Vijana wanajisahau sana, huyu dogo atarudi kwao na shangazi kaja pekee

Vijana wanajisahau sana, huyu dogo atarudi kwao na shangazi kaja pekee

Kaka unachotakiwa kufahamu mpaka binti amekuwa singo maza.Tena utofautishe mjane mwenye watoto hawa wanaexceptional.Mimi nazungumzia hawa malaya wenye tamaa waliopata mimba kwa tamaa za maisha ya juu na bia za ofa.Hawa ambao wamezaa na waume za watu.

Hawa ni NUKSI tuwapige vita wanatuharibia jamii.Mtaa wenu ukiwa unasingo maza tegemea na vibinti vitatu wiwili vitakuwa singo maza in a long run.Hawa viumbe wanaishi kwa kuigana so tabia yoyote mbaya akiwa nayo mkubwa wao basi ujue kuna madogo wataiga.

Kuna familia zinaongoza ukoo mzima wanawake wanazaa hovyohvyo bila ndoa and sad enough wanazaa na wahuniwahuni na wengine wameishia kupata magonjwa ya kudumu.

📌📌📌SINGO MAZA NI LAANA.NA NDO CHANZO CHA MMOMONYOKO WA MAADILI NA JAMII KWA UJUMLA.
Hapo nmekusoma mkuu.
 
Endapo kama ameamua yeye mwenyewe kwa hiyari yake bila shinikizo basi hakuna tatizo kuhusu suala hili.
Isipokuwa ni kweli kwamba kiasi Cha Mahari alicholipa ni kikubwa Sana kupita kiasi. Hii sasa imekuwa kama biashara ya kuuza na kununua binadamu
Wazee wenye binti zao nao watapandisha mdau ya mahari kama nawaona vile.
 
Vijana wengi wa jf mko mbioni kuolewa mke wa pili au wa tatu wa Azizi Ki, kwanini mnamuonea wivu Hamisa binti mrembo??

Ile pisi ikija kwako tu unauza figo wewe, kataa ndoa una kibunda sio kataa ndoa choka mbaya au unajitafuta, hapo unakua sio kataa ndoa ni dhiki tu, ukizipata utatoa mahari kubwa zaidi ya shemeji yenu mbukinabe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaah

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
 
Nyie watoto mnatuumiza wazazi wenu ila hamjui tu,mnasema mnafata mioyo yenu ila jua tunaumia sana.
Imagine naletewa mkamwana mwenye watoto wawili,eeh Mungu tutie nguvu sisi wazazi.
 
Huyu dogo kutoka West Africa amelost big time.Kijana hizo ng'ombe fuso mbili bora angepelekea vituo vya watoto yatima wakala ubweche kuliko kulipia mahari SINGO MAZA with two kids from two different men who ate that punani without giving even a single cent😣😣😣😣

Huyu dogo mpira ukianza kumtupa atachukua nyundo abonde kende zake😄😄😄maana amefanya kituko cha dunia.

📌📌📌Vijana mkiwa mnajitafuta msisahau kula maisha ili kupata experience.Hii itawasaidia kujiepusha na fedheha ndogondogo.Hivi mwanaume unashindwa nini kujiuliza iweje wenzako wamepiga na kusepa alafu wewe ndo unaweka kituo??!!!

Kwa niaba ya CHAMA LA WANA "KATAA NDOA".TUNALAANI VIKALI TUKIO HILO NA KUKEMEA VIJANA KUTOJIHUSISHA NA MASINGO MAZA KULINDA HESHIMA NA UTU WAO KAMA VIJANA WADOGO.
What if demu kajilipia. Mademu wa kibongo wapo desperate sana na they are fake, wanashindana sana na kuoneshana.

90% of these things za social media are fake , don’t be surprised siku Aziz Ki akisema sikutoa hela kununua zile ngombe. Nina instincts kilichotokea sio gharama za Azizi ….. he is not even comfortable na the whole saga….. you can see it .

Nawajua wabokinabe…… most of them are smart and optimistic….west Africa wengi mi wajanja na matapeli….. Aziz hawez kuwa loser…. Na hata pale Yanga ndio anaelipwa parefu ….. he had a bargain power more than Mayele
 
hamisa amezaa na wanaume wanaweza kuprovide. wenzie na Ki akina mondi wameishia kwenye child support. Huyu dogo atapigwa mgawanyo wa mali na ataondoka Tz na fuko la shangazi kaja pekee.
Diamond hayupo kwenye Child support na Hamisa. He declared officially kuwa mtoto sio wake . Alimchukua mtoto na kumpiga DNA test SA .

Dada yupo kwenye mission ya kuzaa na watu wenye hela au watu maarufu ili asife masikini….viungo vya siri vimekua mtaji rasmi na .ndio maan alikimbilia mahakamani dhidi ya Dai, mtoto wa mjini akafungua mafile na kubaini kumbe hata mtoto anaetakiwa kumpa child support sio wake ….. alichofanya Dai ni kupeleka DNA test mahakamani. Hamisa akaambiwa lete proof kuwa mtoto ni wa dai….. kesi ikawa imeisha akaonekana TAPELI .

Imagine unaoa mwanamke ambae anawatoto hadi wanakataliwa. Hii haina mana asiolewe bali kama kijana una future ya kuwa na familia bora…. I discourage. Kuna women or men are good for fuqing only ; and others are good for making a family …. As a man …. Or woman You should know how to differentiate

Vijana tuwe serious when it comes about family.family unayoitengeneza ndio kimbilio lako. Huwezi kuwa na stable family kwa mwanamke au mwanaume mwenye watoto 3 ni kutafuta misunderstanding tu ; na hata ukiwa na mali ni tatizo. Si mnaona mambo ya Mengi…… alifanya kosa la Kiutendaji hadi leo limei cost familia

Hili ni kosa la kiutendaji. But I believe kuna kitu nyuma ya Aziz Ki hakipo sawa.
 
Imetosha sasa kuwa na adabu na shemeji yako.

Mshahara wake unabaki bongo kukuza uchumi.
 
Ila wanawake nao wana roho ngumu
Hamisa ÷Aziz ki, ok fine kwenye pesa mwanamke anaweza kufanya chochote kile.
Aziz K hana shida yoyote he is a gentleman and handsome . Shida yenu wabongo hamna exposure na mmekula konokono sana utotoni kwenu ndio maan akili zenu zipo stagnant
 
Back
Top Bottom