,then uone kama ataboronga au vipi
 
Kuna mahali huku ziwa victoria,wamama ndo wanamiliki frem za maduka na magest.
Asubuh hao wamama unawakuta wananunua mtubwi mzima uliojaa dagaa,utasikia mwenye mtubwi anasema laki 7 na anajitokeza mmama ananunua.

Kwa kizazi hiki cha vijana wa leo,mim naogopa hata kuwa na watoto wengi,maana naona sasa watoto wamekuwa mizigo kwel kwel,wanakukamua mpaka uzeen,mara wamepgana kwenye mabonanza huko unaenda kuhangaika kutoa dhamana polisi ili aachiwe,akrud nyumban hana msaada wowote
 
Umegonga penyewe...kuna graduate nilimkuta mahali,akagongea msosi...tukachoma nyama,kilo za kutosha....wakati tunapata hilo dona la nguvu,kachumbari...tukashushia kwa maji ya mende(yeye hatumii)..akaniambia kuna mchongo anausikilizia mahali...nikamchana... Kesho yake akanitafuta tena,akiomba mwongozo wa maisha ya mtaani. Nikamwachia goli asimamie...na masharti kibao. Baada ya mwezi tukafanya hesabu...alinifaa sana sana..amekuwa partner
 
Umegonga penyewe...kuna graduate nilimkuta mahali,akagongea msosi...tukachoma nyama,kilo za kutosha....wakati tunapata hilo dona la nguvu,kachumbari...tukashushia kwa maji ya mende(yeye hatumii)..akaniambia kuna mchongo anausikilizia mahali...nikamchana... Kesho yake akanitafuta tena,akiomba mwongozo wa maisha ya mtaani. Nikamwachia goli asimamie...na masharti kibao. Baada ya mwezi tukafanya hesabu...alinifaa sana sana..amekuwa partner
Safi..
 
Umegonga penyewe...kuna graduate nilimkuta mahali,akagongea msosi...tukachoma nyama,kilo za kutosha....wakati tunapata hilo dona la nguvu,kachumbari...tukashushia kwa maji ya mende(yeye hatumii)..akaniambia kuna mchongo anausikilizia mahali...nikamchana... Kesho yake akanitafuta tena,akiomba mwongozo wa maisha ya mtaani. Nikamwachia goli asimamie...na masharti kibao. Baada ya mwezi tukafanya hesabu...alinifaa sana sana..amekuwa partner

Hivi ndo inafaa
 
eti nini, hao masupa wumani unaowasifia sijui wacheza vikoba, mitaji imetoka kwa wanaume
wengi ya hao ni wadangaji walio chini ya kivuli feki cha uchakarikaji,

mfano wa uyo ndugu wako usi-generalize kwa wanaume wengine
 
Naomba kukuliza pia.. kwenye kikundi chenu cha vikoba wengi hutoa pesa kutoka kwenye biashara na sio kwa kuhongwa na wanaume?..

Maana ninajua list ya wadada ambao wanamaduka lakini still mtaji wao mkubwa ni kutoka kwa wanaume na biashara husika zimekuwa kama bosheni tu, maana wanaume wengine wanaamini ukimuweka mwanamke kwenye frame unamfunga miguu asichepuke kirahisi.. kuna wadada wangapi mjini ambao wauza matunda na degree zao?!
Kuna mdada huku mtaani anauza genge ina matikiti matatu tu! Uyo mdada ukimuangalia ameumbika haswaa! inasemekana kuna biashara ingine iyo genge zuga tu!
 
Hilo goli ilikuwa kwa mdogo wangu wa kuzaliwa tumbo moja,ilikuwa hasara tupu...ikabidi aondoke tu. Msomi huyu alifanya biashara hasa,alihakikisha hapotezi wateja..uaminifu mkubwa...kuwapelekea huduma hadi ofisini/nyumbani kabisa. Aliweka mfumo wa computer kuhifadhi hesabu...

nadhani it’s a high time jamii ianze kutumia wasomi kama ulivyofanya kaka,,,hivyo ndo inapaswa...unaona kijana yupo mtaani na kasoma,,na wewe una kamradi unachoendesha,,sio mbaya kama utampa nafasi huyo kijana....cause vijana vipawa tunavyo,,ila tatizo mtaji...
 
Hapa kwetu kuna Kijana ana shahada ya uzamili kakosa Kazi mama yake ni mama ntilie amejoini nae wanafanya Kazi Kijana anapita maofisini kuuliza wanaotaka chakula na anawaletea. Wana maisha mazuri hadi watu wanashangaa. Nachotaka kusema ni kwa vijana wajitambue wafanye Kazi yoyote itakayopatikana. Kusoma ni kuondoa ujinga siyo kuajiliwa maana wengi ni Mizigo kusoma, kujieleza, kuandika barua za Kazi hawawezi!
 
Kuna mdada huku mtaani anauza genge ina matikiti matatu tu! Uyo mdada ukimuangalia ameumbika haswaa! inasemekana kuna biashara ingine iyo genge zuga tu!
Kabisa yani.. wanawake ambao wanapata pesa za vikoba kupitia biashara wapo lakini wachache sana
 
Kampuni ikishaingiwa na utawala wa mtu mweusi hapo lazma mambo hayo yajitokeze sijui tuna laana gani! Kwanza mshahara kama hutadhulumiwa basi kama ulikuwa unalipwa 20,000 kwa lisaa mbongo akiinga hapo utashaangaa buku 2 kwa saa!
Yaaani, nisawa kabisa maana jamaa alipo kabidhiwa office tu mambo yakaanza badirida, nilikuwa napewa pesa yaposho, maji na usafiri ya kila siku. Akaanza kuondoa vyote hivyo kiasi kwamba house girl wake ndiye atoe chakula home apewe nauli yakwenda na kurudi ila chakula kitoke home kwake, mshahara akawa anapunguza kila mwaka na silipwi bali napewa pesa ndogo za kujikimu tu, nikalombikiza mshahara wa mwaka mzima, nilivyo ona mambo yananielemea niliacha kazi. Wabongo sijui tuna roho gani
 
Yaaani, nisawa kabisa maana jamaa alipo kabidhiwa office tu mambo yakaanza badirida, nilikuwa napewa pesa yaposho, maji na usafiri ya kila siku. Akaanza kuondoa vyote hivyo kiasi kwamba house girl wake ndiye atoe chakula home apewe nauli yakwenda na kurudi ila chakula kitoke home kwake, mshahara akawa anapunguza kila mwaka na silipwi bali napewa pesa ndogo za kujikimu tu, nikalombikiza mshahara wa mwaka mzima, nilivyo ona mambo yananielemea niliacha kazi. Wabongo sijui tuna roho gani
Roho mbaya sana tu ndio zinatusumbua, yani mmbongo akipewa madaraka lazma mnaozunguka hapo msononeke tu!

Mzungu anathamini sana utu ila sio mbongo mshenzi!
 
Back
Top Bottom