Vijana wajipanga kufanya Maandamano ya Amani kumpongeza Rais Samia kwa kutoa Maelfu ya Ajira

Vijana wajipanga kufanya Maandamano ya Amani kumpongeza Rais Samia kwa kutoa Maelfu ya Ajira

screenshot_20230219-035232_1-jpg.2525083_1.jpg
 
Ndugu zangu Watanzania,

Vijana kwa umoja wao na kwa kujitambua pasipo kushinikizwa na mtu wanapanga mikakati ya kufanya maandamano ya Amani Nchi nzima Kumpongeza Rais wetu mama Samia suluhu Hassani kwa namna alivyo fanya kazi kubwa ya kutengeneza na kutoa maelfu ya ajira kwa vijana ndani ya muda mfupi Sana wa uongozi wake.

Kitendo na Hatua za Rais Samia kutoa vibali vya ajira katika nyakati tofauti tofauti kimeleta nuru ,Tabasamu na kuinua matumaini kwa vijana wengi Sana waliokuwa wamekata Tamaa,Ikumbukwe ya kuwa vijana wanakuwa na changamoto nyingi Sana za kuinuka kiuchumi wanapotoka vyuoni,kwa kuwa wengi wao wanakuwa hawana mitaji Wala msaada wowote kutoka kwa wazazi kwa kuwa wazazi wanakuwa walishateketeza mali nyingi Sana katika kuwasomesha watoto wao kuweza kufikia ndoto zao za kupata Elimu na kuja kusaidia familia zao na kuondokana na utegemezi.

Pia hatua hii njema na ya kupongezwa kwa Rais Samia na serikali yake ya CCM Ina manufaa mengi Sana kiuchumi,kwa kuwa ukitoa ajira kwa watu wengi maana yake unaongeza mzunguko wa fedha mitaani kwa kuwa watu Hawa mwisho wa mwezi wakipata mishahara watapeleka mingine sokoni, madukani, migahawani, kwa waendesha bodaboda na bajaji, kwenye mbolea, vyakula, vifaa vya ujenzi ,n.k.

Hivyo kusaidia uwepo wa pesa mitaani,lakini pia inasaidia kupunguza umaskini wa kipato kwa Kaya na wategemezi wao, inasaidia na kuchochea ongezeko la shughuli mbalimbali za kiuchumi zitakazo ongeza namba ya walipa kodi, mfano mtu akiwa na mshahara wake anaweza Akautumia Kama kianzio Cha mtaji kwa kufungua biashara ya duka la Mahitaji ya nyumbani au Nguo au kuingia shambani kulima,au kununua na kuuza mazao kwa kutumia vijana waaminifu huku yeye akiendelea na kazi ya kulitumikia Taifa katika ajira yake n.k.

Ndio maana vijana wanaona Wana kila sababu ya kumpongeza Rais Samia waziwazi ili kumpa moyo na faraja ya Kuendelea mbele Zaid katika majukumu yake ya kuwatumikia watanzania,wanafanya hivyo kuonyesha kuwa wanaendelea kuwa Naye bega kwa bega na kusimama naye, wanasema hata Kama itashindikana kutoka mitaani lakini ndani ya Mioyo Yao wanaendelea kuandamana kwa maelfu kumpongeza Rais Samia, ndani ya Mioyo Yao wamebeba mabango ya kumpongeza Rais Samia kwa jumbe za kumtia moyo na nguvu ya kuchapa kazi.

Kwa hakika katika suala la ajira kwa vijana Rais Samia Anastahili Sana pongezi maana vijana wengi Sana walikuwa wamekata Tamaa na kuona Kama walipoteza muda wao kwenda vyuo vikuu,waliona ni Kama wangetumia muda na Ada zao Kama mitaji kwa ajiri ya kufanya biashara ,lakini Sasa Rais Samia kainua matumaini na mioyo ya vijana,

Ni vicheko, Tabasamu, furaha tu kwa vijana Mitaani kwa Sasa maana wanaona mwanga na nuru ya kutimiza Ndoto zao machoni Pao wanaona njia zikifunguka na kunyooka, wazazi wengi wameguswa na kumshukuru Sana Rais Samia kwa moyo wake wa upendo kwa vijana wake ambao wengi Ni Kama watoto wake ambao wengi wanasema tunakwenda na mama mpaka 2030.

Hakika Rais Samia anaendelea kuliletea furaha Taifa maana ukitaka Taifa liwe na furaha na amani Basi wape furaha na matumaini vijana, kwa Sasa Rais Samia kawapa furaha na matumaini vijana, ndio sababu ya Rais Samia Kuendelea kuongoza Taifa letu kwa amani na utulivu maana mioyo ya vijana Ni Safi na yenye amani na Rais samia, Vijana Wana matumaini makubwa Sana na uongozi wa Rais Samia.

Rais Samia Ni zawadi kwetu watanzania tunayopaswa kujivunia na kuiheshimu Sana maana watu Aina yake hawazaliwi kila Siku Wala kupatikana kila mahali, jiulize Kama amefanya haya ndani ya muda mfupi vipi mpaka 2030 panapo Majaliwa ya Mwenyezi MUNGU? Ni vijana wangapi watakuwa na ajira? Atakuwa ametengeneza ajira ngapi kupitia miradi anayojenga? Mnafikiri kwa Kasi hii ya maendeleo tutakuwa wapi wakati huo? Nchi gani Afrika mashariki itakayotusogelea kiuchumi?

Ndugu zangu watanzania na vijana wote kwa ujumla kwanini Tusimuunge mkono Rais wetu mama Samia? Kwanini tusimpiganie na kumpigia kampeni uchaguzi ujao? Hatuoni namna alivyo mzalendo? Msikivu, Jasiri, imara, shupavu na madhubuti? Rais Samia anapaswa kupewa kura ya ndio na kila mtanzania mwenye mapenzi mema na Taifa letu.

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627
akili yako upupu kinoma, amka kijana paza sauti kwa serikali imetusahu vijana hatuna pa kushika uchawa hautokusaidia zaidi ya kuumiza generation nzima ambao wengine wamekua drug dealers, gays,lesbians ,criminals nk
 
Ndugu zangu Watanzania,

Vijana kwa umoja wao na kwa kujitambua pasipo kushinikizwa na mtu wanapanga mikakati ya kufanya maandamano ya Amani Nchi nzima Kumpongeza Rais wetu mama Samia suluhu Hassani kwa namna alivyo fanya kazi kubwa ya kutengeneza na kutoa maelfu ya ajira kwa vijana ndani ya muda mfupi Sana wa uongozi wake.

Kitendo na Hatua za Rais Samia kutoa vibali vya ajira katika nyakati tofauti tofauti kimeleta nuru ,Tabasamu na kuinua matumaini kwa vijana wengi Sana waliokuwa wamekata Tamaa,Ikumbukwe ya kuwa vijana wanakuwa na changamoto nyingi Sana za kuinuka kiuchumi wanapotoka vyuoni,kwa kuwa wengi wao wanakuwa hawana mitaji Wala msaada wowote kutoka kwa wazazi kwa kuwa wazazi wanakuwa walishateketeza mali nyingi Sana katika kuwasomesha watoto wao kuweza kufikia ndoto zao za kupata Elimu na kuja kusaidia familia zao na kuondokana na utegemezi.

Pia hatua hii njema na ya kupongezwa kwa Rais Samia na serikali yake ya CCM Ina manufaa mengi Sana kiuchumi,kwa kuwa ukitoa ajira kwa watu wengi maana yake unaongeza mzunguko wa fedha mitaani kwa kuwa watu Hawa mwisho wa mwezi wakipata mishahara watapeleka mingine sokoni, madukani, migahawani, kwa waendesha bodaboda na bajaji, kwenye mbolea, vyakula, vifaa vya ujenzi ,n.k.

Hivyo kusaidia uwepo wa pesa mitaani,lakini pia inasaidia kupunguza umaskini wa kipato kwa Kaya na wategemezi wao, inasaidia na kuchochea ongezeko la shughuli mbalimbali za kiuchumi zitakazo ongeza namba ya walipa kodi, mfano mtu akiwa na mshahara wake anaweza Akautumia Kama kianzio Cha mtaji kwa kufungua biashara ya duka la Mahitaji ya nyumbani au Nguo au kuingia shambani kulima,au kununua na kuuza mazao kwa kutumia vijana waaminifu huku yeye akiendelea na kazi ya kulitumikia Taifa katika ajira yake n.k.

Ndio maana vijana wanaona Wana kila sababu ya kumpongeza Rais Samia waziwazi ili kumpa moyo na faraja ya Kuendelea mbele Zaid katika majukumu yake ya kuwatumikia watanzania,wanafanya hivyo kuonyesha kuwa wanaendelea kuwa Naye bega kwa bega na kusimama naye, wanasema hata Kama itashindikana kutoka mitaani lakini ndani ya Mioyo Yao wanaendelea kuandamana kwa maelfu kumpongeza Rais Samia, ndani ya Mioyo Yao wamebeba mabango ya kumpongeza Rais Samia kwa jumbe za kumtia moyo na nguvu ya kuchapa kazi.

Kwa hakika katika suala la ajira kwa vijana Rais Samia Anastahili Sana pongezi maana vijana wengi Sana walikuwa wamekata Tamaa na kuona Kama walipoteza muda wao kwenda vyuo vikuu,waliona ni Kama wangetumia muda na Ada zao Kama mitaji kwa ajiri ya kufanya biashara ,lakini Sasa Rais Samia kainua matumaini na mioyo ya vijana,

Ni vicheko, Tabasamu, furaha tu kwa vijana Mitaani kwa Sasa maana wanaona mwanga na nuru ya kutimiza Ndoto zao machoni Pao wanaona njia zikifunguka na kunyooka, wazazi wengi wameguswa na kumshukuru Sana Rais Samia kwa moyo wake wa upendo kwa vijana wake ambao wengi Ni Kama watoto wake ambao wengi wanasema tunakwenda na mama mpaka 2030.

Hakika Rais Samia anaendelea kuliletea furaha Taifa maana ukitaka Taifa liwe na furaha na amani Basi wape furaha na matumaini vijana, kwa Sasa Rais Samia kawapa furaha na matumaini vijana, ndio sababu ya Rais Samia Kuendelea kuongoza Taifa letu kwa amani na utulivu maana mioyo ya vijana Ni Safi na yenye amani na Rais samia, Vijana Wana matumaini makubwa Sana na uongozi wa Rais Samia.

Rais Samia Ni zawadi kwetu watanzania tunayopaswa kujivunia na kuiheshimu Sana maana watu Aina yake hawazaliwi kila Siku Wala kupatikana kila mahali, jiulize Kama amefanya haya ndani ya muda mfupi vipi mpaka 2030 panapo Majaliwa ya Mwenyezi MUNGU? Ni vijana wangapi watakuwa na ajira? Atakuwa ametengeneza ajira ngapi kupitia miradi anayojenga? Mnafikiri kwa Kasi hii ya maendeleo tutakuwa wapi wakati huo? Nchi gani Afrika mashariki itakayotusogelea kiuchumi?

Ndugu zangu watanzania na vijana wote kwa ujumla kwanini Tusimuunge mkono Rais wetu mama Samia? Kwanini tusimpiganie na kumpigia kampeni uchaguzi ujao? Hatuoni namna alivyo mzalendo? Msikivu, Jasiri, imara, shupavu na madhubuti? Rais Samia anapaswa kupewa kura ya ndio na kila mtanzania mwenye mapenzi mema na Taifa letu.

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627
Serikali ndio inatoa ajira
 
akili yako upupu kinoma, amka kijana paza sauti kwa serikali imetusahu vijana hatuna pa kushika uchawa hautokusaidia zaidi ya kuumiza generation nzima ambao wengine wamekua drug dealers, gays,lesbians ,criminals nk
Kwani Nani kakuzuia kupaza sauti yako, utasemaje serikali imewasahau vijana wakati unaona ikitoa maelfu ya ajira? Miradi inayojengwa unajuwa inatoa ajira ngapi kwa vijana? Unafahamu kuwa saiz ukifungua biashara hubuguziwa kwa habari za mapato? Huoni hatua hiyo Ni katika kuwasaidia na kuwawezesha vijana kiuchumi?
 
Nasubiri list ya wataopata
Wala usijari wewe kuwa na Subira tu maana serikali ya CCM chini ya uongozi shupavu na madhubuti wa Rais Samia imedhamiria kuleta matumaini na Tabasamu kwenye mioyo ya makundi yotee
 
Kwani Nani kakuzuia kupaza sauti yako, utasemaje serikali imewasahau vijana wakati unaona ikitoa maelfu ya ajira? Miradi inayojengwa unajuwa inatoa ajira ngapi kwa vijana? Unafahamu kuwa saiz ukifungua biashara hubuguziwa kwa habari za mapato? Huoni hatua hiyo Ni katika kuwasaidia na kuwawezesha vijana kiuchumi?
we endelea kuwa chawa ,huku moyo wako unakusuta
 
Ndugu zangu Watanzania,

Vijana kwa umoja wao na kwa kujitambua pasipo kushinikizwa na mtu wanapanga mikakati ya kufanya maandamano ya Amani Nchi nzima Kumpongeza Rais wetu mama Samia suluhu Hassani kwa namna alivyo fanya kazi kubwa ya kutengeneza na kutoa maelfu ya ajira kwa vijana ndani ya muda mfupi Sana wa uongozi wake.

Kitendo na Hatua za Rais Samia kutoa vibali vya ajira katika nyakati tofauti tofauti kimeleta nuru ,Tabasamu na kuinua matumaini kwa vijana wengi Sana waliokuwa wamekata Tamaa,Ikumbukwe ya kuwa vijana wanakuwa na changamoto nyingi Sana za kuinuka kiuchumi wanapotoka vyuoni,kwa kuwa wengi wao wanakuwa hawana mitaji Wala msaada wowote kutoka kwa wazazi kwa kuwa wazazi wanakuwa walishateketeza mali nyingi Sana katika kuwasomesha watoto wao kuweza kufikia ndoto zao za kupata Elimu na kuja kusaidia familia zao na kuondokana na utegemezi.

Pia hatua hii njema na ya kupongezwa kwa Rais Samia na serikali yake ya CCM Ina manufaa mengi Sana kiuchumi,kwa kuwa ukitoa ajira kwa watu wengi maana yake unaongeza mzunguko wa fedha mitaani kwa kuwa watu Hawa mwisho wa mwezi wakipata mishahara watapeleka mingine sokoni, madukani, migahawani, kwa waendesha bodaboda na bajaji, kwenye mbolea, vyakula, vifaa vya ujenzi ,n.k.

Hivyo kusaidia uwepo wa pesa mitaani,lakini pia inasaidia kupunguza umaskini wa kipato kwa Kaya na wategemezi wao, inasaidia na kuchochea ongezeko la shughuli mbalimbali za kiuchumi zitakazo ongeza namba ya walipa kodi, mfano mtu akiwa na mshahara wake anaweza Akautumia Kama kianzio Cha mtaji kwa kufungua biashara ya duka la Mahitaji ya nyumbani au Nguo au kuingia shambani kulima,au kununua na kuuza mazao kwa kutumia vijana waaminifu huku yeye akiendelea na kazi ya kulitumikia Taifa katika ajira yake n.k.

Ndio maana vijana wanaona Wana kila sababu ya kumpongeza Rais Samia waziwazi ili kumpa moyo na faraja ya Kuendelea mbele Zaid katika majukumu yake ya kuwatumikia watanzania,wanafanya hivyo kuonyesha kuwa wanaendelea kuwa Naye bega kwa bega na kusimama naye, wanasema hata Kama itashindikana kutoka mitaani lakini ndani ya Mioyo Yao wanaendelea kuandamana kwa maelfu kumpongeza Rais Samia, ndani ya Mioyo Yao wamebeba mabango ya kumpongeza Rais Samia kwa jumbe za kumtia moyo na nguvu ya kuchapa kazi.

Kwa hakika katika suala la ajira kwa vijana Rais Samia Anastahili Sana pongezi maana vijana wengi Sana walikuwa wamekata Tamaa na kuona Kama walipoteza muda wao kwenda vyuo vikuu,waliona ni Kama wangetumia muda na Ada zao Kama mitaji kwa ajiri ya kufanya biashara ,lakini Sasa Rais Samia kainua matumaini na mioyo ya vijana,

Ni vicheko, Tabasamu, furaha tu kwa vijana Mitaani kwa Sasa maana wanaona mwanga na nuru ya kutimiza Ndoto zao machoni Pao wanaona njia zikifunguka na kunyooka, wazazi wengi wameguswa na kumshukuru Sana Rais Samia kwa moyo wake wa upendo kwa vijana wake ambao wengi Ni Kama watoto wake ambao wengi wanasema tunakwenda na mama mpaka 2030.

Hakika Rais Samia anaendelea kuliletea furaha Taifa maana ukitaka Taifa liwe na furaha na amani Basi wape furaha na matumaini vijana, kwa Sasa Rais Samia kawapa furaha na matumaini vijana, ndio sababu ya Rais Samia Kuendelea kuongoza Taifa letu kwa amani na utulivu maana mioyo ya vijana Ni Safi na yenye amani na Rais samia, Vijana Wana matumaini makubwa Sana na uongozi wa Rais Samia.

Rais Samia Ni zawadi kwetu watanzania tunayopaswa kujivunia na kuiheshimu Sana maana watu Aina yake hawazaliwi kila Siku Wala kupatikana kila mahali, jiulize Kama amefanya haya ndani ya muda mfupi vipi mpaka 2030 panapo Majaliwa ya Mwenyezi MUNGU? Ni vijana wangapi watakuwa na ajira? Atakuwa ametengeneza ajira ngapi kupitia miradi anayojenga? Mnafikiri kwa Kasi hii ya maendeleo tutakuwa wapi wakati huo? Nchi gani Afrika mashariki itakayotusogelea kiuchumi?

Ndugu zangu watanzania na vijana wote kwa ujumla kwanini Tusimuunge mkono Rais wetu mama Samia? Kwanini tusimpiganie na kumpigia kampeni uchaguzi ujao? Hatuoni namna alivyo mzalendo? Msikivu, Jasiri, imara, shupavu na madhubuti? Rais Samia anapaswa kupewa kura ya ndio na kila mtanzania mwenye mapenzi mema na Taifa letu.

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627
Yaani mnatafuta Teuzi kwa nguvu sana , hivi siasa inalipa sana ?

Sent from my CPH2217 using JamiiForums mobile app
 
Ndugu zangu Watanzania,

Vijana kwa umoja wao na kwa kujitambua pasipo kushinikizwa na mtu wanapanga mikakati ya kufanya maandamano ya Amani Nchi nzima Kumpongeza Rais wetu mama Samia suluhu Hassani kwa namna alivyo fanya kazi kubwa ya kutengeneza na kutoa maelfu ya ajira kwa vijana ndani ya muda mfupi Sana wa uongozi wake.

Kitendo na Hatua za Rais Samia kutoa vibali vya ajira katika nyakati tofauti tofauti kimeleta nuru ,Tabasamu na kuinua matumaini kwa vijana wengi Sana waliokuwa wamekata Tamaa,Ikumbukwe ya kuwa vijana wanakuwa na changamoto nyingi Sana za kuinuka kiuchumi wanapotoka vyuoni,kwa kuwa wengi wao wanakuwa hawana mitaji Wala msaada wowote kutoka kwa wazazi kwa kuwa wazazi wanakuwa walishateketeza mali nyingi Sana katika kuwasomesha watoto wao kuweza kufikia ndoto zao za kupata Elimu na kuja kusaidia familia zao na kuondokana na utegemezi.

Pia hatua hii njema na ya kupongezwa kwa Rais Samia na serikali yake ya CCM Ina manufaa mengi Sana kiuchumi,kwa kuwa ukitoa ajira kwa watu wengi maana yake unaongeza mzunguko wa fedha mitaani kwa kuwa watu Hawa mwisho wa mwezi wakipata mishahara watapeleka mingine sokoni, madukani, migahawani, kwa waendesha bodaboda na bajaji, kwenye mbolea, vyakula, vifaa vya ujenzi ,n.k.

Hivyo kusaidia uwepo wa pesa mitaani,lakini pia inasaidia kupunguza umaskini wa kipato kwa Kaya na wategemezi wao, inasaidia na kuchochea ongezeko la shughuli mbalimbali za kiuchumi zitakazo ongeza namba ya walipa kodi, mfano mtu akiwa na mshahara wake anaweza Akautumia Kama kianzio Cha mtaji kwa kufungua biashara ya duka la Mahitaji ya nyumbani au Nguo au kuingia shambani kulima,au kununua na kuuza mazao kwa kutumia vijana waaminifu huku yeye akiendelea na kazi ya kulitumikia Taifa katika ajira yake n.k.

Ndio maana vijana wanaona Wana kila sababu ya kumpongeza Rais Samia waziwazi ili kumpa moyo na faraja ya Kuendelea mbele Zaid katika majukumu yake ya kuwatumikia watanzania,wanafanya hivyo kuonyesha kuwa wanaendelea kuwa Naye bega kwa bega na kusimama naye, wanasema hata Kama itashindikana kutoka mitaani lakini ndani ya Mioyo Yao wanaendelea kuandamana kwa maelfu kumpongeza Rais Samia, ndani ya Mioyo Yao wamebeba mabango ya kumpongeza Rais Samia kwa jumbe za kumtia moyo na nguvu ya kuchapa kazi.

Kwa hakika katika suala la ajira kwa vijana Rais Samia Anastahili Sana pongezi maana vijana wengi Sana walikuwa wamekata Tamaa na kuona Kama walipoteza muda wao kwenda vyuo vikuu,waliona ni Kama wangetumia muda na Ada zao Kama mitaji kwa ajiri ya kufanya biashara ,lakini Sasa Rais Samia kainua matumaini na mioyo ya vijana,

Ni vicheko, Tabasamu, furaha tu kwa vijana Mitaani kwa Sasa maana wanaona mwanga na nuru ya kutimiza Ndoto zao machoni Pao wanaona njia zikifunguka na kunyooka, wazazi wengi wameguswa na kumshukuru Sana Rais Samia kwa moyo wake wa upendo kwa vijana wake ambao wengi Ni Kama watoto wake ambao wengi wanasema tunakwenda na mama mpaka 2030.

Hakika Rais Samia anaendelea kuliletea furaha Taifa maana ukitaka Taifa liwe na furaha na amani Basi wape furaha na matumaini vijana, kwa Sasa Rais Samia kawapa furaha na matumaini vijana, ndio sababu ya Rais Samia Kuendelea kuongoza Taifa letu kwa amani na utulivu maana mioyo ya vijana Ni Safi na yenye amani na Rais samia, Vijana Wana matumaini makubwa Sana na uongozi wa Rais Samia.

Rais Samia Ni zawadi kwetu watanzania tunayopaswa kujivunia na kuiheshimu Sana maana watu Aina yake hawazaliwi kila Siku Wala kupatikana kila mahali, jiulize Kama amefanya haya ndani ya muda mfupi vipi mpaka 2030 panapo Majaliwa ya Mwenyezi MUNGU? Ni vijana wangapi watakuwa na ajira? Atakuwa ametengeneza ajira ngapi kupitia miradi anayojenga? Mnafikiri kwa Kasi hii ya maendeleo tutakuwa wapi wakati huo? Nchi gani Afrika mashariki itakayotusogelea kiuchumi?

Ndugu zangu watanzania na vijana wote kwa ujumla kwanini Tusimuunge mkono Rais wetu mama Samia? Kwanini tusimpiganie na kumpigia kampeni uchaguzi ujao? Hatuoni namna alivyo mzalendo? Msikivu, Jasiri, imara, shupavu na madhubuti? Rais Samia anapaswa kupewa kura ya ndio na kila mtanzania mwenye mapenzi mema na Taifa letu.

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627
Hiyo namba mbona hupatikani Kuna kazi ya kuogesha mbwa wa polepole(kiroboto)
 
Ndugu zangu Watanzania,

Vijana kwa umoja wao na kwa kujitambua pasipo kushinikizwa na mtu wanapanga mikakati ya kufanya maandamano ya Amani Nchi nzima Kumpongeza Rais wetu mama Samia suluhu Hassani kwa namna alivyo fanya kazi kubwa ya kutengeneza na kutoa maelfu ya ajira kwa vijana ndani ya muda mfupi Sana wa uongozi wake.

Kitendo na Hatua za Rais Samia kutoa vibali vya ajira katika nyakati tofauti tofauti kimeleta nuru ,Tabasamu na kuinua matumaini kwa vijana wengi Sana waliokuwa wamekata Tamaa,Ikumbukwe ya kuwa vijana wanakuwa na changamoto nyingi Sana za kuinuka kiuchumi wanapotoka vyuoni,kwa kuwa wengi wao wanakuwa hawana mitaji Wala msaada wowote kutoka kwa wazazi kwa kuwa wazazi wanakuwa walishateketeza mali nyingi Sana katika kuwasomesha watoto wao kuweza kufikia ndoto zao za kupata Elimu na kuja kusaidia familia zao na kuondokana na utegemezi.

Pia hatua hii njema na ya kupongezwa kwa Rais Samia na serikali yake ya CCM Ina manufaa mengi Sana kiuchumi,kwa kuwa ukitoa ajira kwa watu wengi maana yake unaongeza mzunguko wa fedha mitaani kwa kuwa watu Hawa mwisho wa mwezi wakipata mishahara watapeleka mingine sokoni, madukani, migahawani, kwa waendesha bodaboda na bajaji, kwenye mbolea, vyakula, vifaa vya ujenzi ,n.k.

Hivyo kusaidia uwepo wa pesa mitaani,lakini pia inasaidia kupunguza umaskini wa kipato kwa Kaya na wategemezi wao, inasaidia na kuchochea ongezeko la shughuli mbalimbali za kiuchumi zitakazo ongeza namba ya walipa kodi, mfano mtu akiwa na mshahara wake anaweza Akautumia Kama kianzio Cha mtaji kwa kufungua biashara ya duka la Mahitaji ya nyumbani au Nguo au kuingia shambani kulima,au kununua na kuuza mazao kwa kutumia vijana waaminifu huku yeye akiendelea na kazi ya kulitumikia Taifa katika ajira yake n.k.

Ndio maana vijana wanaona Wana kila sababu ya kumpongeza Rais Samia waziwazi ili kumpa moyo na faraja ya Kuendelea mbele Zaid katika majukumu yake ya kuwatumikia watanzania,wanafanya hivyo kuonyesha kuwa wanaendelea kuwa Naye bega kwa bega na kusimama naye, wanasema hata Kama itashindikana kutoka mitaani lakini ndani ya Mioyo Yao wanaendelea kuandamana kwa maelfu kumpongeza Rais Samia, ndani ya Mioyo Yao wamebeba mabango ya kumpongeza Rais Samia kwa jumbe za kumtia moyo na nguvu ya kuchapa kazi.

Kwa hakika katika suala la ajira kwa vijana Rais Samia Anastahili Sana pongezi maana vijana wengi Sana walikuwa wamekata Tamaa na kuona Kama walipoteza muda wao kwenda vyuo vikuu,waliona ni Kama wangetumia muda na Ada zao Kama mitaji kwa ajiri ya kufanya biashara ,lakini Sasa Rais Samia kainua matumaini na mioyo ya vijana,

Ni vicheko, Tabasamu, furaha tu kwa vijana Mitaani kwa Sasa maana wanaona mwanga na nuru ya kutimiza Ndoto zao machoni Pao wanaona njia zikifunguka na kunyooka, wazazi wengi wameguswa na kumshukuru Sana Rais Samia kwa moyo wake wa upendo kwa vijana wake ambao wengi Ni Kama watoto wake ambao wengi wanasema tunakwenda na mama mpaka 2030.

Hakika Rais Samia anaendelea kuliletea furaha Taifa maana ukitaka Taifa liwe na furaha na amani Basi wape furaha na matumaini vijana, kwa Sasa Rais Samia kawapa furaha na matumaini vijana, ndio sababu ya Rais Samia Kuendelea kuongoza Taifa letu kwa amani na utulivu maana mioyo ya vijana Ni Safi na yenye amani na Rais samia, Vijana Wana matumaini makubwa Sana na uongozi wa Rais Samia.

Rais Samia Ni zawadi kwetu watanzania tunayopaswa kujivunia na kuiheshimu Sana maana watu Aina yake hawazaliwi kila Siku Wala kupatikana kila mahali, jiulize Kama amefanya haya ndani ya muda mfupi vipi mpaka 2030 panapo Majaliwa ya Mwenyezi MUNGU? Ni vijana wangapi watakuwa na ajira? Atakuwa ametengeneza ajira ngapi kupitia miradi anayojenga? Mnafikiri kwa Kasi hii ya maendeleo tutakuwa wapi wakati huo? Nchi gani Afrika mashariki itakayotusogelea kiuchumi?

Ndugu zangu watanzania na vijana wote kwa ujumla kwanini Tusimuunge mkono Rais wetu mama Samia? Kwanini tusimpiganie na kumpigia kampeni uchaguzi ujao? Hatuoni namna alivyo mzalendo? Msikivu, Jasiri, imara, shupavu na madhubuti? Rais Samia anapaswa kupewa kura ya ndio na kila mtanzania mwenye mapenzi mema na Taifa letu.

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627
Nchi hii ina wajinga na mazombi wengi sana. Nchi imerudi kwa kasi ya 5G katika zama za adui ujinga.

Kwa hiyo vijana wanaona ajira ni hisani ya Rais na siyo haki yao! Wanaona ni kama vile Rais anawalipa kwa hela za mfukoni mwake na siyo kodi za wananchi ili wakatumiza wajibu wao kwa maendeleo ya nchi.

Aliyeiloga nchi na kuwafanya Watanzania kuwa wajinga na wanafiki nahisi alishakufa.
 
Nchi hii ina wajinga na mazombi wengi sana. Nchi imerudi kwa kasi ya 5G katika zama za adui ujinga.

Kwa hiyo vijana wanaona ajira ni hisani ya Rais na siyo haki yao! Wanaona ni kama vile Rais anawalipa kwa hela za mfukoni mwake na siyo kodi za wananchi ili wakatumiza wajibu wao kwa maendeleo ya nchi.

Aliyeiloga nchi na kuwafanya Watanzania kuwa wajinga na wanafiki nahisi alishakufa.
Kwani wangapi na Marais wangapi Barani Afrika wanashindwa kutoa ajira kwa vijana licha ya kukusanya Kodi? Kwanini sisi watanzania na vijana tusimpongeze Rais wetu kwa juhudi zake za kutoa ajira kila wakati?
 
Back
Top Bottom