Vijana walioandamana (Gen Z) wakutwa wametupwa kwenye viroba wakiwa wameuawa kwa kuchinjwa kama nyama
Hali ya usalama kwa vijana walionekana Kenya inazidi kuhatarisha huku kukiwa na ongezeko la mauaji kwa vijana walioandamana kali ikiwa ni sehemu ya wanaodhani ni kulipa kisasi cha Rais wao William Ruto kwa waandamanaji kuchoma bunge.
Vijana wamekutwa wakiwa wamefungwa katika viroba wakiwa wamekatwa katwa na mapanga hadi kufa.
Huku media nchini kenya zikiwa kimya video hii hapa chini
View attachment 3041039
Soma ===>> Kituo cha polisi Mukuru Kenya chashtumiwa kufahamu uwepo wa miili ya watu iliyokutwa nyuma ya bonde