Bob Manson
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 4,158
- 7,787
Hakika huo ni ubinafsi mkubwaKwa sababu nao watakanywa na kaka zao.
Anyway,
Ni UBINAFSI tu.
Kumbe tatizo ni maslahi 😂, kwa hali hii hakuna kishandu anapaswa kugusa mtoto wa mtu... La sivyo lolote litamkutaTatizo wengi ni waharibifu. Sasa dada au mdogo wako anazengewa na boda boda tena vijana kama vishandu hao sini wachafuzi tu.
Hamna mtu ambaye atamaindi akimkuta dada yake anafatwa na LC300 ya afisa kipenyo. TIPS za laki 2-3 ni uhakika 🤣 hapo unajua hata akibeba mimba mzigo hauji nyumbani.
Au ulichezea vitasa mkuu 😂inaumaga hyo kuna siku shemeji yangu alinifuma na dadaake uchochoron maeneo ya yombo aisee ntawahadithia siku moja😂😆
sikupigwa mkuu nlkua nmepoa kwa sababu shemeji tena s nkaona ananipanda kichwan eti anataka kunipga afu nammudu vzr weeeh 😂😆 alienda kuniitia wahuni wake mbona nlimtoa baruAu ulichezea vitasa mkuu 😂
Sasa mkuu wateja wa ice cream wakija na hao mbwa itakuwaje?Tunafuga na mbwa mkali kabisa wahuni wasije
Baadaye sana tunaweka kibao "tunauza ice cream"
Yani ulimtoa baru yeye na wahuni wake 😂🙌sikupigwa mkuu nlkua nmepoa kwa sababu shemeji tena s nkaona ananipanda kichwan eti anataka kunipga afu nammudu vzr weeeh 😂😆 alienda kuniitia wahuni wake mbona nlimtoa baru
Mbwa anakuwa kashakufa muda tuSasa mkuu wateja wa ice cream wakija na hao mbwa itakuwaje?
Anhaa, hapo sasa tayari dada amefika dakika za jioni kabisaMbwa anakuwa kashakufa muda tu
Tunaanza kuuza ice cream dada yetu akifikisha miaka 32.
hapana sio na wahuni wake ila ni yy peke yake sasa wakt namkimbza akapta skan kwa wanae sijui naona tag hilo linaunga nkala nDuki😂🤣Yani ulimtoa baru yeye na wahuni wake 😂🙌
Je itokee huyo Kaka ni jobless ndo a mind dadake kufatwa na boda boda?Tatizo wengi ni waharibifu. Sasa dada au mdogo wako anazengewa na boda boda tena vijana kama vishandu hao sini wachafuzi tu.
Hamna mtu ambaye atamaindi akimkuta dada yake anafatwa na LC300 ya afisa kipenyo. TIPS za laki 2-3 ni uhakika [emoji1787] hapo unajua hata akibeba mimba mzigo hauji nyumbani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahsikupigwa mkuu nlkua nmepoa kwa sababu shemeji tena s nkaona ananipanda kichwan eti anataka kunipga afu nammudu vzr weeeh [emoji23][emoji38] alienda kuniitia wahuni wake mbona nlimtoa baru
Ukute ktk hao madume mliopo, kuna baadhi wanachezewa na madume wenzio.Wale ambao kwetu watoto wote madume tutulie tu tujisomee maumivu tunayosababisha kwa kaka za watu.