Vijana wakiwa waaminifu, na wakawa wanajituma ipasavyo bila kudokoa dokoa (kuiba iba), tatizo la ajira litakuwa halipo

Vijana wakiwa waaminifu, na wakawa wanajituma ipasavyo bila kudokoa dokoa (kuiba iba), tatizo la ajira litakuwa halipo

Kazi sana..nilikua na project ya kilimo yule kijana niliyempa usimamizi alichonifanyia hakika yanasikitisha mbaya zaidi ni ndugu wa karibu.

Ebu tushaurianeni nini tufanye mana wengine hatuna muda wa kusimamia projects tupo kwa waajiri tunalinda ajira pia tunatamani kuwa na side hustles ili kujiongezea uchumi.

#MaendeleoHayanaChama
 
Tatizo sio vijana uaminifu umepungua kwa watanzania asilimia kubwa sema tu vijana wengi njaa kali na wanaofungua miradi wengi wanataka kutumia vijana bila kuangalia maslahi ya vijana.
Hata wazee walio makazani kama ingekuwa unalipwa kwa poductivity yako nahis wengi hata 50% ya mshahara wasingepata.
 
Ni kweli kabisa, wabongo 90℅ hawaajiriki kwa kuwa uaminifu ni 0
Hakuna mbongo atakaekufanyia kazi ya kukulimbikizia 200M kwa mwezi kwa malipo ya laki 2/2 halafu utegemee asikuhujumu! Sheli ni mfano tu wa aina ya biashara yenye maslahi makubwa ila ujira mbuzi. Sasa kwanini mtu wa pampu asihujumu ofisi? Wafanyakazi wanakukusanyieni billions mnawalipa laki na nusu kweli?

Ifikie mahali mutambue kuwa mazingira ya kazi yanapelekea sana attitude ya udokozi wa waajiriwa. Mlipe mtu hela ya kutosha pamoja na incentives uone kama kutakuwa na mambo ya kishamba ya udokozi.

Wazungu wanaweza hili ila race zengine zimeshindwa kabisa wakiongozwa na Wachina, Wahindi na Wabongo wenzetu. Mzungu anakulipia Bima ya afya nzuri, anakupa Transport, anakupa Communication allowance yani unapewa kila kitu ambacho kitafanya akili yako itulie ukiwa kazini u concetrate na kazi.

Huwezi sikia kesi za wizi wa kijinga kwenye kampuni za namna hio. Hata kama inatokea ni kwa asilimia chache mno.

Watu wanaiba ili wafidie magepu. Mshahara 150K hajala, hajalipa nauli, hajapeleka mtoto hospitali, hajafiwa, hajafanya maendeleo yoyote wakati gharama za maisha standard ni 1M kwa mwezi. Atafidiaje hio 850K bila kukuibia?
 
Ni shida naanza mimi wa kwanza alikuwa mpole sana, daah baada ya mwaka nashangaa madeni dukan wateja hawalipi madeni yao ya bidhaa, kumbe wanalipa anatunza lakini pia anaweza gawana nao hiyo ili nikiwatagute waseme bado wanatafuta, mademu wanapanga folen ofisin kuchukua matumizi, wa pili alisubiri makusanyo ya mauzo akafunga duka akaenda depost kwa wakala hadi leo.

Vijana oyee
 
Niliwaamini vijana fulani tena wengine tulikutana tu kwenye kusanyiko la kidini. Nikajua labda hawa watakuwa na hofu ya mungu basi bwana nikawaachia mradi.

Bwana bwana bwana kilichotokea kitanichukua miaka mingi kumuamini mtu hivhiv hasa awe kijana. nilichojifunza kibongobongo km wew mwenyew huna muda wa kusimamia mradi basi ni bora usianzishe kabisa huo mradi. ama la basi hakikisha mmeo au mkeo anausimamia vinginevo tegemea kupata maumivu.

Vijana wamejaa tamaa mbele km tai na hata hawana hofu ya kijacho kesho.
wanataka mabadiliko ya ghafla, mtu leo anataka atembelee ndinga kali amalize mademu wote apo mtaani.
 
Hakuna mbongo atakaekufanyia kazi ya kukulimbikizia 200M kwa mwezi kwa malipo ya laki 2/2 halafu utegemee asikuhujumu! Sheli ni mfano tu wa aina ya biashara yenye maslahi makubwa ila ujira mbuzi. Sasa kwanini mtu wa pampu asihujumu ofisi? Wafanyakazi wanakukusanyieni billions mnawalipa laki na nusu kweli?

Ifikie mahali mutambue kuwa mazingira ya kazi yanapelekea sana attitude ya udokozi wa waajiriwa. Mlipe mtu hela ya kutosha pamoja na incentives uone kama kutakuwa na mambo ya kishamba ya udokozi.

Wazungu wanaweza hili ila race zengine zimeshindwa kabisa wakiongozwa na Wachina, Wahindi na Wabongo wenzetu. Mzungu anakulipia Bima ya afya nzuri, anakupa Transport, anakupa Communication allowance yani unapewa kila kitu ambacho kitafanya akili yako itulie ukiwa kazini u concetrate na kazi.

Huwezi sikia kesi za wizi wa kijinga kwenye kampuni za namna hio. Hata kama inatokea ni kwa asilimia chache mno.

Watu wanaiba ili wafidie magepu. Mshahara 150K hajala, hajalipa nauli, hajapeleka mtoto hospitali, hajafiwa, hajafanya maendeleo yoyote wakati gharama za maisha standard ni 1M kwa mwezi. Atafidiaje hio 850K bila kukuibia?
Naunga mkono pia hii sio kwa wabongo tu.
Wazungu wanafunga cctv camera, wanatumia software solutions,open office n.k na kukulipa kutokana na muda utakao kaa kazini lengo ni kuongeza uaminifu wabongo wanafanya kazi kijanja janja ila anataka faida kubwa.
Huwez amini kuna watanzania wanakampuni zinaingiza zaidi ya 5 billion kwa mwaka na bado wafanyakaz hata mkataba tu hawana.
 
Ni ukweli ila changamoto zipo pande zote mbili.
Unakuta mtu anasimamia biashara yako saa kumi na mbili asubuhi hadi saa tano usiku alafu unamlipa Tsh 50,000 au 70,000 kwanini asiibe?
 
Hakuna mbongo atakaekufanyia kazi ya kukulimbikizia 200M kwa mwezi kwa malipo ya laki 2/2 halafu utegemee asikuhujumu! Sheli ni mfano tu wa aina ya biashara yenye maslahi makubwa ila ujira mbuzi. Sasa kwanini mtu wa pampu asihujumu ofisi? Wafanyakazi wanakukusanyieni billions mnawalipa laki na nusu kweli?

Ifikie mahali mutambue kuwa mazingira ya kazi yanapelekea sana attitude ya udokozi wa waajiriwa. Mlipe mtu hela ya kutosha pamoja na incentives uone kama kutakuwa na mambo ya kishamba ya udokozi.

Wazungu wanaweza hili ila race zengine zimeshindwa kabisa wakiongozwa na Wachina, Wahindi na Wabongo wenzetu. Mzungu anakulipia Bima ya afya nzuri, anakupa Transport, anakupa Communication allowance yani unapewa kila kitu ambacho kitafanya akili yako itulie ukiwa kazini u concetrate na kazi.

Huwezi sikia kesi za wizi wa kijinga kwenye kampuni za namna hio. Hata kama inatokea ni kwa asilimia chache mno.

Watu wanaiba ili wafidie magepu. Mshahara 150K hajala, hajalipa nauli, hajapeleka mtoto hospitali, hajafiwa, hajafanya maendeleo yoyote wakati gharama za maisha standard ni 1M kwa mwezi. Atafidiaje hio 850K bila kukuibia?
Hamna aisee. mswahili ngozi nyeusi hata umpe mamilioni atakwibia tu. Ona wale waturuki wa SGR wameamua kuleta madereva wao kutoka kwao kwa sababu wanajua mswahili kumwachia lazma akulize mlio. Ukimtuma alete mchanga basi apo trip moja ya mchanga atakuletea ila ujue trip ya pili anapeleka anakokujua yeye na apo bado ajakwibia wese na spea zingine ndogondogo za gari.
 
Kwanza tuelewe watanzania wengi ni wavivu, hua tunawasema wacongoman kupenda starehe lakini wabongo nao ndio hayohayo, mafanikio kidogo mtu anaanza kuvimba haangalii mbele na hajali kua akiharibu kazi yeye mwenyewe atakosa kazi, na inasababishwa na kua na fikra fupi kwenye utafutaji.
 
Vijana tuna tamaa sana mitandao inatuaaribu na Ile kuiga life la watu kutaka mafanikio Kwa pupa bila kuyaendea polepole ukabila si mzuri Ila kiukweli waha WA kigoma ukimleta dukani kwako ukiwa unamlipa vizuri bila lolongolongo ni vijana wazuri sana na wanajituma kweli na Wana hasira na mafanikio achana na hawa ambao wakipata laki wanarudhika na kuona maisha wameyamaliza
 
saivi wamejihalalishia wizi. ukipeleka gari gereji(hasa kama wew ni mdada, nasisitiza tena km wew ni mdada) basi lazima wachomoe "masega" ya hiyo gari. na apo bado utamlipa hela yake keshi. ukipeleka gari kaawoshi ioshwe na ukaondoka bila kukagua buti la gari utashangaa siku unataka jeki ya gari hauioni. washasepa nayo!
 
Niliwaamini vijana fulani tena wengine tulikutana tu kwenye kusanyiko la kidini. Nikajua labda hawa watakuwa na hofu ya mungu basi bwana nikawaachia mradi.

Bwana bwana bwana kilichotokea kitanichukua miaka mingi kumuamini mtu hivhiv hasa awe kijana. nilichojifunza kibongobongo km wew mwenyew huna muda wa kusimamia mradi basi ni bora usianzishe kabisa huo mradi. ama la basi hakikisha mmeo au mkeo anausimamia vinginevo tegemea kupata maumivu.

Vijana wamejaa tamaa mbele km tai na hata hawana hofu ya kijacho kesho.
wanataka mabadiliko ya ghafla, mtu leo anataka atembelee ndinga kali amalize mademu wote apo mtaani.
Mkuu mimi ni kijana mwaminifu Sana mpaka unaweza kudhani mshamba, nipe nafasi nioneshe uwezo mkuu
 
Kazi sana..nilikua na project ya kilimo yule kijana niliyempa usimamizi alichonifanyia hakika yanasikitisha mbaya zaidi ni ndugu wa karibu.

Ebu tushaurianeni nini tufanye mana wengine hatuna muda wa kusimamia projects tupo kwa waajiri tunalinda ajira pia tunatamani kuwa na side hustles ili kujiongezea uchumi.

#MaendeleoHayanaChama
Kwanini usiniamini ukanipa nafasi mkuu japo kidogo nikaonesha uhaminifu mkuu
 
Ni shida naanza mimi wa kwanza alikuwa mpole sana, daah baada ya mwaka nashangaa madeni dukan wateja hawalipi madeni yao ya bidhaa, kumbe wanalipa anatunza lakini pia anaweza gawana nao hiyo ili nikiwatagute waseme bado wanatafuta, mademu wanapanga folen ofisin kuchukua matumizi, wa pili alisubiri makusanyo ya mauzo akafunga duka akaenda depost kwa wakala hadi leo.

Vijana oyee
Nipo kijana mwaminifu Sana mkuu niamini nina kiu na kazi na mafanikio kwa hali ninayopitia ninathamini cha mtu
 
Niliwaamini vijana fulani tena wengine tulikutana tu kwenye kusanyiko la kidini. Nikajua labda hawa watakuwa na hofu ya mungu basi bwana nikawaachia mradi.

Bwana bwana bwana kilichotokea kitanichukua miaka mingi kumuamini mtu hivhiv hasa awe kijana. nilichojifunza kibongobongo km wew mwenyew huna muda wa kusimamia mradi basi ni bora usianzishe kabisa huo mradi. ama la basi hakikisha mmeo au mkeo anausimamia vinginevo tegemea kupata maumivu.

Vijana wamejaa tamaa mbele km tai na hata hawana hofu ya kijacho kesho.
wanataka mabadiliko ya ghafla, mtu leo anataka atembelee ndinga kali amalize mademu wote apo mtaani.
Vijana waaminifu tupo ila ndo ivo hatuaminiani

ila mimi mtu akiniamini nitajiaminisha kwake sina makuu mimi
 
Huo ndio ukweli. Huku maofisini watu wana idea na pesa ila wanaogopa nani atasimamia biashara kila kijana mwizi.
Nina mradi wa kimlipa kijana kila siku elfu 10 na posho ya 3 ya chakula. nina mwezi sijapata wa kunishawishi
Vijana Waminifu tupo na tuna mawazo mazur tu Biashara Shida Mitaji
 
Back
Top Bottom