Comrade One
JF-Expert Member
- Feb 8, 2014
- 200
- 361
Me nitakuwepo hapa kusoma comment zenu wadogo poa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vyema kabisa umenena, tena umegusia suala la Mfumo wa elimu..ni kweli kabisa elimu yetu Tanzania haimuandai mwanafunzi kuja kujitegemea vyema hapo baadae badala yake ni kumfanya asubiri kuajiriwa..Umenena vyema mkuu,na hapo kwenye kuchagua kazi ni kitu ambacho vijana wengi imekua kama ndo desturi yao,tena unakuta ni kijana msomi tu mwenye elimu yake,hapa nadhani ni kutokana na mfumo wa elimu wanayopata mashuleni
Huku mashuleni/vyuoni masomo mengi yanamuelekeza mwanafunzi/msomi kua akimaliza masomo ataajiriwa iwe serikalini au sekta binafsi,mwanafunzi huyu anapomaliza na kuingia mtaani mambo yakabadilika anakua hawezi tena kufanya kazi nyingine tofauti na kazi ya ofisini,hivyo atabaki kuzunguka mtaani tu.
Laiti elimu zetu hizi zimgekua zinatusaidia kupambana na hali mtaani,vijana wengi wangekua wameshatambua wajibu wao kwa familia,jamii na taifa zima,mana wangetafuta fursa za kujiajiri na kuachana na fikra potofu kwamba msomi lazima akae ofisini.
Hongera kwa ufafanuzi mzuri, nimependa maelezo yako[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]Umemaliza kila kitu.Nafikiri somo la ujasiriamali lingetiliwa mkazo kuanzia ngazi za chini huku mashuleni,ili mwanafunzi akue akitambua kuna njia mbadala tofauti na elimu ya darasani ambayo itamkomboa,kuliko kukaa tu nyumbani au mtaani kwa kutegemea au kusubiri serikali imuajiri.Mfano huyo huyo kijana kasoma course ya ualimu lakini bado kakosa ajira,kama alipata msingi wa kua mjasiriamali tangu chinu kwa vyovyotr hawezi kukaa kizembe mtaani/vijiweni na kuishia kupiga soga
Lazima atachakarika kwa faida yake,familia yake na taifa kwa ujumla,na hapo ndipo tutasema huyu kijana amejitambua na ameujua wajibu wake
uko sahihi mkuuInabidi wakati unasoma ..pia ujishughulishe na ujasiriamali...biashara au ufugaji. Hii itakusaidia ukimaliza kusoma, utajua wapi pa kuanzia.
funguka tu mkuu usiwazeMbona naona komenti za wazee nyingi walengwa kama akina Mimi hatuonekani
Kweli mpenzi mtaala wa elimu yetu ungetiliwa mkazo kwenye kujiajili ingesaidia sanaUmemaliza kila kitu.Nafikiri somo la ujasiriamali lingetiliwa mkazo kuanzia ngazi za chini huku mashuleni,ili mwanafunzi akue akitambua kuna njia mbadala tofauti na elimu ya darasani ambayo itamkomboa,kuliko kukaa tu nyumbani au mtaani kwa kutegemea au kusubiri serikali imuajiri.Mfano huyo huyo kijana kasoma course ya ualimu lakini bado kakosa ajira,kama alipata msingi wa kua mjasiriamali tangu chinu kwa vyovyotr hawezi kukaa kizembe mtaani/vijiweni na kuishia kupiga soga
Lazima atachakarika kwa faida yake,familia yake na taifa kwa ujumla,na hapo ndipo tutasema huyu kijana amejitambua na ameujua wajibu wake
Matumaini yapo unawez kujifunz ujasiliamali ukatoboakwakweli bado nasoma ila kwa jinsi ninavyoiwaza kesho yangu na Tz ya leo nakosa matumaini na elim yangu kabisa
Mkuu kamaa hutojali ..Fanya kushare na sisi hayo maujanja, kwa ni itasaidia kujifunza jambo jipya.Kwakuwa nami kijana na nimjasiliamali mdogo na ninachofany mtu yoyot anaweza fanya na kikamletea faida kwa mtaji mdogo sana,ataekuwa tayari anitafute tugawane maujanja
UsijaliMkuu kamaa hutojali ..Fanya kushare na sisi hayo maujanja, kwa ni itasaidia kujifunza jambo jipya.
kwani wrwe una mingapi nikupunguzie ya kwangu hata 226-35 wengine tutakosa pa kwenda mkuu
Bado napitia pitiaHa ha ha aisee, vipi umeshampata?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dearBado napitia pitia
Mimi hapa naomba hayo maujanja,au ungeyaweka hapa ili kila mtu apateKwakuwa nami kijana na nimjasiliamali mdogo na ninachofany mtu yoyot anaweza fanya na kikamletea faida kwa mtaji mdogo sana,ataekuwa tayari anitafute tugawane maujanja
Uuuuwi[emoji116] [emoji116] [emoji116]![]()
Hahaha nipunguzie tu mkuukwani wrwe una mingapi nikupunguzie ya kwangu hata 2
Vipi kijana kwani nawe umo? Ili nijitwalie?Ha ha ha aisee, vipi umeshampata?