Vijana wa miaka 20-29 tukutane hapa

Vijana wa miaka 20-29 tukutane hapa

Umenena vyema mkuu,na hapo kwenye kuchagua kazi ni kitu ambacho vijana wengi imekua kama ndo desturi yao,tena unakuta ni kijana msomi tu mwenye elimu yake,hapa nadhani ni kutokana na mfumo wa elimu wanayopata mashuleni
Huku mashuleni/vyuoni masomo mengi yanamuelekeza mwanafunzi/msomi kua akimaliza masomo ataajiriwa iwe serikalini au sekta binafsi,mwanafunzi huyu anapomaliza na kuingia mtaani mambo yakabadilika anakua hawezi tena kufanya kazi nyingine tofauti na kazi ya ofisini,hivyo atabaki kuzunguka mtaani tu.

Laiti elimu zetu hizi zimgekua zinatusaidia kupambana na hali mtaani,vijana wengi wangekua wameshatambua wajibu wao kwa familia,jamii na taifa zima,mana wangetafuta fursa za kujiajiri na kuachana na fikra potofu kwamba msomi lazima akae ofisini.
Vyema kabisa umenena, tena umegusia suala la Mfumo wa elimu..ni kweli kabisa elimu yetu Tanzania haimuandai mwanafunzi kuja kujitegemea vyema hapo baadae badala yake ni kumfanya asubiri kuajiriwa..

Hili jambo sema la ukweli sio zuri sana...Hii ni kutokana na kuwa wadau wengi walipendekeza mfumo wetu wa elimu ubadilishwe na sera zake lakini cha kushangaza hadi leo kila mwenye mamlaka akija anakuja na sera zake jambo ambalo linafanya taifa kutokuwa na SERA YA MADHUBUTI NA YA KUELEWEKA YA KIELIMU..

Katika dunia ya sasa masomo ya ufundi stadi na ujasiriamali ni muhimu sana katika kumsaidia mwanafunzi kwa siku za baadae kuwa na fani yake na kujitegemea, hivyo kuondoa ile kasumba ya kuzoea kuajiriwa kazi za ofisini
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Umemaliza kila kitu.Nafikiri somo la ujasiriamali lingetiliwa mkazo kuanzia ngazi za chini huku mashuleni,ili mwanafunzi akue akitambua kuna njia mbadala tofauti na elimu ya darasani ambayo itamkomboa,kuliko kukaa tu nyumbani au mtaani kwa kutegemea au kusubiri serikali imuajiri.Mfano huyo huyo kijana kasoma course ya ualimu lakini bado kakosa ajira,kama alipata msingi wa kua mjasiriamali tangu chinu kwa vyovyotr hawezi kukaa kizembe mtaani/vijiweni na kuishia kupiga soga
Lazima atachakarika kwa faida yake,familia yake na taifa kwa ujumla,na hapo ndipo tutasema huyu kijana amejitambua na ameujua wajibu wake
Hongera kwa ufafanuzi mzuri, nimependa maelezo yako[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
 
Umemaliza kila kitu.Nafikiri somo la ujasiriamali lingetiliwa mkazo kuanzia ngazi za chini huku mashuleni,ili mwanafunzi akue akitambua kuna njia mbadala tofauti na elimu ya darasani ambayo itamkomboa,kuliko kukaa tu nyumbani au mtaani kwa kutegemea au kusubiri serikali imuajiri.Mfano huyo huyo kijana kasoma course ya ualimu lakini bado kakosa ajira,kama alipata msingi wa kua mjasiriamali tangu chinu kwa vyovyotr hawezi kukaa kizembe mtaani/vijiweni na kuishia kupiga soga
Lazima atachakarika kwa faida yake,familia yake na taifa kwa ujumla,na hapo ndipo tutasema huyu kijana amejitambua na ameujua wajibu wake
Kweli mpenzi mtaala wa elimu yetu ungetiliwa mkazo kwenye kujiajili ingesaidia sana
 
Kwakuwa nami kijana na nimjasiliamali mdogo na ninachofany mtu yoyot anaweza fanya na kikamletea faida kwa mtaji mdogo sana,ataekuwa tayari anitafute tugawane maujanja
 
Kwakuwa nami kijana na nimjasiliamali mdogo na ninachofany mtu yoyot anaweza fanya na kikamletea faida kwa mtaji mdogo sana,ataekuwa tayari anitafute tugawane maujanja
Mkuu kamaa hutojali ..Fanya kushare na sisi hayo maujanja, kwa ni itasaidia kujifunza jambo jipya.
 
[emoji116] [emoji116] [emoji116]
c97c5f1735e614447be0f53979d21ba0.jpg
 
Kwakuwa nami kijana na nimjasiliamali mdogo na ninachofany mtu yoyot anaweza fanya na kikamletea faida kwa mtaji mdogo sana,ataekuwa tayari anitafute tugawane maujanja
Mimi hapa naomba hayo maujanja,au ungeyaweka hapa ili kila mtu apate
 
Back
Top Bottom