Bob Manson
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 4,158
- 7,787
- Thread starter
- #61
Ni fahari kuharibu Dada za watu lakini hugeuka maumivu makubwa Dada zao wakiharibiwaHuu nao ni ushamba shida inakuja pale mdogo wako kajazwa kitu alafu matumizi yameisha kaka mtu utaachakua na hasira mzee🤣🤣🤣ikitokea umeharibu kwa dada wa watu nawe inabidi likukabili pia