Vijana wanajisahau sana, huyu dogo atarudi kwao na shangazi kaja pekee

Vijana wanajisahau sana, huyu dogo atarudi kwao na shangazi kaja pekee

Tuwape muda. Ila vijana mjiweke vizuri kwenye mambo ya ndumba... nendeni hata huko Ziwa Tanganyika mkafanyiwe tambiko. Mkikaa kizembe ndo ishu kama za Aziz Ki zinatokea. Kina dada aina ya Hamisa wako vizuri kwenye mambo ya mila na utamaduni.
 
Tuwape muda. Ila vijana mjiweke vizuri kwenye mambo ya ndumba... nendeni hata huko Ziwa Tanganyika mkafanyiwe tambiko. Mkikaa kizembe ndo ishu kama za Aziz Ki zinatokea. Kina dada aina ya Hamisa wako vizuri kwenye mambo ya mila na utamaduni.
sipendi Jina lako 🤣
 
Nadhan wadau tupo kwa Kii na sio mobeto. Coz ujue inatia huruma kijana akipotelea mahusianini kizembe. Yaan amesafiri toka burkanaa afu end of tha dei arudi na kengele tupu.
Pia ujue jambo liko kwenye public na humu Jamiini ni constituent ya public, sio suala wivu.
Ni wivu tu, mbukinabe anakojolea pazuri.
Na Hamisa sio pisi mbovu, ni pisi kali yenye uchumi wa kati, yenye connection na ushawishi pahala fulani fulani aloo usimchukulie poa..

Au labda ubaya wa huyu binti uko wapi, huko nyuma hana historia ya kuolewa na kuachika ni michezo ya vijana ambayo hata wewe unacheza na demu wako saiv ila hutomuoa.

Kongole Azizi Ki, anaiheshimisha bukinabe kama Platnumz alivyoiheshimisha Tz kwa yule Mganda age go.
 
Huyu dogo kutoka West Africa amelost big time.Kijana hizo ng'ombe fuso mbili bora angepelekea vituo vya watoto yatima wakala ubweche kuliko kulipia mahari SINGO MAZA with two kids from two different men who ate that punani without giving even a single cent😣😣😣😣

Huyu dogo mpira ukianza kumtupa atachukua nyundo abonde kende zake😄😄😄maana amefanya kituko cha dunia.

📌📌📌Vijana mkiwa mnajitafuta msisahau kula maisha ili kupata experience.Hii itawasaidia kujiepusha na fedheha ndogondogo.Hivi mwanaume unashindwa nini kujiuliza iweje wenzako wamepiga na kusepa alafu wewe ndo unaweka kituo??!!!

Kwa niaba ya CHAMA LA WANA "KATAA NDOA".TUNALAANI VIKALI TUKIO HILO NA KUKEMEA VIJANA KUTOJIHUSISHA NA MASINGO MAZA KULINDA HESHIMA NA UTU WAO KAMA VIJANA WADOGO.
Umeongea ukweli tena demu asiye na mchango wowote katika maisha yake na ndiyo maana mama yake dogo na nduguze wamekuja juu. Kwa kweli kwa hali ya kawaida, hakuna mwanamme mwenye akili timamu akaoa mwanamke aliyezaa na wanaume tofauti tofauti na kumfanya mke wake. Huyu dogo atakuwa kalishwa madudu tu, ni jambo la kushangaza sana na la haibu kwa familia na ndiyo maana mama yake mzazi amekuja juu. Nani anataka kulea watoto wa wanaume wengine na isitoshe mwanamke mwenyewe Hamisa, changu anayefahamika. Serikali ya Tanzania, tafahali saidieni wazazi wa Aziz Ki kwa kumkamata kijana wao na kumpima akili.
 
Wenzie hao single maza tunajichukulia bure bure.eti yeye anatoa fuso mbili za ng'ombe!
Dogo hakupata washauri wazuri.
 
Tumeanzia hapa Posta tunatembea taratibu hadi kwa Aziz ki, maandamano ya amani..

8c00d0b8c7525d7dc0c61be59832d6c279debbb5ab1fcfd27d2f184b_wm_99bdd153-bd20-48cc-a1ed-31da3305ca...jpg
 
Single maza mwenye verified tanzania nzima ........yaani kalipiwa mahali ya kama bado hajaguswa........ kumbe huenda hata ile Huawei yake ina kasoro wahuni washaitia muhuri .......... kweli bongo nyoso..........
 
Mobeto na wema sepetu hakuna mtu asiyetamani kula hapo

Tusipige kelele zinazoambatana na wivu
 
Kwanini Violence?
1. Anaolewa mwingine
2. Mahali analipiwa mwingine
3. Atakojozwa mwingine
4. Anatapeliwa mwingine
5. Anapigwa hogo mwingine
6. Hata kama atalambwa mtaro mwingine
7. Anyonywe mpini mwingine
Sasa valulence wewe ya nini? Ulitaka ufanyiwe wewe? Mwanaume unaonaje wivu ? Haya lipiwa wewe mahali sasa na huyo domo red hizo fuso 2 akakukande.
Halafu wee Mwanamke tunza kicho kiny.. wapo watu watakuja na Fuso 2 ila usiwe Mchoyo mwenzenu wanaume waliopiga kid 2 wamemtangazia soko. Endelea kufunga PM au ukiombwa humu unazungusha. Achia tukutangazie soko,🏃‍♂️🏃‍♂️😄
 
Hili la kufuatilia maisha na maamuzi ya watu kwa povu la makasiriko huwa nyuma yake sijui linaratibiwa na kitu gani🤔
 
Si nasikia dada anapenda sana mambo ya limbwata,hivi mwanaume unaoaje mwanamke mwenye tuhuma za ushirikina?
Anyway yawezekana sio akili zake
 
Aziz K hana shida yoyote he is a gentleman and handsome . Shida yenu wabongo hamna exposure na mmekula konokono sana utotoni kwenu ndio maan akili zenu zipo stagnant
Kwamba unataka kusema nn et, tusidanganyane yule mama kaangalia digits zinazosoma kwenye makaratasi basi nothing more, nothingless.
 
Hàta kama jamaa ana wivu, ila ukweli huyu dogo Ki kaingia Chaka.
Kwanza mpira una muda mchache wa kucheza, msimu huu anauzwa na hamisa haendi kokote.
Hii ni bahati yàke maana mahari too 100m+, bado atakazochuna. Ki ataondoka na mswala tuu amini mimi.
Aziz k atabaki hapa hapa bongo kama wa Congo wanavyo baki
 
Back
Top Bottom