Vijana waliomaliza VETA na hawana kazi serikali inawasaidiaje

Vijana waliomaliza VETA na hawana kazi serikali inawasaidiaje

Kuna vijana wengi tu wamemaliza VETA na hawan kazi serikali itawasaidiaje hili ni swali kauliza kijana wa VETA ambaye hana kazi

Viongozi wa Tanzania waache kutumia shortcut kwenye mambo ambayo yanahitaji suluhisho la kudumu kauli wa watu wa degree waende kusoma VETA ni nuri ila ni wazi aliyeitoa hajafikiria mbali

VETA itakuwa na maana sana kama kutakua na viwanda vingi sababu viwandani kunaweza ajira watu wengi waliohitimu VETA au kiingereza wanaita blue color job tofauti na hapo ni uongo

Ufundi ni kipawa sio kila mtu Ana kipawa akapata cha kuwa fundi

Nauhakika watu watasoma VETA wengi na viongozi wa serikali watakuja na kauli nyingine tena ukweli ni kwamba hatuna viongozi wenye maono
Huu mkanganyiko wa waziri mkuu inazidi kutuchanganya walisoma VETA tukonao mtaani uku na hawana kazi vp wenye degree wakija nao wanaongeza kinini😂😂
 
Kuna vijana wengi tu wamemaliza VETA na hawan kazi serikali itawasaidiaje hili ni swali kauliza kijana wa VETA ambaye hana kazi

Viongozi wa Tanzania waache kutumia shortcut kwenye mambo ambayo yanahitaji suluhisho la kudumu kauli wa watu wa degree waende kusoma VETA ni nzuri ila ni wazi aliyeitoa hajafikiria mbali

VETA itakuwa na maana sana kama kutakua na viwanda vingi sababu viwandani kunaweza ajira watu wengi waliohitimu VETA au kiingereza wanaita blue color job tofauti na hapo ni uongo

Ufundi ni kipawa sio kila mtu Ana kipawa cha kuwa fundi

Nauhakika watu watasoma VETA wengi na viongozi wa serikali watakuja na kauli nyingine tena ukweli ni kwamba hatuna viongozi wenye maono
Wakasomee digrii.
Mzunguko uendelee
 
Kuna vijana wengi tu wamemaliza VETA na hawan kazi serikali itawasaidiaje hili ni swali kauliza kijana wa VETA ambaye hana kazi

Viongozi wa Tanzania waache kutumia shortcut kwenye mambo ambayo yanahitaji suluhisho la kudumu kauli wa watu wa degree waende kusoma VETA ni nzuri ila ni wazi aliyeitoa hajafikiria mbali

VETA itakuwa na maana sana kama kutakua na viwanda vingi sababu viwandani kunaweza ajira watu wengi waliohitimu VETA au kiingereza wanaita blue color job tofauti na hapo ni uongo

Ufundi ni kipawa sio kila mtu Ana kipawa cha kuwa fundi

Nauhakika watu watasoma VETA wengi na viongozi wa serikali watakuja na kauli nyingine tena ukweli ni kwamba hatuna viongozi wenye maono
acha upotoshaji gentleman,
ukimaliza VETA ni kwamba moja kwa moja unajiajiri bila kubabaika kwasabb tayari una ujuzi 🐒
 
Halafu sasa hata huko VETA kwenyewe mh! Nina mtoto wa rafiki yangu kamaliza huko ufundi magari lakini anasema hawakufanya practical zo zote za maana; na mambo mengi yameishia kuwa nadharia tu. Aanasema hakuna karakana ya maana labda kidogo watu wa welding. Sasa ukisikia kila mwenye digrii akasome VETA huko kuna maandalizi ya kutosha kuhusu karakana, mitambo na walimu?

Sijui kwa nini hatuwezi kufanya mambo kwa weledi; hata yale ya msingi kabisa!
Mtu wa engineering, nasemea ndaki zote hapo, amalize 4 - 5 yrs ya degree afu arudi tena VETA kuwa fundi mchundo.

Inachosha kabisaaa.

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
 
Vijana wa Veta hawanaga mambo ya kudai haki zao, wakimaliza kusoma wanaingia mtaani kimya kimya na kuhusu kazi wengi hawachagui

Hata kama ni Black deals wanapush kikubwa maisha yaende .

Nadhani Mazingira ya Veta yanawafanya waone mfumo hauwajali .

Kuhusu serikali kuwasaidia Viwanda sidhani kama hili litawezekana ladha mfumo ukibadilika
 
Usome halafu serikali ikutafutie kazi huo si ni ujuha? Wapi mhitimu wa VETA anasoma kozi na kukosa kazi? pumbavu sana, mna mentality ya kipuuzi kwamba ukisoma ni lazima uajiriwe. someni muwe na uwezo wa kujiajiri, kuajiriwa ni second option tu kama nafasi zipo
 
Kuna vijana wengi tu wamemaliza VETA na hawan kazi serikali itawasaidiaje hili ni swali kauliza kijana wa VETA ambaye hana kazi

Viongozi wa Tanzania waache kutumia shortcut kwenye mambo ambayo yanahitaji suluhisho la kudumu kauli wa watu wa degree waende kusoma VETA ni nzuri ila ni wazi aliyeitoa hajafikiria mbali

VETA itakuwa na maana sana kama kutakua na viwanda vingi sababu viwandani kunaweza ajira watu wengi waliohitimu VETA au kiingereza wanaita blue color job tofauti na hapo ni uongo

Ufundi ni kipawa sio kila mtu Ana kipawa cha kuwa fundi kama Huna hakuna atakayekuletea kazi yake sababu utakua unafanya kwa ubora mdogo na itakua mbaya/chafu kumbuka dunia ya Leo ni ya ushindani

Nauhakika watu watasoma VETA wengi na viongozi wa serikali watakuja na kauli nyingine tena ukweli ni kwamba hatuna viongozi wenye maono
Waliomaliza veta hawana kazi waende vyuo vikuu.
 
Usome halafu serikali ikutafutie kazi huo si ni ujuha? Wapi mhitimu wa VETA anasoma kozi na kukosa kazi? pumbavu sana, mna mentality ya kipuuzi kwamba ukisoma ni lazima uajiriwe. someni muwe na uwezo wa kujiajiri, kuajiriwa ni second option tu kama nafasi zipo
Daktari na muuguzi wakajiajiri au sio
 
Halafu sasa hata huko VETA kwenyewe mh! Nina mtoto wa rafiki yangu kamaliza huko ufundi magari lakini anasema hawakufanya practical zo zote za maana; na mambo mengi yameishia kuwa nadharia tu. Aanasema hakuna karakana ya maana labda kidogo watu wa welding. Sasa ukisikia kila mwenye digrii akasome VETA huko kuna maandalizi ya kutosha kuhusu karakana, mitambo na walimu?

Sijui kwa nini hatuwezi kufanya mambo kwa weledi; hata yale ya msingi kabisa!
Ulikuwa hujui?
Mambo ya magari huwa tunaanziaga garage za vichochoroni mzee , pale VETA unaenda kufanya trade test na kuchuchukua cheti.
Kuanzia hapo VETA from scratch ni uongo
 
Ulikuwa hujui?
Mambo ya magari huwa tunaanziaga garage za vichochoroni mzee , pale VETA unaenda kufanya trade test na kuchuchukua cheti.
Kuanzia hapo VETA from scratch ni uongo
Mwambie kassim majaliwa
 
Hivi ukiacha mtoto wa kitongoji na m/kiti, je Kuna watoto wa viongozi wa serikali umesoma nao kwenye shule zetu za kayumba? Pia hua inahitajika kwamba kiongozi anapotoa maelekezo kama hayo inatakiwa watuambie kwamba hata wao watoto wao wamewapereka veta ili tuongee lugha moja
 
Usome halafu serikali ikutafutie kazi huo si ni ujuha? Wapi mhitimu wa VETA anasoma kozi na kukosa kazi? pumbavu sana, mna mentality ya kipuuzi kwamba ukisoma ni lazima uajiriwe. someni muwe na uwezo wa kujiajiri, kuajiriwa ni second option tu kama nafasi zipo
We ni mjinga mbona kuna watu kibao wameajiriwa na serikali basi kwa akili yako serikali ifue ajira zote kila mtu

Kila mtu akijiajiri nani atakuwa mfanyakazi
Sio kila mtu atajiajiri kujiajiri ni kwa watu wachache hata vijana wote wakienda kusoma veta ni wachache watakaojiajiri ndo wengi hio ndo nature
 
Sasa kama mwenye degree ameambiwa aende veta akasome ajiajiri itakuwa huyo wa veta anaetaka serikali imsaidie hii chi ngumu sana tutafika tumechoka sana
 
ndio, inawezekana kwa kuanzisha vituo vyao vya afya na hata hospitali binafsi. Kwani lengo kusoma ni kuajiriwa tu? Unasoma ukiwa na malengo ya kuajiriwa huo ni ujinga na ni kutaka umasikini wa kujitakia
Unahisi kufungua na kumiliki zahanati au kituo Cha Afya ni vyepesi kama wewe unavyomiliki matako?
 
Back
Top Bottom