Vijana waliomaliza VETA na hawana kazi serikali inawasaidiaje

Vijana waliomaliza VETA na hawana kazi serikali inawasaidiaje

made in tanzania_

Senior Member
Joined
Mar 4, 2025
Posts
114
Reaction score
147
Tanzania mpaka sahivi asilimia 80 ni informal sector mean mpaka sahivi tunawatu wengi waliojiajiri lakin tatizo la ajira bado ni kubwa ukweli ni kwamba wengi waliojiajiri wanabangaiza wakipata nafasi ya kuajiriwa wanaacha hizo kazi walizojiajiri

Sio kila mtu atajiajiri kujiajiri ni kwa watu wachache hata vijana wote wakienda kusoma veta ni wachache watakaojiajiri hio ndo nature
Kujiajiri is not for everyone ni kwa watu wachache

Kuna vijana wengi tu wamemaliza VETA na hawan kazi serikali itawasaidiaje hili ni swali kauliza kijana wa VETA ambaye hana kazi

Viongozi wa Tanzania waache kutumia shortcut kwenye mambo ambayo yanahitaji suluhisho la kudumu kauli wa watu wa degree waende kusoma VETA ni nzuri ila ni wazi aliyeitoa hajafikiria mbali

VETA itakuwa na maana sana kama kutakua na viwanda vingi sababu viwandani kunaweza ajira watu wengi waliohitimu VETA au kiingereza wanaita blue color job tofauti na hapo ni uongo

Ufundi ni kipawa sio kila mtu Ana kipawa cha kuwa fundi kama Huna hakuna atakayekuletea kazi yake sababu utakua unafanya kwa ubora mdogo na itakua mbaya/chafu kumbuka dunia ya Leo ni ya ushindani

Nauhakika watu watasoma VETA wengi na viongozi wa serikali watakuja na kauli nyingine tena ukweli ni kwamba hatuna viongozi wenye maono
 
Kuna vijana wengi tu wamemaliza VETA na hawan kazi serikali itawasaidiaje hili ni swali kauliza kijana wa VETA ambaye hana kazi

Viongozi wa Tanzania waache kutumia shortcut kwenye mambo ambayo yanahitaji suluhisho la kudumu kauli wa watu wa degree waende kusoma VETA ni nuri ila ni wazi aliyeitoa hajafikiria mbali

VETA itakuwa na maana sana kama kutakua na viwanda vingi sababu viwandani kunaweza ajira watu wengi waliohitimu VETA au kiingereza wanaita blue color job tofauti na hapo ni uongo

Ufundi ni kipawa sio kila mtu Ana kipawa akapata cha kuwa fundi

Nauhakika watu watasoma VETA wengi na viongozi wa serikali watakuja na kauli nyingine tena ukweli ni kwamba hatuna viongozi wenye maono
 

Attachments

  • Snapinsta.app_483423170_1071770781641908_3545649834984004154_n_1080.jpg
    Snapinsta.app_483423170_1071770781641908_3545649834984004154_n_1080.jpg
    126.7 KB · Views: 1
Wakishavaa hayo mangozi ya kijani na kulipana posho basi wanaona dunia ipo mikononi mwao.. poor ccm poor.
 
Alisheba hamjui mwenye njaaa.
Mwezetu kila aiku inasoma, posho mara sign hapa tutakuingkzia kiasi hiki muheshimiwa, unakaa ndani ya vi8 maisha umeyapatia wengine unawaona mafala tuu
 
Sasa
Sasa PM kosa lake nini 😅😅😅 endeleeni kulalamika hadi nywele ziote mvi 😅😅😅😅😅 serikali itawapa kazi
Sasa wakiota mvi shida iko wapi kwani hata wakiajiriwa hawata ota mvi?.
Mbona waajiriwa wanalalamikia kikokotoo na ongezeko la mishahara? Je unauhakika ukiwajibu hivo ulivojibu hawawez kukutoboa tobo la tatu chini pelvic girdle?
 
Sasa

Sasa wakiota mvi shida iko wapi kwani hata wakiajiriwa hawata ota mvi?.
Mbona waajiriwa wanalalamikia kikokotoo na ongezeko la mishahara? Je unauhakika ukiwajibu hivo ulivojibu hawawez kukutoboa tobo la tatu chini pelvic girdle?
😏😅
 
Kwa hiyo mnajifananisha 😅
Tatizo kubwa la mwafrika ni ubinafsi mfano mtoto wa maskin anasoma shule ya msingi ambao masomo mengi ni kiswahili ilihali mtoto wa waziri au mbunge anasoma shule ya msing ya kingereza

Sekondari ni hivyo ila Kesho waziri anakuja kumlaumu mtoto wa maskini ilihali hajamtengenezea mazingira mazuri
 
Tatizo kubwa la mwafrika ni ubinafsi mfano mtoto wa maskin anasoma shule ya msingi ambao masomo mengi ni kiswahili ilihali mtoto wa waziri au mbunge anasoma shule ya msing ya kingereza

Sekondari ni hivyo ila Kesho waziri anakuja kumlaumu mtoto wa maskini ilihali hajamtengenezea mazingira mazuri
Ni kupambana sasa
 
Halafu sasa hata huko VETA kwenyewe mh! Nina mtoto wa rafiki yangu kamaliza huko ufundi magari lakini anasema hawakufanya practical zo zote za maana; na mambo mengi yameishia kuwa nadharia tu. Aanasema hakuna karakana ya maana labda kidogo watu wa welding. Sasa ukisikia kila mwenye digrii akasome VETA huko kuna maandalizi ya kutosha kuhusu karakana, mitambo na walimu?

Sijui kwa nini hatuwezi kufanya mambo kwa weledi; hata yale ya msingi kabisa!
 
Kuna vijana wengi tu wamemaliza VETA na hawan kazi serikali itawasaidiaje hili ni swali kauliza kijana wa VETA ambaye hana kazi

Viongozi wa Tanzania waache kutumia shortcut kwenye mambo ambayo yanahitaji suluhisho la kudumu kauli wa watu wa degree waende kusoma VETA ni nuri ila ni wazi aliyeitoa hajafikiria mbali

VETA itakuwa na maana sana kama kutakua na viwanda vingi sababu viwandani kunaweza ajira watu wengi waliohitimu VETA au kiingereza wanaita blue color job tofauti na hapo ni uongo

Ufundi ni kipawa sio kila mtu Ana kipawa akapata cha kuwa fundi

Nauhakika watu watasoma VETA wengi na viongozi wa serikali watakuja na kauli nyingine tena ukweli ni kwamba hatuna viongozi wenye maono
Cha muhimu wao matumbo yamejaa firigisi na mvinyo, wengine shauri yao.
 
Back
Top Bottom