Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 13,998
- 31,757
Sawa mkuu wewe umeplan kujiajiri katika kalimo, ufugaji, au biasharaKwa ajir ya kujiajir mkuu sikua na mtaj sana hila ndo nataka nifanye mambo yangu mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuu wewe umeplan kujiajiri katika kalimo, ufugaji, au biasharaKwa ajir ya kujiajir mkuu sikua na mtaj sana hila ndo nataka nifanye mambo yangu mkuu
Kilimo sana mkuu na biashara ningepata namba yako ingekua poa mkuuSawa mkuu wewe umeplan kujiajiri katika kalimo, ufugaji, au biashara
biasharaSawa mkuu wewe umeplan kujiajiri katika kalimo, ufugaji, au biashara
Ha ha ha ha ha haH
Hahaaaah ukijiajiri huwezi kupata mkopo wa kununua ka passo
Mkuu unaweza kuweka wazo lako hapa tukashauri kwa pamoja na wadau wengine maana hapa hapakosi wajuaji wa mambo ya biasharaKilimo sana mkuu na biashara ningepata namba yako ingekua poa mkuu
Sawa mkuu biashara zinachanga motobiashara
InspirationalNna mwaka sasa toka niache kazi na kufanya shughuli zangu binafsi
Kwa kweli Niko vizur sana na nna amani sana tena Sana,japo kujiajiri kunachangamoto zake lakini kuajiriwa zimezidi
Kwa nini niliacha kazi
Niliacha kazi baada ya mambo matatu makubwa
1#nilipokua naanza kazi kwenye ofisi flani ivi nilibahatika kupata rafiki yangu wa kichaga maeneo Yale yeye hakua na elimu yoyote alikua tu mfanyabiashara
Tena wakati uo ana mtaji wa miliona moja nakumbuka nilikua nikimwazima sana mshahara akunulie mzigo baadae anirudiahie
Baada ya miaka mitatu mtaji wake ukapanda toka milioni moja hadi milioni tisini
Wakati huo mwenzangu na Mimi ndo kwanza nimeongezwa kamshahara toka laki nane hadi laki Tisa
Baada ya mwaka moja kupita jamaa kajenga nyumba nzuri,anagar zur,na anaagiza mzigo kutoka China anamtaji ya milioni mia sita,wakati huo Mimi naangaika tu na laki Tisa yangu
Nikanza kujichukia nikaanza kuichukia elimu niliyoipata maana bado sijaona umuhimu wake kwenye maisha yangu
Dalasa LA saba ameweza kumanage business from 1m to 600m ndani ya miaka minne tu
Inaendelea
Mkuu vizuri sana,sasa hapo akili lazima ifanye kaziMkuu mimi nimeacha kazi jana hapa sijui ata naanzia wapi
Umeona ehe dah mwanzo mgumu sanaMkuu vizuri sana,sasa hapo akili lazima ifanye kazi
But am in research in kuhusu mkopo.Binafsi nimepanga kuacha kazi 2020 (doctor)
Sababu
Uhuru sina na kama upo ni finyu sana.
Waajiriwa wengi ni maskini sana ,wanaishi maisha ya hovyo na mawazo ni finyu sana,hawana muda wa kupata mentors wa kuwapatia elimu ya biashara au vitu vya kufanya ili kupata kipato.
Nimeamua kufanya haya before sijaacha.
Now nipo na hekari 22.5 za Miti aina ya paini nahitaji zifike hekari 100 by 2020.
Then nashukua mkopo mrefu na kuacha kazi.
Nawasilisha.
Mimi ni mmoja kati ya watu walioacha kazi mwaka mmoja sasa,jiandae na:Heshima kwenu viongozi
Nimeona ni vyema na sisi wenye lengo la kuacha kazi tukawa na uzi wetu kama wenye agenda nyingine walivyoanzisha uwanja wao.
Lengo la nyuzi hii ni kupeana mawazo, moyo na uzoefu wa mbinu bora tunazotumia katika maandalizi yetu ya kuachana na aina Mpya ya utumwa, yaani KUAJIRIWA.
Lengo lingine la uzi huu ni kuonesha sababu ya uamuzi wa kutaka kuacha kazi ili kila mtu apime kama sababu yake ni sababu tosha ya kufanya hivyo ama la, lakini hii pia inatoa fursa kwa wachangiaji wengine kufanya assessment ya maamuzi hayo.
Kuacha kazi na kujiajiri na pengine baadae kufikia hatua ya kuajiri ni uamuzi wa kuyatoa maisha yako mikononi mwa mtu mwingine (muajiri) na kuyakabidhi mikononi mwako mwenyewe. Ni kujitoa katika kutawaliwa na kuamua kujitawala mwenyewe. Ni vyema pia tukajulishana gharama za maamuzi hayo mazito ya kutoka Misri kuelekea Kanani. NI WAZI HAITAKUWA SAFARI NYEPESI.
Tushauriane time scale, mfano mimi ninakimbizana na miaka Mitatu kabla sijatoka kwenye hii Jela. Baada ya hapo ntarudi uraiani, nyumbani kuishi maisha yangu ya uhuru.
Tunaotaka tutoke hii Jela Tushauriane humu, je tukusanye mtaji sasa bila kufanya ujasiriamali na tutakapoacha tu kazi ndio tuanze rasmi ujasiriamali? Ama tuanze sasa hivi kufanya kazi na ujasiriamali ili tu-taste ladha ya ujasiriamali kabla hatujaacha kazi? (Ila hata mambo yakiwa magumu kwenye ujasiriamali kipindi tupo kazini na tunafanya ujasiriamali, kuendelea na kazi sio option). Kubaki Jela haiwezi kuwa option kisa kuna dona na maharage ya bure, bora kuwa uraiani ule mlo mmoja wa maharage na ugali kwa mwaka mmoja ili uje kula asali na maziwa kwa miaka mingi ijayo.
Kila mtu anaweza kuwa na sababu yake ya kuacha kazi. Wengine watakwambia kazini kipato kidogo, lakini amini nakwambia hata ukiajiri na kutoweka mwili, moyo na roho yako kwenye hiyo kazi, unaweza kupata kipato kidogo kuliko hata kile cha kazini. Katika swala la kipato, tofauti ya kipato cha kuajiriwa na kujiajiri ni kipato kimoja Anapanga mtu akulipe kiasi gani, na Kingine Unapanga wewe uingize kiasi gani.
Wengine watakwambia, wanataka waache kazi sababu ya Mateso kazini,ubabe wa mwajiri, kutojali kwa mwajiri. Yote hayo yanakupa HASIRA, geuza hasira zako kuwa DRIVES, zigeuze kuwa USONGO.
Kwanini nataka niache kazi, nataka kuwa huru, nataka kusafiri huku na kule bila kujali bosi atahesabu siku tatu sipo kazini anifute kazi. Sitaki kumpigia mtu mmoja Magoti (bosi) ili kipato changu kiendelea kutiririka. Bora nipigie magoti watu wengi (wateja) ili kipato kiingie, kwani mteja mmoja akiamua kunifukuza kazi ntakuwa na option kwa mteja mwingine.
Uzi wetu TUNAOPANGA KUACHA KAZI, the clock is clicking....LET'S DO IT, LET'S GO.... Tunapenda pia kuchota busara za wale walioacha kazi na wapo wanaendelea kupambana.
Du hilo wazo Kuna siku lilinijia aiseeIshu ni kuchoma moto vyeti na kuingia mtaani kujiajiri wenyewe lazima tutoboe.
Mkuu kwanza hongera kwa dhamira yako uliyonayo.Wakuu.. nimekutana na changamoto moja,
Mi ni electrical engineer sina mda mwingi mtaani... na ndoto zangu ni kujiajiri kwenye fani yangu.... lakin kabla hata sijaanza hizo harakati... ametokea mjomba... anataka kunipeleka jeshin... ndugu, marafiki woote wananisukuma niingie huko.... lakin mi roho inaniuma, maana sijajaribu ndoto yangu.
Nikijaribu kuwashirikisha ninachotaka kukifanya, kila mtu ananiambia nikijiajiri ntashindwa maisha.... jesh ndo nafas pekee ya kufanya maisha... nikishapata nyota zangu ntalipwa ela ndefu..
Kimsingi sielewi nifanye nin kwenye kona hii...