Vijana wakiwa waaminifu, na wakawa wanajituma ipasavyo bila kudokoa dokoa (kuiba iba), tatizo la ajira litakuwa halipo

Vijana wakiwa waaminifu, na wakawa wanajituma ipasavyo bila kudokoa dokoa (kuiba iba), tatizo la ajira litakuwa halipo

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
33,679
Reaction score
49,841
Watu wengi wanatamani kuanzisha biashara mbalimbali, zenye mitaji ya maelfu, laki, mamilioni n.k

Changamoto inakuja, ni nani wa kumuajiri; au ni nani wa kusimamia hiyo biashara.

Inapotokea ameajiriwa kijana; yule kijana anaanza kuhujumu biashara, kuiba kidogo kidogo ili aende akaanzishe ya kwake; au anaendesha biashara vibaya, na hatimaye biashara kufa.

Hii imekuwa ni pigo kwa watu wengi wenye mitaji, na hatimaye kutowaamini tena vijana.

Kijana anaweza kujitangaza anashida, na anahitaji kazi; baada ya kupata kazi, anaanza kuihujumu au kukupa hasara wewe na familia yako; hii imeathiri vijana wengi kutokuaminika, na pia wenye mitaji kushindwa kufungua biashara au kampuni na kuajiri vijana.

Naona watu wa asia (wahindi) wanaajiri wazee, wakiamini wazee hawana matamanio ya ubathirifu kama vijana.

Nachoweza kushauri vijana; wajitahidi kuwa waaminifu na wachape kazi inavyotakiwa ili kuweza kujiongezea soko la ajira.
 
Watu wengi wanatamani kuanzisha biashara mbalimbali, zenye mitaji ya maelfu, laki, mamilioni n.k

Changamoto inakuja, ni nani wa kumuajiri; au ni nani wa kusimamia hiyo biashara.

Inapotokea ameajiriwa kijana; yule kijana anaanza kuhujumu biashara, kuiba kidogo kidogo ili aende akaanzishe ya kwake; au anaendesha biashara vibaya, na hatimaye biashara kufa.

Hii imekuwa ni pigo kwa watu wengi wenye mitaji, na hatimaye kutowaamini tena vijana.

Kijana anaweza kujitangaza anashida, na anahitaji kazi; baada ya kupata kazi, anaanza kuihujumu au kukupa hasara wewe na familia yako; hii imeathiri vijana wengi kutokuaminika, na pia wenye mitaji kushindwa kufungua biashara au kampuni na kuajiri vijana.

Naona watu wa asia (wahindi) wanaajiri wazee, wakiamini wazee hawana matamanio ya ubathirifu kama vijana.

Nachoweza kushauri vijana; wajitahidi kuwa waaminifu na wachape kazi inavyotakiwa ili kuweza kujiongezea soko la ajira.
Umetoa hoja nzuri sana ndugu
 
Umenikumbusha kuna kijana mmoja nilimkuta boda tunduma alilia njaa na kua akipata sehemu nzuri ya bznes maisha yatasonga. Basi nikamwambia kua naenda kwanza lusaka nikrdi nakutafta. Kweli bana nikamfungulia kijiduka cha viatu classic kweli kweli. Tulifanya nae mwanzo vzr tu ila baada ya mwaka mm nawaza kumvusha boda kwajili ya duka jingine. Si akaanza kua papaa pale boda mara wanawake kwa siku 3 nawote anawalipa dau zr tu.mara afungue au asifungue bila talifa yyte.akaanza kujifanya ni mwimbaji w bongofreva pesa ipo. Kuna cku nilishitukiza nikakuta hajafungua nampigia simu anasema yupo ofisini.ndio nikafunga moja kwa moja ofisi.mpk leo nikivukaga pale namuonea imani namwambia pambana ukipata pesa chezea zako.
 
Watu wengi wanatamani kuanzisha biashara mbalimbali, zenye mitaji ya maelfu, laki, mamilioni n.k

Changamoto inakuja, ni nani wa kumuajiri; au ni nani wa kusimamia hiyo biashara.

Inapotokea ameajiriwa kijana; yule kijana anaanza kuhujumu biashara, kuiba kidogo kidogo ili aende akaanzishe ya kwake; au anaendesha biashara vibaya, na hatimaye biashara kufa.

Hii imekuwa ni pigo kwa watu wengi wenye mitaji, na hatimaye kutowaamini tena vijana.

Kijana anaweza kujitangaza anashida, na anahitaji kazi; baada ya kupata kazi, anaanza kuihujumu au kukupa hasara wewe na familia yako; hii imeathiri vijana wengi kutokuaminika, na pia wenye mitaji kushindwa kufungua biashara au kampuni na kuajiri vijana.

Naona watu wa asia (wahindi) wanaajiri wazee, wakiamini wazee hawana matamanio ya ubathirifu kama vijana.

Nachoweza kushauri vijana; wajitahidi kuwa waaminifu na wachape kazi inavyotakiwa ili kuweza kujiongezea soko la ajira.
m nikipta mtu anambie nisimamie business zake tu nipo tyr mna uaminifu upo wa kutosha ilimradi iwe biashara halali tu
 
Watu wengi wanatamani kuanzisha biashara mbalimbali, zenye mitaji ya maelfu, laki, mamilioni n.k

Changamoto inakuja, ni nani wa kumuajiri; au ni nani wa kusimamia hiyo biashara.

Inapotokea ameajiriwa kijana; yule kijana anaanza kuhujumu biashara, kuiba kidogo kidogo ili aende akaanzishe ya kwake; au anaendesha biashara vibaya, na hatimaye biashara kufa.

Hii imekuwa ni pigo kwa watu wengi wenye mitaji, na hatimaye kutowaamini tena vijana.

Kijana anaweza kujitangaza anashida, na anahitaji kazi; baada ya kupata kazi, anaanza kuihujumu au kukupa hasara wewe na familia yako; hii imeathiri vijana wengi kutokuaminika, na pia wenye mitaji kushindwa kufungua biashara au kampuni na kuajiri vijana.

Naona watu wa asia (wahindi) wanaajiri wazee, wakiamini wazee hawana matamanio ya ubathirifu kama vijana.

Nachoweza kushauri vijana; wajitahidi kuwa waaminifu na wachape kazi inavyotakiwa ili kuweza kujiongezea soko la ajira.
100% ni kweli kabisa- Niliwai kuwa na Biashara iliyoajiri vijana 4 Maeneo ya Posta Mpya Dar es salaam- Niliifunga sababu ya Udokozi wa Vijana niliowaajiri. Nikaja pia kungunduwa kuwa Wafanya kazi wengi wa maduka maeneo ya Posta Dar wakishirikiana na wale Mafundi saa(kwa sasa wangi wamekuwa fundi simu) walio nje ya maduka hayo wanaiba bidhaa mbalimbali na kuficha kwa hawa mafundi kisha wanauza na kugawana pesa. Kuna Duka moja la Vifaa vya IT karibu na Chief Pride- Dogo ana nyumba 2!! Kila wiki Laptop/desktop/Cisco routers zinapotea na mwenye Duka awezi juwa😭
 
Huo ndio ukweli. Huku maofisini watu wana idea na pesa ila wanaogopa nani atasimamia biashara kila kijana mwizi.
Nina mradi wa kimlipa kijana kila siku elfu 10 na posho ya 3 ya chakula. nina mwezi sijapata wa kunishawishi
Nipe mie hapa nisimamie huo mradi
 
Umenikumbusha kuna kijana mmoja nilimkuta boda tunduma alilia njaa na kua akipata sehemu nzuri ya bznes maisha yatasonga. Basi nikamwambia kua naenda kwanza lusaka nikrdi nakutafta. Kweli bana nikamfungulia kijiduka cha viatu classic kweli kweli. Tulifanya nae mwanzo vzr tu ila baada ya mwaka mm nawaza kumvusha boda kwajili ya duka jingine. Si akaanza kua papaa pale boda mara wanawake kwa siku 3 nawote anawalipa dau zr tu.mara afungue au asifungue bila talifa yyte.akaanza kujifanya ni mwimbaji w bongofreva pesa ipo. Kuna cku nilishitukiza nikakuta hajafungua nampigia simu anasema yupo ofisini.ndio nikafunga moja kwa moja ofisi.mpk leo nikivukaga pale namuonea imani namwambia pambana ukipata pesa chezea zako.
Sema boss , ulimzingua vibaya dogo hiyo siku , yupo now anavusha mizigo kwenda mbeya ( magendo)

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom