Vijana wanajisahau sana, huyu dogo atarudi kwao na shangazi kaja pekee

Vijana wanajisahau sana, huyu dogo atarudi kwao na shangazi kaja pekee

komasavaa

JF-Expert Member
Joined
Aug 17, 2024
Posts
1,718
Reaction score
2,930
Huyu dogo kutoka West Africa amelost big time.Kijana hizo ng'ombe fuso mbili bora angepelekea vituo vya watoto yatima wakala ubweche kuliko kulipia mahari SINGO MAZA with two kids from two different men who ate that punani without giving even a single cent😣😣😣😣

Huyu dogo mpira ukianza kumtupa atachukua nyundo abonde kende zake😄😄😄maana amefanya kituko cha dunia.

📌📌📌Vijana mkiwa mnajitafuta msisahau kula maisha ili kupata experience.Hii itawasaidia kujiepusha na fedheha ndogondogo.Hivi mwanaume unashindwa nini kujiuliza iweje wenzako wamepiga na kusepa alafu wewe ndo unaweka kituo??!!!

Kwa niaba ya CHAMA LA WANA "KATAA NDOA".TUNALAANI VIKALI TUKIO HILO NA KUKEMEA VIJANA KUTOJIHUSISHA NA MASINGO MAZA KULINDA HESHIMA NA UTU WAO KAMA VIJANA WADOGO.
 
Pengine ndo waliandikiwa hivyo kuwa watakuwa pamoja na inawezekana wakadumu kwenye penzi lao

Tusubiri tuone
Huyu dogo kutoka West Africa amelost big time.Kijana hizo ng'ombe fuso mbili bora angepelekea vituo vya watoto yatima wakala ubweche kuliko kulipia mahari SINGO MAZA with two kids from two different men who ate that punani without giving even a single cent😣😣😣😣

Huyu dogo mpira ukianza kumtupa atachukua nyundo abonde kende zake😄😄😄maana amefanya kituko cha dunia.

📌📌📌Vijana mkiwa mnajitafuta msisahau kula maisha ili kupata experience.Hii itawasaidia kujiepusha na fedheha ndogondogo.Hivi mwanaume unashindwa nini kujiuliza iweje wenzako wamepiga na kusepa alafu wewe ndo unaweka kituo??!!!
 
Huyu dogo kutoka West Africa amelost big time.Kijana hizo ng'ombe fuso mbili bora angepelekea vituo vya watoto yatima wakala ubweche kuliko kulipia mahari SINGO MAZA with two kids from two different men who ate that punani without giving even a single cent😣😣😣😣

Huyu dogo mpira ukianza kumtupa atachukua nyundo abonde kende zake😄😄😄maana amefanya kituko cha dunia.

📌📌📌Vijana mkiwa mnajitafuta msisahau kula maisha ili kupata experience.Hii itawasaidia kujiepusha na fedheha ndogondogo.Hivi mwanaume unashindwa nini kujiuliza iweje wenzako wamepiga na kusepa alafu wewe ndo unaweka kituo??!!!
Ila wanawake nao wana roho ngumu
Hamisa ÷Aziz ki, ok fine kwenye pesa mwanamke anaweza kufanya chochote kile.
 
Na yalle mamidomo myekundu nani atayapenda..
Big time azizi kabugi...Mimi na familia na mume wa mke mmoja na watoto wawili..

Sina wivu na azizi k Wala mobeto.

Mdogo angu Aziz utatukumbuka...kwa uzur Wala si kwa ubaya..
Dogo ameshindwa kuswallow his ego and beat the fact that he's not womans choice.
 
Huyu dogo kutoka West Africa amelost big time.Kijana hizo ng'ombe fuso mbili bora angepelekea vituo vya watoto yatima wakala ubweche kuliko kulipia mahari SINGO MAZA with two kids from two different men who ate that punani without giving even a single cent😣😣😣😣

Huyu dogo mpira ukianza kumtupa atachukua nyundo abonde kende zake😄😄😄maana amefanya kituko cha dunia.

📌📌📌Vijana mkiwa mnajitafuta msisahau kula maisha ili kupata experience.Hii itawasaidia kujiepusha na fedheha ndogondogo.Hivi mwanaume unashindwa nini kujiuliza iweje wenzako wamepiga na kusepa alafu wewe ndo unaweka kituo??!!!
Endapo kama ameamua yeye mwenyewe kwa hiyari yake bila shinikizo basi hakuna tatizo kuhusu suala hili.
Isipokuwa ni kweli kwamba kiasi Cha Mahari alicholipa ni kikubwa Sana kupita kiasi. Hii sasa imekuwa kama biashara ya kuuza na kununua binadamu
 
Ila wanawake nao wana roho ngumu
Hamisa ÷Aziz ki, ok fine kwenye pesa mwanamke anaweza kufanya chochote kile.
hamisa amezaa na wanaume wanaweza kuprovide. wenzie na Ki akina mondi wameishia kwenye child support. Huyu dogo atapigwa mgawanyo wa mali na ataondoka Tz na fuko la shangazi kaja pekee.
 
Huyu dogo kutoka West Africa amelost big time.Kijana hizo ng'ombe fuso mbili bora angepelekea vituo vya watoto yatima wakala ubweche kuliko kulipia mahari SINGO MAZA with two kids from two different men who ate that punani without giving even a single cent😣😣😣😣

Huyu dogo mpira ukianza kumtupa atachukua nyundo abonde kende zake😄😄😄maana amefanya kituko cha dunia.

📌📌📌Vijana mkiwa mnajitafuta msisahau kula maisha ili kupata experience.Hii itawasaidia kujiepusha na fedheha ndogondogo.Hivi mwanaume unashindwa nini kujiuliza iweje wenzako wamepiga na kusepa alafu wewe ndo unaweka kituo??!!!

Kwa niaba ya CHAMA LA WANA "KATAA NDOA".TUNALAANI VIKALI TUKIO HILO NA KUKEMEA VIJANA KUTOJIHUSISHA NA MASINGO MAZA KULINDA HESHIMA NA UTU WAO KAMA VIJANA WADOGO.
#Kataa single mother
#Single mother ni kifo
#Single mother ni umasikini
#Single mother ni upweke


Vijana tukumbuke kula na tuliotafuta nao. K ni zile zile.
 
Huyu dogo kutoka West Africa amelost big time.Kijana hizo ng'ombe fuso mbili bora angepelekea vituo vya watoto yatima wakala ubweche kuliko kulipia mahari SINGO MAZA with two kids from two different men who ate that punani without giving even a single cent😣😣😣😣

Huyu dogo mpira ukianza kumtupa atachukua nyundo abonde kende zake😄😄😄maana amefanya kituko cha dunia.

📌📌📌Vijana mkiwa mnajitafuta msisahau kula maisha ili kupata experience.Hii itawasaidia kujiepusha na fedheha ndogondogo.Hivi mwanaume unashindwa nini kujiuliza iweje wenzako wamepiga na kusepa alafu wewe ndo unaweka kituo??!!!

Kwa niaba ya CHAMA LA WANA "KATAA NDOA".TUNALAANI VIKALI TUKIO HILO NA KUKEMEA VIJANA KUTOJIHUSISHA NA MASINGO MAZA KULINDA HESHIMA NA UTU WAO KAMA VIJANA WADOGO.
Hayana mwongozo
Nyie mnaongelea mapungufu ya Hamisa tu je mnajua yale ya Azizi?
What if wanavumiliana na wamekubaliana?
 
Back
Top Bottom