Vijana waambiwe ukweli kwamba Uanaume ni Ukakamavu, Uhodari na Ushujaa

Vijana waambiwe ukweli kwamba Uanaume ni Ukakamavu, Uhodari na Ushujaa

Kusema watu wenye thaman ya Mavi ni kukosa busara, huna hekima kiongozi huwez ita binadamu mwenzako ni Mavi

Binadamu hawezi kuwa Shoga.
Binadamu anautu,na kwenye utu hakuna kitu kinaitwa ushoga.
Mashoga thamani Yao inalingana na Mavi tuu.

Hata iwe NI Nani, bila kujali nafasi yake kitendo cha kuwa Shoga kinakuondoa kwenye nafasi ya ubinadamu.
Ndio maana amri ya kifo inawahusu.
 
Mwanaume yupo kwaajili ya kupambana na kukabiliana na majanga.
Sasa ulitaka Wanawake ndio wapambane na majanga.
Bahati mbaya mimi sio muandishi Mzuri kama wewe lakini nadhani ni bora zaidi kumfundisha mtoto sio tu kuwa na muscles za mwilini Ila pia mental, emotional and financial muscles.

Mahitaji ya dunia ya zamani yalihitaji misuli zaidi kuliko hisia na akili Ila kwa sasa, muscles zinaenda kutumika kwa uchache sana na hivyo mtoto anakiwa kuandaliwa kiakili, kihisia na kifedha.

Ukishindwa kufanya haya na ukategemea unayoyafikiri bhasi utajenga ukuta mkubwa sana na familia yako ambao utakuangukia wewe mwenyewe kwa sababu ukikuza familia yenye uwoga na hofu, bhasi hiyo furaha na kukubalika watakutafuta hukoomat nje and guess what, ni salama karibu yako kuliko huko mtaani utakapowapoteza


Brother hatupo 1960's, hayo malezi hayo yalifaa miaka hiyo Ila kwa sasa lazma ukubali kuyatwist kidogo yaendane na mazingira ya sasa. Kumbuka wakati ni ukuta, kamwee huwezi kushindana nao
 
Hahaha hapo sijui aliwahi sema kapigwa mtungo na wanaume wa 3 alivyokuw jeshini hivyo sijui

Ila ni choka mbaya na linapenda kuka na mashoga shoga sana au wasagaji ndo wenzake na anavyowatetea utadhani nn sijui

Anyway we akikukwaza ignore sepa mbele
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hizi hasira tafuta kwa kupelekaaaa, poleeeeeeh sanaaaa.
 
Ushogaa hausababishwii kwa hayo ulosema wee hapa,

Mnaanzishaa nyuzi nyingi kuhusu uanaume halisi, kwan shida nn? Kwan hao wanaume hawajui uhalisia wao? Kila siku threads ni hizoo tyuuh,

Mnachoshaaa, km hawataki uanaume halisi acha wawe fake. Lol [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unapenda sana kutetea machoko.
 
Ukitumia unatakiwa a kujikaza.
Unalia ili iwe nini? Nani akubembeleze? Unambembelezwa umekuwa Mwanamke au Mtoto
Sehemu ipi inasema wakubembelezwa ni mwanamke tu, kwani mwanaume wakubembelezwa shida ipo Wapi? Ndonyie mtoto WA kike akikumbatiwa au kupakatwa na baba ake mzazi mnaanza kuwaza maovu kumbe ni upendo tu hata mwanaume unaweza kupakatwa na mama ako au baba ako kama ana nguvu ni jambo la kawaida tu but kwakua akili zenu ni sex oriented mtawaza differently
 
Bahati mbaya mimi sio muandishi Mzuri kama wewe lakini nadhani ni bora zaidi kumfundisha mtoto sio tu kuwa na muscles za mwilini Ila pia mental, emotional and financial muscles.

Mahitaji ya dunia ya zamani yalihitaji misuli zaidi kuliko hisia na akili Ila kwa sasa, muscles zinaenda kutumika kwa uchache sana na hivyo mtoto anakiwa kuandaliwa kiakili, kihisia na kifedha.

Ukishindwa kufanya haya na ukategemea unayoyafikiri bhasi utajenga ukuta mkubwa sana na familia yako ambao utakuangukia wewe mwenyewe kwa sababu ukikuza familia yenye uwoga na hofu, bhasi hiyo furaha na kukubalika watakutafuta hukoomat nje and guess what, ni salama karibu yako kuliko huko mtaani utakapowapoteza


Brother hatupo 1960's, hayo malezi hayo yalifaa miaka hiyo Ila kwa sasa lazma ukubali kuyatwist kidogo yaendane na mazingira ya sasa. Kumbuka wakati ni ukuta, kamwee huwezi kushindana nao

Yapo mambo yanayobadilika na pia yapo mambo yasiyobadilika.
 
Sehemu ipi inasema wakubembelezwa ni mwanamke tu, kwani mwanaume wakubembelezwa shida ipo Wapi? Ndonyie mtoto WA kike akikumbatiwa au kupakatwa na baba ake mzazi mnaanza kuwaza maovu kumbe ni upendo tu hata mwanaume unaweza kupakatwa na mama ako au baba ako kama ana nguvu ni jambo la kawaida tu but kwakua akili zenu ni sex oriented mtawaza differently

Upo umri wa kufanya hayo
Ndio. Maana Akili ni muhimu Sana.
 
Bahati mbaya mimi sio muandishi Mzuri kama wewe lakini nadhani ni bora zaidi kumfundisha mtoto sio tu kuwa na muscles za mwilini Ila pia mental, emotional and financial muscles.

Mahitaji ya dunia ya zamani yalihitaji misuli zaidi kuliko hisia na akili Ila kwa sasa, muscles zinaenda kutumika kwa uchache sana na hivyo mtoto anakiwa kuandaliwa kiakili, kihisia na kifedha.

Ukishindwa kufanya haya na ukategemea unayoyafikiri bhasi utajenga ukuta mkubwa sana na familia yako ambao utakuangukia wewe mwenyewe kwa sababu ukikuza familia yenye uwoga na hofu, bhasi hiyo furaha na kukubalika watakutafuta hukoomat nje and guess what, ni salama karibu yako kuliko huko mtaani utakapowapoteza


Brother hatupo 1960's, hayo malezi hayo yalifaa miaka hiyo Ila kwa sasa lazma ukubali kuyatwist kidogo yaendane na mazingira ya sasa. Kumbuka wakati ni ukuta, kamwee huwezi kushindana nao
Wanatuletea mambo ya ujima Enzi za nyerere hajui Dunia ya sasa inataka usmart wa akili ikiwemo IT na ICT, madogo wenye pesa nyingi ni wenye kutumia mitandao na computer kuitengeneza pesa kama Fernandez wa NALA anaingiza zaidi ya dolar elfu hamsini Kwa mwezi lakini watu watasema mbona anasura nzuri kajiremba huenda ni shoga, wao kuchakaa Kwa mwili kujaa makofu na kubeba magunia ya viazi sokoni na kukata mikaa ndowanaona uanaume mwisho wa siku yanakufa na ukimwi maana pesa zao wanapeleka kwenye madanguro ya wahaya
 
Back
Top Bottom