Vijana wanawezeshwa vipi kujiajiri

Vijana wanawezeshwa vipi kujiajiri

Nature is friendly to our plans, what matters most is to think in a certain way....t
 
Mtaani kugumu...... Haya ndio Majibu ya walio wengi kwenye ushauri wa kuacha kazi, Kama unataka kuacha acha usiombe ushauri, Nakuomba ufanye kautafiti. Tafuta watu kama kumi ambao wako mtaani na unawaamini, waombe ushauri.

Kama wakitokea wawili wakakubaliana na wazo lako njoo nidai vocha ya 500(joke)

Kimsingi haya maamuzi yanategemea tu utashi wako, Unapokua na Biashara huku bado uko kwenye ajira watumishi huwa wanakupiga sana, mwisho wa siku biashara inakufa na ndoto yako ya kuacha kazi inakufa

Mimi nakushauri anagalia mfuko wako na uwe na uhakika wa biashara ambayo unataka kufanya, Kumbuka challenges hazipo maofisini peke yake hata kwenye biashara pia kuna challenges.

Biashara ambayo unaweza kuanza nayo kama bado hujabuni biashara jaribu kuangalia Mazao, Mazao hayana hasara jaribu ku avoid perishable things kama viazi na mboga mboga.

Mazao kama mahindi yakiharibika utauzia wanaotengeneza byakula vya kuku.

suala kubwa ni mfuko wako na utayari wako wa kuishi kigumu.
Amen to that
 
Aisee mwanzilishi wa huu uzi nimekuelewa sana....hapa tutatiana moyo sana sisi ambao tunataka kujiajiri au am ambao tayari tumejiajiri,binafsi nimejiajiri. .
And am happy being my own boss...karibuni wakuu kwenye ulimwengu mpya wa kujitegemea..
 
Ndugu zangu. Swala LA kuacha kazi linahitaji kujipanga sana, huwa siwashauri watu wakurupuke kwani yaliyonipata sipendagi na wengine yawapate
Mkuu unaweza kushare nasi ..tunaweza kusaidiana kwa namna moja au nyingine
 
Nna mwaka sasa toka niache kazi na kufanya shughuli zangu binafsi

Kwa kweli Niko vizur sana na nna amani sana tena Sana,japo kujiajiri kunachangamoto zake lakini kuajiriwa zimezidi

Kwa nini niliacha kazi

Niliacha kazi baada ya mambo matatu makubwa

1#nilipokua naanza kazi kwenye ofisi flani ivi nilibahatika kupata rafiki yangu wa kichaga maeneo Yale yeye hakua na elimu yoyote alikua tu mfanyabiashara

Tena wakati uo ana mtaji wa miliona moja nakumbuka nilikua nikimwazima sana mshahara akunulie mzigo baadae anirudiahie

Baada ya miaka mitatu mtaji wake ukapanda toka milioni moja hadi milioni tisini

Wakati huo mwenzangu na Mimi ndo kwanza nimeongezwa kamshahara toka laki nane hadi laki Tisa

Baada ya mwaka moja kupita jamaa kajenga nyumba nzuri,anagar zur,na anaagiza mzigo kutoka China anamtaji ya milioni mia sita,wakati huo Mimi naangaika tu na laki Tisa yangu

Nikanza kujichukia nikaanza kuichukia elimu niliyoipata maana bado sijaona umuhimu wake kwenye maisha yangu

Dalasa LA saba ameweza kumanage business from 1m to 600m ndani ya miaka minne tu

Inaendelea
 
Nna mwaka sasa toka niache kazi na kufanya shughuli zangu binafsi

Kwa kweli Niko vizur sana na nna amani sana tena Sana,japo kujiajiri kunachangamoto zake lakini kuajiriwa zimezidi

Kwa nini niliacha kazi

Niliacha kazi baada ya mambo matatu makubwa

1#nilipokua naanza kazi kwenye ofisi flani ivi nilibahatika kupata rafiki yangu wa kichaga maeneo Yale yeye hakua na elimu yoyote alikua tu mfanyabiashara

Tena wakati uo ana mtaji wa miliona moja nakumbuka nilikua nikimwazima sana mshahara akunulie mzigo baadae anirudiahie

Baada ya miaka mitatu mtaji wake ukapanda toka milioni moja hadi milioni tisini

Wakati huo mwenzangu na Mimi ndo kwanza nimeongezwa kamshahara toka laki nane hadi laki Tisa

Baada ya mwaka moja kupita jamaa kajenga nyumba nzuri,anagar zur,na anaagiza mzigo kutoka China anamtaji ya milioni mia sita,wakati huo Mimi naangaika tu na laki Tisa yangu

Nikanza kujichukia nikaanza kuichukia elimu niliyoipata maana bado sijaona umuhimu wake kwenye maisha yangu

Dalasa LA saba ameweza kumanage business from 1m to 600m ndani ya miaka minne tu

Inaendelea
Mh elimu zetu ni shida sana
 
acha kazi uone ugumu wa kupata kazi.

chezea mshahara sio kazi.
HAYO NI MANENO YAKO.................................
HATA KWENYE BAJAJI YAPO..............
SIJASEMA NACHEZEA KAZI WW UNANIINGIZIA MANINO YAKO SHINDWA NA ULEGEE PEPO WEWE
 
Wakuu kujiajiri ni suala moja muhimu.
Kuna wenzetu hawa makabachori ambao ndio wengi walioshikilia soko la ajira.
Hawa wengi hupenda kujiajiri lakini sisi ngozi nyeusi ni waoga sana. Na wala tusijilaum sababu tumeandaliwa kuajiriwa tokea umeanza grade one up university.
Wanaokuzunguka pamoja na shule yenyewe muda wote unaambiwa pambana upate pass nzuri ili uweze kupata ajira nzuri. Sasa kwa mtazamo huu unadhani kuja kubadili mawazo ni rahisi kweli? Mtu kasha jenga picha kichwani ndani ya miaka 3 nina nyumba,gari na familia.
Wakati mwenye kuji ajiri ndani ya muda huo bado sana anasota kuijenga biashara yake. Biashara inahitaji nidhamu sana, ukubaliane na unachokipata na usitumie zaid ya faida unayoipata. Unaweza kwenda hata miaka mitano biashara bado haijasimama lakini usirudi nyuma. Huku kila kitu unapanga wewe hata ukutane na ugumu kiasi gani wewe ndio muamuzi wa mwisho.
Mipango yote unafanya wewe hata kama una timu lakini wewe ndio last say. Kwahyo ukiamua kujiajiri uwe umejitoa kweli kweli.
 
Back
Top Bottom