Vijana waambiwe ukweli kwamba Uanaume ni Ukakamavu, Uhodari na Ushujaa

Duuh Mungu atusimamie kwakweli

Maana jinsi wanavyo left group its so sad mkuuu
 
Hajapigwa machine ya uhakika.
Hahaha hapo sijui aliwahi sema kapigwa mtungo na wanaume wa 3 alivyokuw jeshini hivyo sijui

Ila ni choka mbaya na linapenda kuka na mashoga shoga sana au wasagaji ndo wenzake na anavyowatetea utadhani nn sijui

Anyway we akikukwaza ignore sepa mbele
 
Mwanaume yupo kwaajili ya kupambana na kukabiliana na majanga.
Sasa ulitaka Wanawake ndio wapambane na majanga.
Ni akili mgando za walala Hoi kutoka maporini huko mafukara yaliyokimbilia mjini yanashindia ugali kachumbali, ila ukweli ni kuwa mwanaume ni jinsia nasio kuteseka kama mandonga mtu kazi.

Ndonyie mnasema chipsi kuku chakula cha wanawake nyie mnalalia mihogo ya kuchemsha
 
Wanachosha, tuwasamehe bure
 

Mwanaume ni ushupavu, ukakamavu, ujasiri, UHODARI na ushujaa.
Iwe ni ulaya, Asia, Afrika, America au popote pale.
Hayo ya chips umesema wewe Mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…