Vijana wanajisahau sana, huyu dogo atarudi kwao na shangazi kaja pekee

Vijana wanajisahau sana, huyu dogo atarudi kwao na shangazi kaja pekee

Huyu dogo kutoka West Africa amelost big time.Kijana hizo ng'ombe fuso mbili bora angepelekea vituo vya watoto yatima wakala ubweche kuliko kulipia mahari SINGO MAZA with two kids from two different men who ate that punani without giving even a single cent😣😣😣😣

Huyu dogo mpira ukianza kumtupa atachukua nyundo abonde kende zake😄😄😄maana amefanya kituko cha dunia.

📌📌📌Vijana mkiwa mnajitafuta msisahau kula maisha ili kupata experience.Hii itawasaidia kujiepusha na fedheha ndogondogo.Hivi mwanaume unashindwa nini kujiuliza iweje wenzako wamepiga na kusepa alafu wewe ndo unaweka kituo??!!!

Kwa niaba ya CHAMA LA WANA "KATAA NDOA".TUNALAANI VIKALI TUKIO HILO NA KUKEMEA VIJANA KUTOJIHUSISHA NA MASINGO MAZA KULINDA HESHIMA NA UTU WAO KAMA VIJANA WADOGO.
Ukiacha wivu utafika mbali
 
Vijana wengi wa jf mko mbioni kuolewa mke wa pili au wa tatu wa Azizi Ki, kwanini mnamuonea wivu Hamisa binti mrembo??

Ile pisi ikija kwako tu unauza figo wewe, kataa ndoa una kibunda sio kataa ndoa choka mbaya au unajitafuta, hapo unakua sio kataa ndoa ni dhiki tu, ukizipata utatoa mahari kubwa zaidi ya shemeji yenu mbukinabe.
 
Hàta kama jamaa ana wivu, ila ukweli huyu dogo Ki kaingia Chaka.
Kwanza mpira una muda mchache wa kucheza, msimu huu anauzwa na hamisa haendi kokote.
Hii ni bahati yàke maana mahari too 100m+, bado atakazochuna. Ki ataondoka na mswala tuu amini mimi.
Kwanini asiende popote
 
Huyu dogo kutoka West Africa amelost big time.Kijana hizo ng'ombe fuso mbili bora angepelekea vituo vya watoto yatima wakala ubweche kuliko kulipia mahari SINGO MAZA with two kids from two different men who ate that punani without giving even a single cent😣😣😣😣

Huyu dogo mpira ukianza kumtupa atachukua nyundo abonde kende zake😄😄😄maana amefanya kituko cha dunia.

📌📌📌Vijana mkiwa mnajitafuta msisahau kula maisha ili kupata experience.Hii itawasaidia kujiepusha na fedheha ndogondogo.Hivi mwanaume unashindwa nini kujiuliza iweje wenzako wamepiga na kusepa alafu wewe ndo unaweka kituo??!!!

Kwa niaba ya CHAMA LA WANA "KATAA NDOA".TUNALAANI VIKALI TUKIO HILO NA KUKEMEA VIJANA KUTOJIHUSISHA NA MASINGO MAZA KULINDA HESHIMA NA UTU WAO KAMA VIJANA WADOGO.
Uchawi huu 🤭🤭
 
SINGO MAZA MNATETEANA SIO.NYIE MALAYA NI WA KUPIGA NA KUPITA!!!

TUNASHANGAA MDOGO WETU KAJENGA KIBANDA KWA KIBIBI KIMECHAPWA MPAKA NA DOMO🤔
Sasa mbona umejaa kifua kuliko muolewaji mkuu tuliza basi hizo kende zako 🤣🤣🤣🤣acha apate majuto yake kama ulivyopata yako 😉😉
 
Huyu dogo kutoka West Africa amelost big time.Kijana hizo ng'ombe fuso mbili bora angepelekea vituo vya watoto yatima wakala ubweche kuliko kulipia mahari SINGO MAZA with two kids from two different men who ate that punani without giving even a single cent😣😣😣😣

Huyu dogo mpira ukianza kumtupa atachukua nyundo abonde kende zake😄😄😄maana amefanya kituko cha dunia.

📌📌📌Vijana mkiwa mnajitafuta msisahau kula maisha ili kupata experience.Hii itawasaidia kujiepusha na fedheha ndogondogo.Hivi mwanaume unashindwa nini kujiuliza iweje wenzako wamepiga na kusepa alafu wewe ndo unaweka kituo??!!!

Kwa niaba ya CHAMA LA WANA "KATAA NDOA".TUNALAANI VIKALI TUKIO HILO NA KUKEMEA VIJANA KUTOJIHUSISHA NA MASINGO MAZA KULINDA HESHIMA NA UTU WAO KAMA VIJANA WADOGO.
Tulia wewe! Ulitaka uolewe wewe nini?
 
Back
Top Bottom