Vijana wa kiume kwanini mnataka kuwa na girlfriends lakini mnawazuia Dada/ wadogo zenu kuwa na boyfrinds?

Je itokee huyo Kaka ni jobless ndo a mind dadake kufatwa na boda boda?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Haijalishi ila featuring ya bodaboda sio salama kwa afya ya binti yeyote timamu. Labda kwa wasio na ndoto kubwa maishani
 
Kumbe tatizo ni maslahi 😂, kwa hali hii hakuna kishandu anapaswa kugusa mtoto wa mtu... La sivyo lolote litamkuta
Eeh mwisho wa siku ni majukumu tu ndio yataongea. Hamna mtu anayetaka mizigo sikuhizi kama unaweza kumlinda dada yako dhidi ya majanga basi fanya intervention na um cancel kabisa
 
Mwenye Dada hakosi shemeji, ni swala la muda tu!!
 
Eeh mwisho wa siku ni majukumu tu ndio yataongea. Hamna mtu anayetaka mizigo sikuhizi kama unaweza kumlinda dada yako dhidi ya majanga basi fanya intervention na um cancel kabisa
Kwa hali ilivyo sasa ni ngumu sana kumlinda mtu, tunaishia kuwaonya dada zetu lakini mtaani hali ni mbaya
 
Binadamu ana sifa za mnyama, wanyama wengi madume wana hulka ya kuwanyima majike madume wenzake.
 
Binadamu ana sifa za mnyama, wanyama wengi madume wana hulka ya kuwanyima majike madume wenzake.
Lakini kwa upande wa Dada, hapo sio kunyimwa tu ila hata mawe mtu atapigwa
 
Reactions: Tsh
🤣🤣🤣 tunaye bro yeye huko nje ni kauzu sana walikua wanatuogopa sababu yake. Lakini yeye akikukuta na mtu Wala hakusemeshi chochote🤣🤣🤣 ila anakuja kumwambia Mama, eti mama Unawalea vibaya Hawa watoto unawapa uhuru sana. Wakiharibika Mimi msinishirikishe.
Btw ma bro waelewa tunawakubali mnoo 😂😂
 
Huyo bro kwanini akiwakuta hasemi kitu, au anawakuta na njemba ngumu kuliko yeye? 😂
 
Huyo bro kwanini akiwakuta hasemi kitu, au anawakuta na njemba ngumu kuliko yeye? 😂
Yule ni kama deputy mzazi lakini hajawahi kupiga story kuhusu mahusiano kwahiyo anaona kama ni taboo kwa Rika etu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…