Vijana wa kiume kwanini mnataka kuwa na girlfriends lakini mnawazuia Dada/ wadogo zenu kuwa na boyfrinds?

Vijana wa kiume kwanini mnataka kuwa na girlfriends lakini mnawazuia Dada/ wadogo zenu kuwa na boyfrinds?

Bob Manson

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2021
Posts
4,158
Reaction score
7,787
Habari za jioni wana jukwaa...

Ni kawaida kwa vijana wa kiume kusaka na kutafuta wapenzi huku na kule, lakini hali huwa tofauti pale ambapo dada zao wanapo kuwa na wapenzi.

Wanaume hukasirika na hata kuanzisha vita dhidi ya wanao wataka dada au wadogo zao, ilihali wao wapo tayari kutafuta dada za watu kila kona ya mtaa.

Kwanini sisi wanaume hatupendi wanaume wenzetu wafaidi Dada zetu wakati sisi pia hufaidi Dada za watu?

Ama ndio mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu?


#BM
 
Tatizo wengi ni waharibifu. Sasa dada au mdogo wako anazengewa na boda boda tena vijana kama vishandu hao sini wachafuzi tu.

Hamna mtu ambaye atamaindi akimkuta dada yake anafatwa na LC300 ya afisa kipenyo. TIPS za laki 2-3 ni uhakika 🤣 hapo unajua hata akibeba mimba mzigo hauji nyumbani.
 
Tatizo wengi ni waharibifu. Sasa dada au mdogo wako anazengewa na boda boda tena vijana kama vishandu hao sini wachafuzi tu.

Hamna mtu ambaye atamaindi akimkuta dada yake anafatwa na LC300 ya afisa kipenyo. TIPS za laki 2-3 ni uhakika 🤣 hapo unajua hata akibeba mimba mzigo hauji nyumbani.
Kumbe tatizo ni maslahi 😂, kwa hali hii hakuna kishandu anapaswa kugusa mtoto wa mtu... La sivyo lolote litamkuta
 
Tatizo wengi ni waharibifu. Sasa dada au mdogo wako anazengewa na boda boda tena vijana kama vishandu hao sini wachafuzi tu.

Hamna mtu ambaye atamaindi akimkuta dada yake anafatwa na LC300 ya afisa kipenyo. TIPS za laki 2-3 ni uhakika [emoji1787] hapo unajua hata akibeba mimba mzigo hauji nyumbani.
Je itokee huyo Kaka ni jobless ndo a mind dadake kufatwa na boda boda?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom